Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
We mswahili haujui chochote kwakuwa haujatembea hii duniaHayo mambo ni kwa africa huko kwingine hawana hizo mambo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mswahili haujui chochote kwakuwa haujatembea hii duniaHayo mambo ni kwa africa huko kwingine hawana hizo mambo sana.
Hata serikali ya marekani ina kitengo maalum chini ya CIA kazi yao kufanya "remote viewing" , jamaa wanaona matukio ya mbele yote, na inasemekana hawa ndio wanatabiri matukio yote makubwa ikiwemo maafa na majanga mbalimbali. Na wanatoa mafunzo kabisa ya hii kaziMkuu sikia.....
Hapa Marekani makampuni makubwa mengi yameajiri mtu maalum kwa ajili ya kuangalia hali ya kiroho ya kampuni na jukumu lake kubwa ni kuiombea kampuni..
wenyewe wanasema spiritual well being and promote a positive work environment. kama sikosei wanaitwa Corporate chaplains ....masuala ya kiroho na ushauri hawa watu wanamuomba Mungu usifanye mchezo......wakiamini inaongeza uzalishaji/faida...pia better work life balance to navigate personal na proffessinal challenges...hii ni mpaka mahospitalini kuna dogo hapa jirani alikwenda kufanyiwa operation ya moyo..madaktari bingwa wakapiga magoti na kuanza kuomba kwa jina la YESU..
Amini kwamba.
Kutoboa kwenye nini?Badi huwezi kutoboa
Kupanga ni kuchagua.Kuna roho za mizimu, majini is vibwengo, Roho Mtakatifu nk..
Je ni roho ipi ?
Mkuu umesema vyema kuna mtu alishawahi kusema, hata kwenye izi kampuni kubwa mtu anapoenda kuajiriwa, Miiko ya kampuni na Desturi zinamtambua Mtu uyo ni Nani?!Mkuu sikia.....
Hapa Marekani makampuni makubwa mengi yameajiri mtu maalum kwa ajili ya kuangalia hali ya kiroho ya kampuni na jukumu lake kubwa ni kuiombea kampuni..
wenyewe wanasema spiritual well being and promote a positive work environment. kama sikosei wanaitwa Corporate chaplains ....masuala ya kiroho na ushauri hawa watu wanamuomba Mungu usifanye mchezo......wakiamini inaongeza uzalishaji/faida...pia better work life balance to navigate personal na proffessinal challenges...hii ni mpaka mahospitalini kuna dogo hapa jirani alikwenda kufanyiwa operation ya moyo..madaktari bingwa wakapiga magoti na kuanza kuomba kwa jina la YESU..
Amini kwamba.
Soma kitabu cha bill gate embodiment of the digital error ndio utaelewa kuhusu hizo habari za kuamini kufanikiwa sijui kiroho alizizungumziaje.Mkuu umesema vyema kuna mtu alishawahi kusema, hata kwenye izi kampuni kubwa mtu anapoenda kuajiriwa, Miiko ya kampuni na Desturi zinamtambua Mtu uyo ni Nani?!
Na maamuzi kufanywa?! Kila kitu lipo spiritually ni vyema kutengeneza kiroho zaidi na Yote yanawezeshwa.
Kwa nyie mnao amini na sio kwa kila mtu .Sio tu mafanikio ya uchumi hata masomo na ndoa.
Ni kweli kabisaWakuu ulimwengu wa biashara upo kiroho zaidi
Kama tukio gani la mbele walilowahi kuliona? Mbona hawakuona september 11 au huu moto uiowaka juzi LA. Tupunguze kuamini kila stori za vijiweniHata serikali ya marekani ina kitengo maalum chini ya CIA kazi yao kufanya "remote viewing" , jamaa wanaona matukio ya mbele yote, na inasemekana hawa ndio wanatabiri matukio yote makubwa ikiwemo maafa na majanga mbalimbali. Na wanatoa mafunzo kabisa ya hii kazi
maswali ya watu wa HKL. Biashara ni Vita mkuu...
. Kila mtu unayemuona huko nje anatafufa hela, hapo ndo pakujiuliza hizo hela zipo na nani???
Wachungaji wetu wanatuambia pray pray pray, ila wao wanakusanya sadaka zetu ndio hizo wanakula. Mbona wao wasi pray pray pray wakapata kila kitu?Wakuu ulimwengu wa biashara upo kiroho zaidi
Ukiachana na kuwa smart kichwani Ila inabidi uwe vizuri kiroho.
Nimefanya biashara kubwa nimejionea hili swala.
Don't hustle in vain nigga
Pray pray pray.
Unadhani kila mtu anakaa kijiweni kama wewe? Sina muda wa story za kijiweni naadika vitu nilivyo vifanyia research ya kutosha, unaweza ukajiona mjanja kwa maneno ya hovyo kumbe fala tu 😆😆😆au unadhani wengine hatujui maneno ya shombo.Kama tukio gani la mbele walilowahi kuliona? Mbona hawakuona september 11 au huu moto uiowaka juzi LA. Tupunguze kuamini kila stori za vijiweni
Wameona nini hawajaona nini it is not my business, articles are everywhere about USA psychic practices, huamini acha, hujalazimishwaKama tukio gani la mbele walilowahi kuliona? Mbona hawakuona september 11 au huu moto uiowaka juzi LA. Tupunguze kuamini kila stori za vijiweni
ebo!!! kumbe ndio inakuwa hivyo. kama huna nyoa ataka kama una upper second unapigwa chiniSure, watu wengine huomba kazi mahali wakakosa, kumbe mwenye biashara lazima aangalie king'amuzi kwanza kabla ya kukuajiri
Utasikia Elon Musk alislim mecca ndio mambo yakamfungukiaHuu ujinga utausikia nchi maskini tu.
Mambo mengine bwana si bahati Yako, wameomba kazi watu 300 wakati inahitajika nafasi moja, wameitwa 20 kwenye interview na wewe upo, ukikosa unasema umerogwa kweli?ebo!!! kumbe ndio inakuwa hivyo. kama huna nyoa ataka kama una upper second unapigwa chini