Kama Hamas ndio wale sasakuna uwezekano mkubwa sana hili tukio limefanwa na Waizrael ili kufanya waungwe mkono na watu weusi
Haiingii akilini Hamas waue mtu huku wakifanya recording nzuri hivyo. kwa wenye akili na maarifa wanaweza kujua kuwa, hii kitu ilifanywa purposely. Waisrael wangapi wameuwawa na hutujaona wala kusikia recoding zozote za mauwaji? tena yaweza kuwa waizrael ndio wameuhifadhi mwili ...kwani ingekuwa hamas ungekuwa umezikwa siku nyingi.... Hamas waweke mwili wa mtu aliye kufa kwa faida gani???
Hakuna uhakika kama ile video ni ya joshua na wale ni hamas hata familia yake leo imethibisha kuwa hawana taarifa yoyote zaidi ya wizara ya mambo ya nje ya tanzania tuache mihemuko na propagandaHapana Hawa jamaa hawana sifa yoyote ya kuwa freedom fighters. Freedom Gani aliewahi kufanya unyama wa kiwango hicho?
Mkuu kala bangi uyo yeye Ana hofu na chedema muda wote .sina unajua chedema ni tishioWewe nawe sisi tunajadili ukatiri wa Hamas wewe unatuletea mambo ya chadema hapa
Kwani ile siku ya shambulio hukuona walivyokuwa wanajirekodi? Kuhusu rangi wala siyo hoja kwani waliua raia wa nchi nyinginyingi ambao hata kwa mwonekano, siyo raia wa Israel.Wanaukumbi.
#JoshuaMollel:
[emoji1428]Ukitazama video mmoja ya wanaoaminika kuwa wauaji anamuuliza Joshua kwa Lugha ya kiarabu kwamba yeye ni mmoja wa kundi la kigaidi la โAl-Shabaabโ?
Nina maswali:
1) Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?
2) Kwenye video kwa Kiarabu wanasema โMmetushambuliaโ yaani Hamas walioenda kufanya Tukio la kigaidi wamwambie Joshua mmetushambulia?
3) [emoji1428]Hili swali zito zaidi; vipi wapita njia mtu na mwanamke wake ni waisraeli au wapalestina?
4) Kuna sababu gani nzito Hamas kupambana kumuua Joshua (mtu mweusi) asiyejua kuongea Kihibru wala Kiarabu, waache Waisrael Wapite bila bughudha?
5) Tangu lini Hamas wanaua na kujirekodi sura zao wazi wazi, mbona hawana Chochote kinachowakilisha Hamas? Mateka wote Video za waisraeli tulizoona ni wapiganaji wa Hamas.
Tuache kuwa Mbayuwayu, Mungu ametupa akili tuzitumie jamani, tutafute ukweli, video aliyeirekodi na kuiachia alitaka kupindisha ukweli.
Tutafute ukweli juu ya mauji ya kinyama ya Joshua. Tuishurutishe serikali kutafuta ukweli.
Jarida la Time of Israel liliandika hiviโฆ
Joshua Mollel, 21, an agricultural student from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and officials said his body was being held hostage in Gaza.
===============
Joshua Mollel, 21, mwanafunzi wa kilimo kutoka Tanzania, alitekwa nyara na magaidi wa Hamas mnamo Oktoba 7 kutoka Kibbutz Nahal Oz. Mnamo Desemba 13, kifo chake kilithibitishwa, na maafisa walisema mwili wake ulikuwa umewekwa mateka huko Gaza.
Kwa hiyo mwili wa Joshua bado upo Gaza.
Wale watu njiani ni kina nani hawana wasiwasiKwani ile siku ya shambulio hukuona walivyokuwa wanajirekodi? Kuhusu rangi wala siyo hoja kwani waliua raia wa nchi nyinginyingi ambao hata kwa mwonekano, siyo raia wa Israel.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Eti Allahu Akbar ( nyo.ko nyo.ko nyo.ko)Unajitekenya na kucheka mwenyewe ukiwa na aibu.
Hamas wakiua wanamtaja nani?
Huyo wqanyaemtaja ndio imani yao
Chizi dini huyoMkuu kala bangi uyo yeye Ana hofu na chedema muda wote .sina unajua chedema ni tishio
Mzee inamaana huna macho ya kuona? Uhakika Gani unaoutaka wakati video iko wazi na mtu anaeuwawa hapo ni huyo dogo?Hakuna uhakika kama ile video ni ya joshua na wale ni hamas hata familia yake leo imethibisha kuwa hawana taarifa yoyote zaidi ya wizara ya mambo ya nje ya tanzania tuache mihemuko na propaganda
Mzee inamaana huna macho ya kuona? Uhakika Gani unaoutaka wakati video iko wazi na mtu anaeuwawa hapo ni huyo dogo?
Haya great thinker tuambie hao ni kina nani?5) Tangu lini Hamas wanaua na kujirekodi sura zao wazi wazi, mbona hawana Chochote kinachowakilisha Hamas? Mateka wote Video za waisraeli tulizoona ni wapiganaji wa Hamas.
Labda tukuulize wewe, nini kinachokufanya husiamini kwamba yule ni Joshua Mollel... Waziri wa Tanzania wa mambo ya Nje Januari Makamba kathibitisha kifo kuwa kauwawa, Wizara ya mambo ya nje ya Israel nayo imethibitisha kuwa yule ni Joshua Mollel... Alafu wewe unaleta usenge hapa...Kwanza hatuna uhakika kwamba ile video ni ya joshua tuache mihemuko , kama waliweza kukaa na mateka wa israel siku zote hizo na mateka wameachiwa wakiwa hai na kusema walitendewa haki na kuheshimiwa kwanini wamtese au kumuua mtanzania tutulie wakati tunapata taarifa kamili
Apa walivaa ushungi au sioToka lini Hamas wanavaa kofia za Pama๐ ๐ ๐ . Ila Israel kwa propaganda bhana
Kwamba familia yake yenyewe haijathibitisha vodeo ile iweje wewe uamini kwamba wale ni hamas na huyo ni joshua ?Labda tukuulize wewe, nini kinachokufanya husiamini kwamba yule ni Joshua Mollel... Waziri wa Tanzania wa mambo ya Nje Januari Makamba kathibitisha kifo kuwa kauwawa, Wizara ya mambo ya nje ya Israel nayo imethibitisha kuwa yule ni Joshua Mollel... Alafu wewe unaleta usenge hapa...
View attachment 2845986
SAWA waziri wa Mambo ya nje tumekuelewa yule sio kijana wetu na hajauwawa na Hamas alijiuaKwamba familia yake yenyewe haijathibitisha vodeo ile iweje wewe uamini kwamba wale ni hamas na huyo ni joshua ?
Familia hadi leo mchana imehojiwa haijathibitisha hiyo video yako
Na source yenyewe uliyotumia pia ni tatizo wote hadi hao magharibi wanajua kwamba israel ni waongo waongo na hawaaminiki leo unatuletea source ya jeshi lao kweli? Hujiulizi kwanini wanazima interney na kuwaua waamdishi wa habari makusudi ?
Juzi idf wameua watu kanisani makusudi na kujaribu kugicha hadi wazungu wenzao wamewalaani kwa kitendo kile