Tatizo kuna wengine wanacheza kisirisiri na hiyo hela kikoba kikivunjwa huioniUsiseme serikali ipige vita vikoba
Sema wanaume wawajibike kusimama kwenye nafasi zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kuna wengine wanacheza kisirisiri na hiyo hela kikoba kikivunjwa huioniUsiseme serikali ipige vita vikoba
Sema wanaume wawajibike kusimama kwenye nafasi zao
Tatizo kuna wengine wanacheza kisirisiri na hiyo hela kikoba kikivunjwa huioni
Wanawake mna siri sana,kama mnatubambikia watoto kwenye ndoa tunawalea kuna kitu mnashindwa nyieUkiona kuna siri Kati ya mambo wanayofanya wanandoa ujue hapo ni utapeli tuu ndoa ilishajifia
Kama kuliwa tunaliwa sana tu sio hadi kwenye kusaka hela ya vicoba!Wadada wanaliwa sana kusaka hela ya mchezo
[emoji1787][emoji1787]Kama kuliwa tunaliwa sana tu sio hadi kusaka hela ya vicoba!
Watu kusomeshwa kwa vikoba na gongo hakuondoi ukweli kuwa Mwanamke anayecheza vikoba ni rahisi kwa 99% kuingia kwenye umalaya.Watanzania wengi wamesoma kwa vicoba na pombe ya gongo huo ndio ukweli. Halafu unakuta mpumbavu anamsahau mama yake anahonga kahaba. Sema tu wazazi huwa wanamuachia MUNGU tu, mtu akiwaza kalala mara ngapi kituoni kwa kesi za gongo, au vitu vyake vya ndani vilichukuliwa kwa marejesho ya vicoba leo toto limetekwa na kahaba ndo anafaidi. Mungu awatie nguvu wamama wote
Wanawake mna siri sana,kama mnatubambikia watoto kwenye ndoa tunawalea kuna kitu mnashindwa nyie
Watu kusomeshwa kwa vikoba na gongo hakuondoi ukweli kuwa Mwanamke anayecheza vikoba ni rahisi kwa 99% kuingia kwenye umalaya.
Kama kuliwa tunaliwa sana tu sio hadi kwenye kusaka hela ya vicoba!
Ila kuna kaukweli kicoba mtihani sana kama hauna kazi au biashara
Sometimes inakua No way!😉[emoji1787][emoji1787]
🤣
Kabisaaa!
Sometimes life fucks you know!!👋
Sioi leo,sioi keshoWewe nawe umebambikwa!? 🤣🤣🤣🤣
Acha hofu fuata taratibu sahihi kupata mwanamke sahihi na wewe pambana kuhakikisha unakuwa mume sahihi
Hio sekta ya wengine mie nipo hapo tuKama kuliwa tunaliwa sana tu sio hadi kwenye kusaka hela ya vicoba!