Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Sawasawa.. mie nilijikita hapo kwenye kuliwa kwa uhitaji fulani!Hio sekta ya wengine mie nipo hapo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa.. mie nilijikita hapo kwenye kuliwa kwa uhitaji fulani!Hio sekta ya wengine mie nipo hapo tu
Hadi mtandao atatoaKama umeoa kahaba hata asipocheza kikoba ataliwa tu.
Umalaya ni tabiaWatu kusomeshwa kwa vikoba na gongo hakuondoi ukweli kuwa Mwanamke anayecheza vikoba ni rahisi kwa 99% kuingia kwenye umalaya.
Hahahaaa... kazi wanayoooo Hakyanani!!Sasa kama wanaume wenyewe wamekua waoga na wa kulalamika hivi wake zao wafanyaje🤔🤔
🤣🤣🤣🤣🤣NDIO maana ila Kuna option Mbili tu, usipooa utaolewa, na Mimi nasema olewa tu
Sioi leo,sioi kesho
Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu. Mtu akikwambia haoi mshukuru sana ujue kaiepushia dunia matatizo makubwa.Usioe kabisa😃😃😃
Hahahaaa... kazi wanayoooo Hakyanani!!
Mume Keshajua tatizo ndio akomae kupambana sasa sio kuishia kulalamika!
Maada ifungweNdoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu. Mtu akikwambia haoi mshukuru sana ujue kaiepushia dunia matatizo makubwa.
Exactly!!Mwanaume kutopenda vikoba, na mwanamke kuendelea kucheza vikoba tayari ni wazi kabisa kwamba mwanaume ameshindwa kuwa mwanaume either kwa kumtunza mke kwa matunzo sahihi au kwa kuhakikisha familia inaishi
Hahahahaha acha kunichonganisha🤣🤣🤣🤣🤣
Kwakweli.
🤔 Eti jamani!Huu uzi angalau umeakisi hali za mitaani huko
Kuna mdada amepigwa mimba tatu kisa vicoba
[emoji23][emoji23][emoji23] tuwapende wazazi wetu na tuwajari. Ila kamwe, mzazi huna haki ya kumhukumu mwanao eti kwasababu ulimtunza. Wewe ndio uliemleta duniani bila hata kumshirikisha na ulifanya hivyo kwa starehe zako wala yeye hakuwemo ndani ya starehe na mtoto kutunzwa na wazazi wake ni jukumu la mzazi wala sio upendeleo au huruma zako. Watoto tupende wazazi wetu ila kuwa mzazi ulichagua hukushurutishwa basi timiza majukumu yako.Watanzania wengi wamesoma kwa vicoba na pombe ya gongo huo ndio ukweli. Halafu unakuta mpumbavu anamsahau mama yake anahonga kahaba. Sema tu wazazi huwa wanamuachia MUNGU tu, mtu akiwaza kalala mara ngapi kituoni kwa kesi za gongo, au vitu vyake vya ndani vilichukuliwa kwa marejesho ya vicoba leo toto limetekwa na kahaba ndo anafaidi. Mungu awatie nguvu wamama wote
Hapo unapingana na nature Hakuna apangae nani aje duniani[emoji23][emoji23][emoji23] tuwapende wazazi wetu na tuwajari. Ila kamwe, mzazi huna haki ya kumhukumu mwanao eti kwasababu ulimtunza. Wewe ndio uliemleta duniani bila hata kumshirikisha na ulifanya hivyo kwa starehe zako wala yeye hakuwemo ndani ya starehe na mtoto kutunzwa na wazazi wake ni jukumu la mzazi wala sio upendeleo au huruma zako. Watoto tupende wazazi wetu ila kuwa mzazi ulichagua hukushurutishwa basi timiza majukumu yako.
Mwanaume kafanya kosa gani hapo[emoji23][emoji23][emoji23], duh! Wewe wajibika ndani ya maisha yako, mwanaume sio slave kiasi hicho ikiwa wanawake hawataki wenyewe kuwajibika kama wake. Maisha ni yako, jiwajibishe inavyopaswa. Hukuzaliwa na mwanaume. Ukitaka kufuata maandiko, basi hakikisha nawe wayafuata. Ujiumize na kutumia mwili wako vibaya, kesho uulizwe na Mungu eti useme mwanaume hakuwajibika. Weee!Usiseme serikali ipige vita vikoba
Sema wanaume wawajibike kusimama kwenye nafasi zao
Binafsi sijawahi cheza vikoba wala sina huo mpango ila sioni sababu muhimu ya serikali kuweka katazo