Kama Hamas wameweza Comfortably kujipenyeza Israel yenye Usalama wa Taifa Bora, vipi nchi zingine Afrika zinazojisifu kuwa na Usalama wa Taifa tishio?

Boss utakuwa na mtandao mkubwa sana yote hayo umeyajua ukiwa huku
 
Boss utakuwa na mtandao mkubwa sana yote hayo umeyajua ukiwa huku
Dunia ya leo kijiji mazee!!!,hataa izo frem na garage zilizozunguka icho chuo cha kujifunza yasiyojulikana usifikiri ni raia wa kawaida!!! nao ni wa2 wa kazi mzee!! kamera izo,kama unabisha pita hapo alaf fanya mambo yasiyoeleweka hapo uone!!,,,,,,hao kina dada na mafundi wote wana macho yenye"MAKENGEZA"!!!
 

Duuu kumbe mambo magumu sana aiseeee.

Siwezi bisha boss cos sipajui kilipo so sijawa fika.

Siwezi jaribu sumu kwa kuilamba.

πŸ˜ƒ πŸ˜€ πŸ˜„ 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…