Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

Hata kama sio sahihi hautoishi milele, kufa ni lazima.
 
2. Inasemekana mpango wa kuwaondoa hao watu duniani umeshaanza. Na njia kubwa inayotumika ni kupitia vyakula tunavyokula, vita, na magonjwa kama vile UKIMWI, Malaria, chanjo za utotoni n.k
Hivi vitu vyote vimekuwepo tangia mwanzo wa dunia na vitaendelea kuwepo hata baada ya hao so called super power kutoweka. Kuna kiwango cha juu cha social injustice, economical injustice, global warming nk vimekuwa vya juu sana na hivi ndio tunavyotaka viwekwe sawa.
Tatizo hapa ni kuwa hakuna cha mdogo wala mkubwa bali kila binadamu anahusika na ukiwa mnyonge na legelege hakutakuwa na wa kukusubiri.
 
Hapo ulipo sema iwe serikali moja mmmh! Ccm labla ndiyo waogoze walivyo wabishi hawatakubali hii mipango yao
 
Kampuni kubwa na maarufu za kiteknolojia kama Microsoft, Google, Apple, Sony nk zina uhusiano na hawa American elites? Na ushoga ni moja ya agenda yao? Maana tunaona hata MSM wanaupromote sana mfano BBC hata CEO wa Apple nae katangaza wazi ni shoga unafahamu chochote?
Mkuu nimefurah umeielezea vzur familia ya huyo jamaa, tatizo watu wanaamini yale tu wanayosoma au kufundishwa au kusikia. Wanasahau kwamba hawa jamaa issues zao huwa hazitangazwi mahali, they are very discreet, hutasikia wanakwambia failures zao, hutasikia wanataja succes zao, hutasikia wanataja ofisi zao, ndo maana marekan wanajulikana kama THE BLACK GOVERNMENT.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Hauwezi kuwatenga hizi social media na ushoga au na agenda ya NWO.

Mara nyingi wanatumia symbolism any occultist wanacommunicate kwa kutumia alama na ishara hii ni mada pana sana ila nitakupa kionjo symbolism inafanyaje kazi kwenye secret societies. Hasa kwenye hili swala la ushoga.

Hii ni the first apple icon View attachment 396619
Hii ni nembo ya zamani ya instagram View attachment 396621

Hii ni nembo ya Microsoft
Microsoft_2011.png

Hii ni nembo ya google View attachment 396622

Hii ni nembo ya NBC View attachment 396624
Na hii ni nembo ya ushoga same-sex flagView attachment 396626
Usije ukadhani huo mfanano wa rainbow kwenye hizo icons imetokea tu kwa bahati mbaya kila detail hapo ina maana nyuma ya pazia na symbolism ndio identity yao kubwa.

Wakati wa ujenzi wa mnara wa Babel wale wajenzi masons walivurugiwa lugha na Mungu wasielewane na kushindwa kuendelea na ujenzi na King Nimrod ndiye founder wa Freemasonry ikumbukwe king Nimrod ndiye aliye plan ujenzi wa Babel tower ili kumuonyesha Mungu kwamba wanadamu wanayo power zaidi yake na eanaweza pia kujenga mnara mpaka ukamfikia Mungu mwenyewe mbinguni.

Mungu alipochafua usemi wao na kuvuruga lugha yao wasielewane ndipo walipokuja na lugha ya alama ambapo Freemasonry wanatambuana kwa alama na wanaamini hauwezi kubadili namna ya kutazama kama unavyoweza kubadili namna ya kuongea (lugha)
Ni somo pana sana tafuteni mtaelewa namna dunia inavyoenda.


Genesis Chapter 11

1 And the whole earth was of one language, and of one speech.

2 And it came to pass, as they journeyed from the east, that they found a plain in the land of Shinar; and they dwelt there.

3 And they said one to another, Go to, let us make brick, and burn them throughly. And they had brick for stone, and slime had they for morter.

4 And they said, Go to, let us build us a city and a tower, whose top [may reach] unto heaven; and let us make us a name, lest we be scattered abroad upon the face of the whole earth.

5 And the LORD came down to see the city and the tower, which the children of men builded.

6 And the LORD said, Behold, the people [is] one, and they have all one language; and this they begin to do: and now nothing will be restrained from them, which they have imagined to do.

7 Go to, let us go down, and there confound their language, that they may not understand one another's speech.

8 So the LORD scattered them abroad from thence upon the face of all the earth: and they left off to build the city.

9 Therefore is the name of it called Babel; because the LORD did there confound the language of all the earth: and from thence did the LORD scatter them abroad upon the face of all the earth.
Nini maana ya rangi hizo na apple logo iliokatwa?
 
