Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Wala si uongo huwa naona wanavyohangaikaHiyo shughuli ni noma. Ukikuta mchezo unakuwa danga
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala si uongo huwa naona wanavyohangaikaHiyo shughuli ni noma. Ukikuta mchezo unakuwa danga
Mme anarudi jioni walisha komba vitu ndani, usawa wenyewe huu ulijibana mnapikia gase sasa jiko na mtungi wamesomba [emoji3][emoji3][emoji3]
Mkutane akili zenu zimetulia, vinginevyo ni balaa wengine huchukua hela za vicoba halafu wanafanyia shughuli ambazo haziongezi dhamani ya hizo hela.Muwe kumi mnacheza kikoba cha laki tano, siku yako ya kupokea ni raha tu.
Ziliingia kwa mkupuo?Huu uzi angalau umeakisi hali za mitaani huko
Kuna mdada amepigwa mimba tatu kisa vicoba
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kuna madada wa UN walicheza cha milioni moja mzunguko wako ukifika unakunja milioni 10 au zaidi.Mkutane akili zenu zimetulia, vinginevyo ni balaa wengine huchukua hela za vicoba halafu wanafanyia shughuli ambazo haziongezi dhamani ya hizo hela.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kuna mahali tulikua watu kumi, kwa kiingilio laki tano tano, ukafika wakati wanachama wakopeshane kwa zamu, sasa wale waliokopeshwa wakiishachukua mkopo na muda wa kurejesha umefika hawarejeshikwa wakati Wanawaulizia wanachama wengine kama wamerejesha , ikiwa hawajarejesha nao hawarejeshi mwisho wa siku wale waliokua hatujachukua hela tukagawana kilichokuwepo.Kuna madada wa UN walicheza cha milioni moja mzunguko wako ukifika unakunja milioni 10 au zaidi.
Naomba uniunge kwenye hicho kikoba[emoji3][emoji3][emoji3]Muwe kumi mnacheza kikoba cha laki tano, siku yako ya kupokea ni raha tu.
nakazia tena na tena na tena90% ya wanawake duniani ni malaya wawapo mbele ya pesa.
nakazia tena na tena na tena
Kama ni hivyo basi vicoba ni mkombozi WA maisha ya chini....Vikoba vya Ulaya vimesajiliwa na vinaendeshwa na halmashauri za Wilaya. Vinasaidia watu wenye uwezo mdogo kumudu gharama kama za mazishi, harusi, kununua gari au furniture za ndani.
Unafungua account na unaweka pesa kila mwezi. Ukifikisha milioni 3 ukiwa na shida wanakukopesha milioni 3. Wanaamini kama uliweza kuweka milioni 3 hutashindwa kulipa huo mkopo.
Kujiandikisha ni mpaka uwe na vigezo na uthibitisho wa u kazi.
Bado utapigwa tu, vikoba nimegundua vinatoa hamasa ya hali ya juu ya kufanya mwanamke apende pesa zaid kama ilivo kwa saloon za kike story zinazopigwa mle na vikoba vilevile, utasikia akina mama, leo nipige kizinga danga langu la .... hapo mkeo ataona k, si kitu anaweza gawa na kusiwe taabu. Ninaungana na mtoa mada usiruhusu mke kama haingiz kucheza kikobaKama mimi ndio nampa pesa ya kikoba/vikoba shida iko wapi!
Ndugu mleta mada umeangazia maisha halisi napenda kukupongeza kwani haya uliyosema ndio maisha halisi ya mama zetu,dada zetu na wake zetu huku mtaani .
Kikoba kinageuza mke mwema kuwa kahaba wa chini kwa chiniKama umeoa kahaba hata asipocheza kikoba ataliwa tu.