Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi/ kipato muhuni asee!
Jamani katika harakati za kutafuta kazi, vibarua na ajira rasmi. Wengi tumeangukia sekta binafsi.
Aloo huku watu wanasota mbaya, kuna viwanda hapo vingunguti malipo ni bukutano per day. Unaingia asubuhi mpaka saa 12 jioni. Wengine wanaingia usiku.
Ili upate hizo kazi lazima uhonge mlinzi wa gardaworld ama section foremen na hiyo bukutano yenu mtapewa mwisho wa wiki.
Kuna taasisi pia nilifanya nayo kazi, ilifikia hatua unasaidiwa hela ya msosi na client wako na mkilia kwa Manager kuwa mshahara hautoshi, Manager anasema kama hauna njaa acha kazi!
Hivi najiuliza maofisa kazi, wizara ya kazi na ajira, Osha, WCF na watu wa haki za binadamu mnaijua hali wanayopitia Watanzania wenzenu humo viwandani na sekta binafsi?
bora saidia fundi, nalamba 15,000 kwa kutwa. Sema na yenyewe haina uhakika wa kila siku. Maisha ni changamoto sana hasa kwa vijana.
Mchizi boti inakuaje mkuu kwema hapo machimboni??Acheni kupiga kelele badala yake njooni tuchimbe madini.
upo wap mkuuAcheni kupiga kelele badala yake njooni tuchimbe madini.
Hizi kauli sikubaliani nazo hadi kesho.....unadhurumiwa we ukiwa wapi!?daah wameupata utajiri kwa kudhulumu manamba wa tanzania
Sorry huenda ukaona ni mateso...lakini changamoto tuliyonayo wengi ni kudhani kisa unafanya kazi basi mshahara bora na maokoto makubwa ni haki yako, kila sector binafsi unayoona nyingi katika hizo zinapambana katika level yake kuwa hapo zilipo....kama unahisi ni rahisi upewe wewe uone kama haifi mikononi mwako....tunawaza kuvuna bila kupanda...amini kuwa kama kila kitu kingekuwa kinawezekana kufanyika na mashine bila uwepo wa binadam basi wengi wangetumia mashine lakini uwezo hauruhusu...Hivi najiuliza maofisa kazi, wizara ya kazi na ajira, Osha, WCF na watu wa haki za binadamu mnaijua hali wanayopitia Watanzania wenzenu humo viwandani na sekta binafsi?
Hapo wamiliki itakuwa ni Wachina, Wahindi, Waarabu.viwanda hapo vingunguti malipo ni bukutano per day.
Hivi kima cha chini cha mshahara (ambacho nadhani ni 300k) hakiwahusu hao wenye viwanda?changamoto tuliyonayo wengi ni kudhani kisa unafanya kazi basi mshahara bora na maokoto makubwa ni haki yako
Wanaijua sana na ndio wako nyuma ya camera.Jamani katika harakati za kutafuta kazi, vibarua na ajira rasmi. Wengi tumeangukia sekta binafsi.
Aloo huku watu wanasota mbaya, kuna viwanda hapo vingunguti malipo ni bukutano per day. Unaingia asubuhi mpaka saa 12 jioni. Wengine wanaingia usiku.
Ili upate hizo kazi lazima uhonge mlinzi wa gardaworld ama section foremen na hiyo bukutano yenu mtapewa mwisho wa wiki.
Kuna taasisi pia nilifanya nayo kazi, ilifikia hatua unasaidiwa hela ya msosi na client wako na mkilia kwa Manager kuwa mshahara hautoshi, Manager anasema kama hauna njaa acha kazi!
Hivi najiuliza maofisa kazi, wizara ya kazi na ajira, Osha, WCF na watu wa haki za binadamu mnaijua hali wanayopitia Watanzania wenzenu humo viwandani na sekta binafsi?
Hizi ni siasa ndugu....tuchukukulie baada ya yote ya kiserikali tra, osha, halmashauri na mengineyo kulingana na kazi yenyewe tuje kwenye uzalishaji na tulipe hiki kima cha chini kisa ni kiwanda unadhani tunatoboa....mara nyingi unapoona hizo kazi zinatangazwa au zinakuwepo mtoa kazi anasema na uwezo wake wa malipo kwa kazi husika kama unaona malipo hayo kulingana na njaa zako unaweza basi fanya na usilalamike kuwa unaonewa....la acha katafute kule ambako unalingana napo....huwezi jua akilipa zaidi ya hapo anafilisika na hatutamuona tena sokoni .Hivi kima cha chini cha mshahara (ambacho nadhani ni 300k) hakiwahusu hao wenye viwanda?