Mtapasuka mishipa bure, Ccm bado ipo madarakani kwa miaka miamoja ijayo
Kumbuka Ccm inawanachama hai mlion ishirini acha mashabiki na wafuasi wakati Chadema inawanachama laki tano
Vijana muache mihemuko ya kisiasa mtakufa siku zenu, mwenzenu Uchaguzi ukiisha anarudi zake kula bata ulaya