mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Nilivyoona jana yule mwamba wa Dom alivyomuua mkewe kisa vicoba, sina hamu,
Yaani mke kamuomba mumewe pesa ya apeleke kwenye vicoba, mume akasema hana pesa
Mke akatoka home saa kumi jioni na kurudi saa mbili,eti alienda kukopa pesa kwa shoga yake,,,,,mume akafanya maamuzi magumu.
Yaani mke kamuomba mumewe pesa ya apeleke kwenye vicoba, mume akasema hana pesa
Mke akatoka home saa kumi jioni na kurudi saa mbili,eti alienda kukopa pesa kwa shoga yake,,,,,mume akafanya maamuzi magumu.