ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
KCT we are proudKAZI ni kipimo cha utu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KCT we are proudKAZI ni kipimo cha utu
nimechimba sana mkuu, kwa mchimbaji mdogo sishauri mtu afanye. labda uajiriwe GGM ,Shanta nk
hao ni hatari kuna mwingine anaitwa murzahBora uuze uji, kuliko kwenda kuzeeka kwa mo dewji au bakhresa.
Au bora mahindi mwisho wa mwezi Nina pesa zaidi hio ya kuzeesha
hata security guard tu GGM anamzidi mshahara mchumi,afsa kilimo, mwalimu wa halmashauriKaka GGM si inatakiwa uwe na experience na vyeti vizito au Kuna vibarua wa kawaida?
Kct ninini mkuu?KCT we are proud
Mkuu uchumi wetu wawekezaji wakubwa ni wahindi, serikali Haina nguvu ya kusema, unafikiri hawajui yanayoendelea?hao ni hatari kuna mwingine anaitwa murzah
mkuu wabongo wengi wanaishia kuwa vilema humo ndani, pengine hapo SBC-PepsiMkuu uchumi wetu wawekezaji wakubwa ni wahindi, serikali Haina nguvu ya kusema, unafikiri hawajui yanayoendelea?
njaa kali balaaMmmh asee kitaa pamoto sana.
Hili nakubaliana na wewe 100% .mkuu wabongo wengi wanaishia kuwa vilema humo ndani, pengine hapo SBC-Pepsi
sahihi chiefHili nakubaliana na wewe 100% .
Kuna mzee mwaka wa 4 sasa hajalipwa na amevunjika kila siku ni kuzungushana.
Bora niuze matunda au kuchoma kuku buguruni sio kwenda kwa dewji kufa.
Kazi za viwandani bora uwe na skills sio kibarua utaumia na hakuna mtu ana muda na wewe.
Huwa ninamshangaa kijana anayeumia kubeba bando kwa mo dewji au viroba kwa bakhresa.wakati nasoma bandiko hili niko kiwanda cha uchanaji mbao daaah jamaa hawana kitendea kazi chochote sio barakoa, miwani wala mabuti magumu
kifupi mazingira,ni hovyo na posho ni iyo buku tano kwa siku
HakikaUtumwa umerudi kwa jina jipya "Kibarua"
sahihi chiefYoshua 24:20
20 : Kama mkimwacha Bwana na kuitumikia miungu migeni, ndipo atageuka na kuwatenda mabaya na kuwaangamiza, baada ya kuwatendea mema.
Hao uliowataja wapo kwa ajili ya maslahi yao tu sio kutetea wapiga kura wa ccm.Jamani katika harakati za kutafuta kazi, vibarua na ajira rasmi. Wengi tumeangukia sekta binafsi.
Aloo huku watu wanasota mbaya, kuna viwanda hapo vingunguti malipo ni bukutano per day. Unaingia asubuhi mpaka saa 12 jioni. Wengine wanaingia usiku.
Ili upate hizo kazi lazima uhonge mlinzi wa gardaworld ama section foremen na hiyo bukutano yenu mtapewa mwisho wa wiki.
Kuna taasisi pia nilifanya nayo kazi, ilifikia hatua unasaidiwa hela ya msosi na client wako na mkilia kwa Manager kuwa mshahara hautoshi, Manager anasema kama hauna njaa acha kazi!
Hivi najiuliza maofisa kazi, wizara ya kazi na ajira, Osha, WCF na watu wa haki za binadamu mnaijua hali wanayopitia Watanzania wenzenu humo viwandani na sekta binafsi?
Nchi imeuzwa na vijana hawajielewi.Jamani katika harakati za kutafuta kazi, vibarua na ajira rasmi. Wengi tumeangukia sekta binafsi.
Aloo huku watu wanasota mbaya, kuna viwanda hapo vingunguti malipo ni bukutano per day. Unaingia asubuhi mpaka saa 12 jioni. Wengine wanaingia usiku.
Ili upate hizo kazi lazima uhonge mlinzi wa gardaworld ama section foremen na hiyo bukutano yenu mtapewa mwisho wa wiki.
Kuna taasisi pia nilifanya nayo kazi, ilifikia hatua unasaidiwa hela ya msosi na client wako na mkilia kwa Manager kuwa mshahara hautoshi, Manager anasema kama hauna njaa acha kazi!
Hivi najiuliza maofisa kazi, wizara ya kazi na ajira, Osha, WCF na watu wa haki za binadamu mnaijua hali wanayopitia Watanzania wenzenu humo viwandani na sekta binafsi?
Hawa Maofisa ni Wanyama sana halafu ni Makatili kupindukia na hawa ndio wanaowapa Waajiri viburi, maana hawafuati maadili ya kazi yao. Wananuka rushwa hawa. Mkuu la msingi pambana kwa kila namna ili uwe na cha kwako ukiendeleze na Wewe uwaajiri wengine.Hivi najiuliza maofisa kazi, wizara ya kazi na ajira, Osha, WCF na watu wa haki za binadamu mnaijua hali wanayopitia Watanzania wenzenu humo viwandani na sekta binafsi?