TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Kwahiyo kwa kifupi ni kwamba hujui. Maana hujajibu swali.Wameona nini hawajaona nini it is not my business, articles are everywhere about USA psychic practices, huamini acha, hujalazimishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo kwa kifupi ni kwamba hujui. Maana hujajibu swali.Wameona nini hawajaona nini it is not my business, articles are everywhere about USA psychic practices, huamini acha, hujalazimishwa
Hapa Kiranga upo upande Gani au haupo popoteHakuna asiyeamini,usipomuamini mungu utaamini uchawi
Mimi sitaki kuamini nataka kujua.Hapa Kiranga upo upande Gani au haupo popote
Sababu ya kutoamini Mungu kwako ni sababu ya upendo wote je uchawi una upendo wote au , kwanini sababu ya kutoamini Mungu iwe hiyo hiyo ya kutoamini uchawiMimi sitaki kuamini nataka kujua.
Kuamini Mungu na kuamini uchawi vyote ni kuamini supernatural powers.
Mimi sikubali kuamini supernatural powers.
Sababu hiyo hiyo inayonifanya nisimuamini Mungu, ndiyo inanifanya nisiamini uchawi.
Umeelewa?
Duhhhmaswali ya watu wa HKL
View attachment 3239596
hapo sasa ni uamuzi wako kuchagua maana kila upande utaleta matokeo unayoyataka.Ulimwengu wa roho una sehemu mbili.
Wapi sasa.
Hujaielewa sababu yangu ya kutoamini Mungu.Sababu ya kutoamini Mungu kwako ni sababu ya upendo wote je uchawi una upendo wote au , kwanini sababu ya kutoamini Mungu iwe hiyo hiyo ya kutoamini uchawi
Wewe unapendelea upande upi na kwanini.hapo sasa ni uamuzi wako kuchagua maana kila upande utaleta matokeo unayoyataka.
Wakuu ulimwengu wa biashara upo kiroho zaidi
Ukiachana na kuwa smart kichwani Ila inabidi uwe vizuri kiroho.
Nimefanya biashara kubwa nimejionea hili swala.
Don't hustle in vain nigga
Pray pray pray.
Akikujibu nitagHujaielewa sababu yangu ya kutoamini Mungu.
Sababu ni logical consistency, lack of logical consistency, si upendo wote.
Kuamini Mungu na kuamini uchawi vyote ni kuamini dunia ya miujiza (supernatural phenomena). Mimi sitaki kuamini miujiza. Kuamini Nungu na kuamini uchawi vyote ni sawa tu kwa sababu vyote ni kuamini miujuza.
Huelewi wapi?
Nikujibu wewe nani labda? Ndio sijui unaamuaje sasa? Kama umeshindwa kusoma hizo articles sema utafsiriwe, idiot mmoja hiviKwahiyo kwa kifupi ni kwamba hujui. Maana hujajibu swali.
Unayumbisha hali yangu ya kirohoNi kweli kabisa
Unasikiliza sana mziki wa SINGELI mkuu.Mkuu sikia.....
Hapa Marekani makampuni makubwa mengi yameajiri mtu maalum kwa ajili ya kuangalia hali ya kiroho ya kampuni na jukumu lake kubwa ni kuiombea kampuni..
wenyewe wanasema spiritual well being and promote a positive work environment. kama sikosei wanaitwa Corporate chaplains ....masuala ya kiroho na ushauri hawa watu wanamuomba Mungu usifanye mchezo......wakiamini inaongeza uzalishaji/faida...pia better work life balance to navigate personal na proffessinal challenges...hii ni mpaka mahospitalini kuna dogo hapa jirani alikwenda kufanyiwa operation ya moyo..madaktari bingwa wakapiga magoti na kuanza kuomba kwa jina la YESU..
Amini kwamba.
Inanisaidia kupata ladha ya kinyumbani...huku upweke sanaUnasikiliza sana mziki wa SINGELI mkuu.
Amini kwamba
Hamna asiyeamin aliyewahi kufanikiwa, wewe bado mdogo!!!!Kwamba kuamini kuna uhusiano gani na mafanikio? Vip ambao hawaamini ila wamefanikiwa pia ?