matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
nyie wadau, acheni basi kumuua mleta mada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajiri ni siriBado naona kama umeegemea kwenye nadharia zaidi. Hebu fafanua vizuri kwa mifano halisi (practical examples) huku ukizingatia mazingira yetu haya yenye utitiri wa kodi za TRA na tozo za kila aina. Maana wengi wanapambana sana lakini wanaishia tu kupata hela ya kula na kuendesha familia zao lakini siyo kutajirika. Hawa wanakosea wapi?
Inaonekana una fomyula ya utajiri ila hujaiweka wazi kama ilivyo kawaida yenu matajiri na watia hamasa (motivational speakers). Huwa mnaishia kugusia gusia tu nadharia za juu juu na kamwe huwa hamtoi codes zote.
Hebu funguka mkuu jinsi ulivyoweza kutajirika kihalali kabisa katika mazingira haya ya Tanzania bila connections zilizokuwezesha kukwepa kodi, kuingiza bidhaa feki n.k.
Utatusaidia wengi; na Mungu Akubariki sana kwa moyo wako huu mwema 🙏🏿
Nyie biashara si mchezo[emoji16]atuambie yeye aliwezaje hizi soga zipo sana twitter kama unazipenda
[emoji419][emoji419]Utajiri ni siri
Hakuna formula maalumu ila kuna mambo ukiyafanya Kwa kujua au kutojua unakuwa tajiri ndiyo maana baadhi ya wataalamu wa uchumi wanaamini kuwa kuna sayansi ya utajiri. Ikumbukwe kuwa raslimali ni chache "scarce" hivyo matumizi mazuri ya raslimali yoyote ile ni code mojawapo.Bado naona kama umeegemea kwenye nadharia zaidi. Hebu fafanua vizuri kwa mifano halisi (practical examples) huku ukizingatia mazingira yetu haya yenye utitiri wa kodi za TRA na tozo za kila aina. Maana wengi wanapambana sana lakini wanaishia tu kupata hela ya kula na kuendesha familia zao lakini siyo kutajirika. Hawa wanakosea wapi?
Inaonekana una fomyula ya utajiri ila hujaiweka wazi kama ilivyo kawaida yenu matajiri na watia hamasa (motivational speakers). Huwa mnaishia kugusia gusia tu nadharia za juu juu na kamwe huwa hamtoi codes zote.
Hebu funguka mkuu jinsi ulivyoweza kutajirika kihalali kabisa katika mazingira haya ya Tanzania bila connections zilizokuwezesha kukwepa kodi, kuingiza bidhaa feki n.k.
Utatusaidia wengi; na Mungu Akubariki sana kwa moyo wako huu mwema 🙏🏿
Utajiri wa uswazi au hata ule wa wakina Bill Gate.Utajiri ni siri
BothUtajiri wa uswazi au hata ule wa wakina Bill Gate.
Hizo siri ni zipi mkuu.Both
Easy said than doing..Ukweli mchungu lakini ndivyo ulivyo, Ili dawa iingie wakati mwingine sindano kwanza. Moja kwa moja kwenye hoja ni kwamba kwamba kama hakuna huduma au bidhaa unayoizalisha na kuitoa kwa jamii kama mbadilishano kutafuta utajiri bila njia hiyo ni kujighilibu akili.
Mahitaji ya jamii yako ndiyo utajiri wako, utajiri mwingi upo kwenye changamoto na matatizo ya jamii. Huduma au bidhaa unazozizalisha na kuzisambaza Ili kutatua kero mbalimbali katika jamii yako ndiyo suri ya mafanikio yako.
Kuna matatizo kila mahali hivyo kuna utajiri kila mahali amka Anza kufumbua macho ya akili yako uone. Pesa ni njia tu ya kubadilishana huduma au bidhaa weka kipaumbele katika kuiona huduma au bidhaa yako Kwa jamii.
Mtu anaweza kukupa pesa na zisikusaidie chochote Kwa sababu pesa ni njia tu ya kubadilishana, tafuta cha kubadilisha kwanza Kwa kuangalia jamii yako inahitaji nini.
Kubwa sana na matajiei kamwe hawasemi ukweli.motivesheni spika kwenye 1&2 😃
UTAJIRI NI SIRI.
Utajiri ni siri na utabakia kuwa siri sirini....Hizo siri ni zipi mkuu.
Ila za kishirikina na kijambaka sizitaki
Semin ukweli mnapiga madeal haramu ndio mnafungua biashara zenu za halali![]()
Naam! Likisemwa lipo na linatakiwa kufanywa, kuonekana gumu kwa mtu binafsi haimaanishi kila mtu hawezi kulifanya Mkuu..Easy said than doing..
SawaNaam! Likisemwa lipo na linatakiwa kufanywa, kuonekana humu haimaanishi Kila mtu hawezi kulifanya Mkuu..
Haya mkuuUtajiri ni siri na utabakia kuwa siri sirini....
Siri ni kuwa productiveUtajiri ni siri na utabakia kuwa siri sirini....
AusioSiri ni kuwa productive
mimi sio tajiri ila kuna moja niliigundua baada ya kufatilia sana siasa za marekani,Hizo siri ni zipi mkuu.
Ila za kishirikina na kijambaka sizitaki
Hebu tupe mifano ya kiuhalisia kama miwili au mitatuSiri ni kuwa productive
Weeee! Ivi searching engine like chrome, na apps like Facebook,X , tuachane navyo twende like Microsoft ni huduma au bidhaa tuaze hapo kwanzaNi kweli.
Huduma au bidhaa.
Ila bidhaa ndio inayoleta utajiri usiochosha kuliko huduma.
Dunia ya sasa inahama kwenye utajiri wa kukomaa wanaenda kwenye passive income.
Mfano unaebook, na umeitafutia marketing agency wa maana. Baada ya hapo unakua unaokota pesa huku bidhaa yako inatoka sokoni kimyakimya duniani kote.
Huduma kama unategemewa wewe lazima ife siku usipokuwepo. Pia kwenye list ya mabilionea laki wa dunia hakuna aliyetajirika kwa kutoa huduma.
Nitakubali kukosolewa.