Kama haufanyi mambo haya hauna haki ya kumiliki pesa au mali; utaishia kutamani tu na umasikini hautakuacha

Utajiri ni siri
 
Hakuna formula maalumu ila kuna mambo ukiyafanya Kwa kujua au kutojua unakuwa tajiri ndiyo maana baadhi ya wataalamu wa uchumi wanaamini kuwa kuna sayansi ya utajiri. Ikumbukwe kuwa raslimali ni chache "scarce" hivyo matumizi mazuri ya raslimali yoyote ile ni code mojawapo.

Kodi kweli ni changamoto hususani maeneo ya mijini katika Taifa letu ikiambatana na aina ya biashara na namna tunavyoziendesha, mifumo ya Serikali yetu kupata Kodi ni changamoto nyingine. Jambo zuri kwa nchi yetu ni kwamba tunasoko kubwa na matatizo ni mengi kuliko biashara zilizopo.
 
Easy said than doing..
 
Hizo siri ni zipi mkuu.
Ila za kishirikina na kijambaka sizitaki
mimi sio tajiri ila kuna moja niliigundua baada ya kufatilia sana siasa za marekani,

kuhonga wanasiasa(lobbying) wakurahisishie mambo mfano tozo za bandarini

pia kuna kukwepa kodi ila inakua rahisi ikifanywa kwa kuambatana na hiyo ya kwanza
 
Weeee! Ivi searching engine like chrome, na apps like Facebook,X , tuachane navyo twende like Microsoft ni huduma au bidhaa tuaze hapo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…