Nini maana ya rangi hizo na apple logo ilio

Nini maana ya rangi hizo na apple logo iliokatwa?
Hilo apple lililoliwa kipande kwanza ni reflection ya lile apple la bustan ya Eden (abomination and blasphemy) na Steve Jobs alishanukuliwa akisema amevumbua sophisticated devices kama touch screen iPad kuondoa ile laana Mungu aliyompa Adam kwamba atakula kwa jasho so amehakikisha amevumbua technology ambayo itamfanya mtu asitoke jasho anapofanya kazi hivyo hata kula kwa jasho tena mwanadamu sababu atakua anatouch tu kazi kubwa inafanyika... Steve Jobs aliyasema hayo maneno.

Hivyo ameweka nembo ya apple lililoliwa lile la Eden kama kusema kwamba hilo apple sio baya tena sababu matokeo ya kuliwa kwake yalipelekea mwanadamu kupata laana ya kufanya kazi kwa jasho na yeye amevumbua sophisticated technology isiyoleta jasho so apple sio baya tena.

Lakini hizo rainbow colour kwenye first apple products zinareflect ushoga ikumbukwe kwamba hiyo rainbow haina uhusiano wowote na ile rainbow Mungu aliyomuonyesha Noah alipotoka ndani ya safina.

Ila hawa Antichrist wanasema kutokana na ile covenant Mungu aliyoweka kati ya Noah na yeye kwamba hataiangamiza tena dunia kwa maji kutokana na maovu na uasherati wa enzi hizo kwa kumwambia popote atakapoona rainbow ajue kwamba Mungu analikumbuka agano lake na Noah kwamba hataiangamiza dunia kwa maovu yao kwa kutumia maji.

Homos wanatumia hiyo rainbow kuhalalisha dhambi zao kwa kusema wanafanya mambo ambayo Bible inayaita maovu kwasababu Mungu hatawaangamiza hata wakifanya hivyo kama wakati wa gharika kama Mungu alivyofanya awali.

Lakini pia maana nyingine ya hiyo rainbow ni kuonyesha mchanganyiko wa tabia na tamaduni tofautitofauti katika sehemu moja yaani hizo rangi tofauti katika hiyo bendera zinamaanisha tabia tofauti different sex orientations au preferences kwamba mwanaume anaweza kuwa kama mwanamke na mwanamke anaweza kuwa kama mwanaume au kubadili maumbile.
 
Hilo apple lililoliwa kipande kwanza ni reflection ya lile apple la bustan ya Eden (abomination and blasphemy) na Steve Jobs alishanukuliwa akisema amevumbua sophisticated devices kama touch screen iPad kuondoa ile laana Mungu aliyompa Adam kwamba atakula kwa jasho so amehakikisha amevumbua technology ambayo itamfanya mtu asitoke jasho anapofanya kazi hivyo hata kula kwa jasho tena mwanadamu sababu atakua anatouch tu kazi kubwa inafanyika... Steve Jobs aliyasema hayo maneno.

Lakini hizo rainbow colour kwenye first apple products zinareflect ushoga ikumbukwe kwamba hiyo rainbow haina uhusiano wowote na ile rainbow Mungu aliyomuonyesha Noah alipotoka ndani ya safina.

Ila hawa Antichrist wanasema kutokana na ile covenant Mungu aliyoweka kati ya Noah na yeye kwamba hataiangamiza tena dunia kwa maji kutokana na maovu na uasherati wa enzi hizo kwa kumwambia popote atakapoona rainbow ajue kwamba Mungu analikumbuka agano lake na Noah kwamba hataiangamiza dunia kwa maovu yao kwa kutumia maji.

Homos wanatumia hiyo rainbow kuhalalisha dhambi zao kwa kusema wanafanya mambo ambayo Bible inayaita maovu kwasababu Mungu hatawaangamiza hata wakifanya hivyo **** wakati wa gharika kama Mungu alivyofanya awali.

Lakini pia maana nyingine ya hiyo rainbow ni kuonyesha mchanganyiko wa tabia na tamaduni tofautitofauti katika sehemu moja yaani hizo rangi tofauti katika hiyo bendera zinamaanisha tabia tofauti different sex orientations au preferences kwamba mwanaume anaweza kuwa kama mwanamke na mwanamke anaweza kuwa kama mwanaume au kubadili maumbile.
Ina maana wanaamini uwepo wa Mungu?
 
Ina maana wanaamini uwepo wa Mungu?
Absolutely correct hawa ni devil worshippers waabudu shetani world elites wote ambao ni Illuminati wote wanaamini uwepo wa Mungu na wao wanayo mahekalu yao yapo openly kabisa wala hayajifichi.

Wanaitwa Antichrists wanaamini katika Luciferianism na wanawafurahia sana watu wasioamini Mungu sababu nayo ni mission yao.
 
Steve Jobs alikua Master Mason kwenye highest level ya 3rd degree though with closed public confession kuwa Freemason unaweza kutangaza wazi au kutojitangaza and obvious that's secret society.

