Kama hamtendi haki,watu watashirikiana na yeyote anayeweza kuwasaidia kupata haki hata kama mtu huyo atakuwa ni Ibilisi

Kama hamtendi haki,watu watashirikiana na yeyote anayeweza kuwasaidia kupata haki hata kama mtu huyo atakuwa ni Ibilisi

Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 89% na akiendelea na kampeni ushindi ni 98%

Kazi zake nzuri zinaonekana
Kwa kampeni zipi? Hizi za kuwatishia wananchi??
 
Huu ndio ukweli mchungu kwa hawa watu hawa ambao wameamua kutumia mabavu kunyanyasa wengine, tena wakitimiza wajibu waliopewa kwa doublestand ya hali ya juu.

Mnawalazimisha watu kutafuta haki zao nje ya mifumo iliyopo kwasababu mifumo hiyo haitendi haki, alafu cha ajabu, nyie ndio mnakuwa wa kwanza kulalamika.Ujinga gani huu!!

Kwa kifupi, mnachokifanya ni sawa na kumtandika mtu mzima bakora, alafu ulalamike kuwa anakupigia kelele anapolia kutokana na maumivu uliomsababishia au usitake alie kabisa!

Kwa mwendo huu,hata shetani watashirikiananae mradi tu anaweza kuwasaidia kupata haki yao na hata Mungu atatoa baraka zake na mwisho wa siku mtashindwa tu.
Kuna mtu aliwai kuandika uzi humu miaka michache iliyopita kuwa kwa sababu magufuli anaua upinzani wa wazi basi ajiandae kupambana na upinzani wa ndani ambao ni mkubwa na mbaya zaidi. Mtu unacheka nae ila hujui anakuwazia nini??? Hiki ndo anachopambana Nacho magufuli sasaivi!!
 
Ukivunja sheria hata ibilisi nae atakukataa tu,maana kuna siku na yeye utavunja sheria zake.
Salary Slip kaamua ayatoe ya moyoni!!! Amegundua aliyekuwa anamnywesha sumu wakati wa ACACIA na matishio ya MIGA kuwa ni ibilisi...!!! Hongera kwa kuling'amua hilo mapema.
 
Huu ndio ukweli mchungu kwa hawa watu hawa ambao wameamua kutumia mabavu kunyanyasa wengine, tena wakitimiza wajibu waliopewa kwa doublestand ya hali ya juu.

Mnawalazimisha watu kutafuta haki zao nje ya mifumo iliyopo kwasababu mifumo hiyo haitendi haki, alafu cha ajabu, nyie ndio mnakuwa wa kwanza kulalamika.Ujinga gani huu!!

Kwa kifupi, mnachokifanya ni sawa na kumtandika mtu mzima bakora, alafu ulalamike kuwa anakupigia kelele anapolia kutokana na maumivu uliomsababishia au usitake alie kabisa!

Kwa mwendo huu,hata shetani watashirikiananae mradi tu anaweza kuwasaidia kupata haki yao na hata Mungu atatoa baraka zake na mwisho wa siku mtashindwa tu.
Kula tano na usome signature yangu!
 
Imetolewa kwa kina robert [emoji3][emoji3]
CCM yenyewe inajinadi itashinda kwa zaidi ya 75% lakini hawa wategemezi wa Lissu wao wameweka itashinda kwa CCM 89%.
hali ni mbaya sana kwa Lissu.
waanze kujitathmini kukosoa uchapakazi wa JPM hiki ndo kikwazo kikubwa cha Lissu kunyimwa kura.
 
Huu ndio ukweli mchungu kwa hawa watu hawa ambao wameamua kutumia mabavu kunyanyasa wengine, tena wakitimiza wajibu waliopewa kwa doublestand ya hali ya juu.

Mnawalazimisha watu kutafuta haki zao nje ya mifumo iliyopo kwasababu mifumo hiyo haitendi haki, alafu cha ajabu, nyie ndio mnakuwa wa kwanza kulalamika. Ajabu kabisa hii!!

Kwa kifupi, mnachokifanya ni sawa na kumtandika mtu mzima bakora, alafu ulalamike kuwa anakupigia kelele anapolia kutokana na maumivu uliomsababishia au usitake alie kabisa!

Kwa mwendo huu,hata shetani watashirikiananae mradi tu anaweza kuwasaidia kupata haki yao na hata Mungu atatoa baraka zake na mwisho wa siku mtashindwa tu.
Tena tunapaswa kuanza kukiondoa ccm wakati huu tusisubiri uchaguzi manake hakuna haki yoyote pale, ni wakati wa kuingia mtaani.
 
UN wametoa utafiti mpya ule wa mwanzo ni batili.
1601719951795.png
 
Back
Top Bottom