Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

Walijaribu imesha washinda muda mrefu mbona?
Report ya kushindwa kwao walikupa?
Hili swala ni pana sana na lina miaka zaidi hata kabla ya kuja kwa Yesu sasa wewe unasema wamejaribu uliwaona wakati wanajaribu?
 
Ukija kukamilika mkakati huo na wao waliokaa na kupanga watakuwa wameshafutika na mkakati kukosa mwelekeo tena. Nachoamini ni kwamba litaibuka ambalo mimi na wewe hatulijui kwa sasa lakini litafanya haya yanayojadiliwa sasa yawe kapuni.
 
Ukimwi sikubalian kama n njia moja wapo ya kuangamiza watu dunian, sasa kama n njia mbona watu wanaongezeka, kwanini wametoa njia za kumzuia kiumbe anaezaliwa asipate ukimwi? Kwann wamw intrdc condom? Kwann wameleta dawa za kurefusha maisha kwa waathirika
 
Report ya kushindwa kwao walikupa?
Hili swala ni pana sana na lina miaka zaidi hata kabla ya kuja kwa Yesu sasa wewe unasema wamejaribu uliwaona wakati wanajaribu?
Kwani uyaoni yanayoendelea duniani?
 
SASA NDO UFANYE TATHMINI HAO VIONGOZI WALIVYOUA WATU NA HIVI VITA VINAVYOENDELEA KILA KONA, JE IDADI YA WATU INAPUNGUA AU INAONGEZEKA? HII DUNIA YA MUNGU CYO YA NWO ETI WAWEKE IDADI YA WATU WANAOTAKA WAO..NEVER HAPEN BROTHER...
 
Kuna sayari mpya imegundulika na inafanana kwa kila kitu na Dunia yetu,Hakuna hofu wengine watakwenda kuishi huko.
 
Kuhusu wao kuondoa watu kwa maradhi na hizo sumu hawawezi kamwe kwani hakuna neno katika vitabu vya dini zote kuwa katika mwisho wa dunia kutakuwa na watu wachache
Nadhani hiyo vitabu vyingeeleza kuwa ujio wa Yehova utakuta dunia ina watu wachache na ingeelezwa sababu ya kuwakuta watu wachache kufaham haya angalia jiwe linalo nolewa kisu na linalo sunguliwa miguu lipi limeuka umbile lake.
Ushajiuliza hivyo vitabu vya dini vimetokea wapi?
 
Hao 500,000,000 watakao baki hawata kufa Na kuzaliana??
 
Sidhani. Hauwezi sema kuna 10% ya watu wataua (kwa namna yote isipokuwa kwa risasi) zaidi ya 90% ya watu wote wa dunia hii, na wao wakabaki salama. Labda wawapige risasi kwa mkupuo.
 
Kwa sababu wanasema ni mpango wa karne kadhaa ambapo ni miaka mia kuendelea yawezekana wakafanikiwa.
Lakini kuna maswali ya kujiuliza hapo hasa kwa wale tunaoamini uwepo wa Mungu. Mungu atakuwa wapi muda wote huo na ilihali alisema mkaijaze dunia? (mwingine atauliza je huyo Mungu anakuwa wapi wakati wa vita na majanga ya kiasili?, mambo haya yalishatabiriwa kuwepo...matetemeko vita mafuriko nk)
Tukirudi kwenye swala la vyakula hapo ndugu zangu huu ni ukweli usio pingika asilimia kubwa ya mazao ya shambani ya biashara na chakula pia kwa sasa mengi sio ya asili, ni ya kutengeneza viwandani. Lakini balaa liko zaidi kwa wale ambao bado wanatumia saaaanaaa "industrial foods and drinks". Hii mbaya hii weka mbali na watoto na wewe mtu mzima. Sana sana unaumiza ini na maafa mengine katika mfumo wako wa afya.
 
Mkuu usipende kutoa majibu rahisi kwa maswali magumu. Mfano rahisi, wewe unaijua paracetamol bila shaka, una uhakika gani kwamba paracetamol ni salama kwa afya yako? Aliyeitengeneza paracetamol unamjua? Aliyemfadhili izo pesa za kutengenezea unamjua?
niliwahi kuona kwenye video jamaa kamega paracetamol katikati akakuta kawaya cha silver
 
Mkuu usipende kutoa majibu rahisi kwa maswali magumu. Mfano rahisi, wewe unaijua paracetamol bila shaka, una uhakika gani kwamba paracetamol ni salama kwa afya yako? Aliyeitengeneza paracetamol unamjua? Aliyemfadhili izo pesa za kutengenezea unamjua?
Tujuze basi wengine tuko vijijini tunalima hvyo hatujui kinachoendelea huko dunian. Na hyo midawa huwa tunajidunga tu
 
Haya mambo siyo yakusadikika mkuu.
Kama tu Hitler aliua zaidi ya Wayahudi milioni sita, Wahutu wameua Watutsi zaidi ya lakini nane na Stalin wa Urusi aliua Wayukreini zaidi ya milioni mbili.
Unategemea kuna kitu ambacho mwanadamu anashindwa kufanya???
Hakika hakuna jambo la kusadikika hapa duniani.
Wanua ndio, Hitler yuko wapi now. Na he wayahudi wameisha? Hata hapo wanaopanga kuua hawatafanikiwa, watakufa wao. Na maisha yataendelea
 
Kwa sababu wanasema ni mpango wa karne kadhaa ambapo ni miaka mia kuendelea yawezekana wakafanikiwa.
Lakini kuna maswali ya kujiuliza hapo hasa kwa wale tunaoamini uwepo wa Mungu. Mungu atakuwa wapi muda wote huo na ilihali alisema mkaijaze dunia? (mwingine atauliza je huyo Mungu anakuwa wapi wakati wa vita na majanga ya kiasili?, mambo haya yalishatabiriwa kuwepo...matetemeko vita mafuriko nk)
Tukirudi kwenye swala la vyakula hapo ndugu zangu huu ni ukweli usio pingika asilimia kubwa ya mazao ya shambani ya biashara na chakula pia kwa sasa mengi sio ya asili, ni ya kutengeneza viwandani. Lakini balaa liko zaidi kwa wale ambao bado wanatumia saaaanaaa "industrial foods and drinks". Hii mbaya hii weka mbali na watoto na wewe mtu mzima. Sana sana unaumiza ini na maafa mengine katika mfumo wako wa afya.
Mkuu tatizo kuna watu wanakiona hiki kitu kama kinapangwa kwa short term kama budget za nchi. Mfano nilikuwa nasoma mahali, inasemekana kwa plan zao UKIMWI unaousikia haujafika hata katika phase ya kwanza kwa namna walivyoplani, na wanasema inaweza chukua hata miaka 60 ijayo ndo phase ya kwanza ya transmissiona ikamilike, sasa hawa sio watu wanaoangalia umri wa mtu, hawa jamaa wanakupigia long term plans za miaka mia 5 ijayo, na bahati mbaya ni kwamba kama wewe unavyozaliwa ukaanza kufunzwa na wazazi wako kwamba unatakiwa kuwa mtu bora, unatakiwa kuvaa nguo nk ndo wanavyopokezana, anaeziwa anaanza kutengeneza kwamba kazaliwa kwa kazi hiyo, ni kama dini zilivyk hizi.
 
Back
Top Bottom