And if Steve Wozniak (co-founder of Apple) IS a Freemason. He belongs to Charity Lodge No. 362, Campbell, CA, and was raised to Master Mason in 1980. How comes the CEO himself Steve Jobs to escape the association from Freemasonry?
 
mkuu umeangalia upande mmoja wa shillingi.wat abt upande mwingine. ume ignore role of God in our lives. hivi kweli Mungu akae aangalie tu watu 5.5 bil watakavyopoteza maisha?
 
mkuu umeangalia upande mmoja wa shillingi.wat abt upande mwingine. ume ignore role of God in our lives. hivi kweli Mungu akae aangalie tu watu 5.5 bil watakavyopoteza maisha?
Mkuu nani alikwambia kuwa KUNA MUNGU? And unaposema MUNGU unamaanisha nini?
 
Steve Jobs alikua Master Mason kwenye highest level ya 3rd degree though with closed public confession kuwa Freemason unaweza kutangaza wazi au kutojitangaza and obvious that's secret society.

And if Steve Wozniak (co-founder of Apple) IS a Freemason. He belongs to Charity Lodge No. 362, Campbell, CA, and was raised to Master Mason in 1980. How comes the CEO himself Steve Jobs to escape the association from Freemasonry?
We jamaa me nakuelewa kama the great thinker jf ever had na hata me nimeharibu kulifuatilia hili swala hizi data zote unazozimwaga hapa ni kweli tupu.

Nimekuona kwenye mijadala mingi hii ya wapinga miungu napo naona unatoa hoja mujarabu sana. Una chochote cha kuongezea hapo?
 
We jamaa me nakuelewa kama the great thinker jf ever had na hata me nimeharibu kulifuatilia hili swala hizi data zote unazozimwaga hapa ni kweli tupu.

Nimekuona kwenye mijadala mingi hii ya wapinga miungu napo naona unatoa hoja mujarabu sana. Una chochote cha kuongezea hapo?
Sure mshkaji ata mi namuelewa sana
 
We jamaa me nakuelewa kama the great thinker jf ever had na hata me nimeharibu kulifuatilia hili swala hizi data zote unazozimwaga hapa ni kweli tupu.

Nimekuona kwenye mijadala mingi hii ya wapinga miungu napo naona unatoa hoja mujarabu sana. Una chochote cha kuongezea hapo?
Nope kwenye swala la kuamini Mungu lipo controversial kidogo kimsimamo.

Me naamini Mungu yupo na wakati mwingine huwa nawaonaga wanapoteza tu muda wao kubishana na vitu vilivyombali na upeo kuamini au kutoamini uwepo wa Mungu hakumfanyi Mungu kuwepo au kutokuwepo.

That's faith it's not science hata upinge mpaka lini automatically God is there kutokumuamini kwako hakumfanyi kukimbia au kutoroka na kuacha empty space.

Pia sababu hii mada haihusiani na maswala ya Mungu japo kuna content za Mungu huwezi kuongelea hasa kutetea uhalali wa NWO bila kuamini uwepo wa Mungu katika mambo yote haya imani hasa Christianity inahusika sana kwenye haya maswala.

All this is in the Bible na huwezi kuongelea Illuminati Freemasonry NWO bilderberg group the round tables na other secret societies bila Bible haipo hiyo.

Pia nisingependa sana kuongelea mambo ya uhalali au ubatili wa uwepo wa Mungu kwsnye hii thread wacha tubaki kwenye mada husika.
 
Ajabu hata wao hizo kansa zinaua hadi watoto waliozaliwa leo!hakuna atayetoka salama hapa
 
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna aliye salama tena.

1. Inasemekana mpango wa NWO unataka dunia yenye watu wasiozidi 500,000,000 duniani. Dunia kwa sasa ina watu wanaokadiriwa kufika bilioni 6, ili kubakisha idadi hiyo ya watu inabidi watu 5.5 bilion waondoke duniani.

2. Inasemekana mpango wa kuwaondoa hao watu duniani umeshaanza. Na njia kubwa inayotumika ni kupitia vyakula tunavyokula, vita, na magonjwa kama vile UKIMWI, Malaria, chanjo za utotoni n.k

3. Kilichonishtua zaidi ni kuhusu hizo chanjo za utotoni, inasemekana katika chanjo hizo kuna chemical imewekwa ambayo inapunguza life expectancy ya mtoto na kupunguza IQ yake. Bahati mbaya taasisi ambazo ndo wanatengeneza na kuidhinisha dawa hizo wamezishikilia wao.

4. Vyakula asilimia 98% tunavyokula ni generic modified, yaani ni vyakula ambavyo mbegu zake zimetengenezwa viwandani na wakadhibitisha kwamba vinafaa kwa matumizi yetu. Yaan hata ule mchicha unaopanda hapo nje kwako sio organic tena, mahindi nk vyote viko modified kwa interest zao.

Ni dhahiri kwa mwendo na speed hii, baada ya karne chache zijazo hao jamaa watakuwa wanaimiliki dunia na vyote vilivyomo.
Walijaribu imesha washinda muda mrefu mbona?
 
Back
Top Bottom