Dah! Huko kutukanana๐๐๐,ila asante. Bali msimamo wangu upo palepale usitegemee maisha unayoyaishi wewe ayacontrol mtu mwingine. Kuongoza sio kucontrol, na hilo agano halijawekwa upande wa mwanaume tu bali lipo upande wa mwanamke pia. Na wengi mmeshindwa kulitimiza kwakufuata usasa. Majukumu ya nyumbani huyafanyi na bado nikulee, ukifanya unasema mnakandamizwa, wewe ni nani upate benefits out of breached contract.Thibitisha kwamba hiyo pesa haitunzi familia
Kuwa mwanaume ni jukumu la kiagano na linaloambatana na baraka za mwenyezi Mungu ambazo zinapita kwake na kuingia kwenye nyumba yake.
Kama wewe ni mwanaume na hutaki Hilo jukumu basi wewe kuwa mwanamke
๐๐๐ mlishakataa mapema sana kuwa mwanaume sikichwa na maisha bila yeye mtaendelea. Mwairudiaga hiyo sentensi kuwa mwanaume ni kichwa mpatapo na shida tu. Ndivyo mabinti wenu mlivyowalea, wakasema mimi ninaelimu hivyo hata nafasi ya mwanamke wakaidharau, leo hii majanga yakianza mwanaume ndio kichwa.Mwanaume wajibika kuwa kichwa cha msaidizi wako
SI unaona hapo amesahau ana majukumuu ya kuandaa watoto kupika alafu anarudi SAA mbili alafu ukute hakukubaliana na kuelewana huyo mume wake vizuri KUHUSU kwenda anakoenda.Mwisho wa SIKU maamuzi ya hasira yametumikaNilivyoona jana yule mwamba wa Dom alivyomuua mkewe kisa vicoba,sina hamu,
Yaani mke kamuomba mumewe pesa ya apeleke kwenye vicoba,mume akasema hana pesa
Mke akatoka home saa kumi jioni na kurudi saa mbili,eti alienda kukopa pesa kwa shoga yake,,,,,mume akafanya maamuzi magumu.
WANAWAKE wa Sasa hivi wanaendeshwa na feminism wanataka asilimia 50 kwa 50. Basi wajitunze maana kama wote tunakula pasu kwa pasu maanake wote TUNAWEZA kujimudu .Mimi kwa kweli mwanamke hafanyi kazi za nyumbani za kawaida anasema anaonewa nimemuoa kwa sababu IPI .Dah! Huko kutukanana[emoji23][emoji23][emoji23],ila asante. Bali msimamo wangu upo palepale usitegemee maisha unayoyaishi wewe ayacontrol mtu mwingine. Kuongoza sio kucontrol, na hilo agano halijawekwa upande wa mwanaume tu
Nilivyoona jana yule mwamba wa Dom alivyomuua mkewe kisa vicoba,sina hamu,
Yaani mke kamuomba mumewe pesa ya apeleke kwenye vicoba,mume akasema hana pesa
Mke akatoka home saa kumi jioni na kurudi saa mbili,eti alienda kukopa pesa kwa shoga yake,,,,,mume akafanya maamuzi magumu.
Imeelezea ndoa kwa sentensi moja. ThanksNdoa ni upendo unaojengwa na utii.
Hakumuaga mumewe,SI unaona hapo amesahau ana majukumuu ya kuandaa watoto kupika alafu anarudi SAA mbili alafu ukute hakukubaliana na kuelewana huyo mume wake vizuri KUHUSU kwenda anakoenda.Mwisho wa SIKU maamuzi ya hasira yametumika