Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

Unapoainisha tatizo,uwe na ushauri wa kusolve.....enhe unatushaurije sasa mkuu,au umeamua kutuongeza mastress asubuhi yote hii!
 
Kwa mungu ukimwi ni cha mtoto,kanisani kwetu ukimwi watu wanapona
Bila shaka kanisa lenu linafanana na yale yanayomilikiwa na akina goe davie na mwingira.

ambapo ili wakuombee upone maradhi, sharti uwatumie kitu kidogo kwenye tigopesa au mpesa.
 
Wao wanaopanga hayo wataona mafanikio hayo kabla hawajafa?
 
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna aliye salama tena.

1. Inasemekana mpango wa NWO unataka dunia yenye watu wasiozidi 500,000,000 duniani. Dunia kwa sasa ina watu wanaokadiriwa kufika bilioni 6, ili kubakisha idadi hiyo ya watu inabidi watu 5.5 bilion waondoke duniani.

2. Inasemekana mpango wa kuwaondoa hao watu duniani umeshaanza. Na njia kubwa inayotumika ni kupitia vyakula tunavyokula, vita, na magonjwa kama vile UKIMWI, Malaria, chanjo za utotoni n.k

3. Kilichonishtua zaidi ni kuhusu hizo chanjo za utotoni, inasemekana katika chanjo hizo kuna chemical imewekwa ambayo inapunguza life expectancy ya mtoto na kupunguza IQ yake. Bahati mbaya taasisi ambazo ndo wanatengeneza na kuidhinisha dawa hizo wamezishikilia wao.

4. Vyakula asilimia 98% tunavyokula ni generic modified, yaani ni vyakula ambavyo mbegu zake zimetengenezwa viwandani na wakadhibitisha kwamba vinafaa kwa matumizi yetu. Yaan hata ule mchicha unaopanda hapo nje kwako sio organic tena, mahindi nk vyote viko modified kwa interest zao.

Ni dhahiri kwa mwendo na speed hii, baada ya karne chache zijazo hao jamaa watakuwa wanaimiliki dunia na vyote vilivyomo.
Kuwapunguza watu hata wafanye nini hawataweza,fikilia kila siku watu wanakufa mahospitalini,mabarabarani n.k lakini pia watoto wa kumwaga wanazaliwa mwanawane!! kwa speed tu ya vifo vilivyopo hapa chini ya jua tungeshaisha,hvyo basi,mpango wao %99 umekwama,watu wanalala wanapukuchana kila siku mimba ni za kumwaga watawezaje kuwapunguza watu?hapo wameingilia utaratibu wa MUNGU na wataisha wao na wengine kuongezeka
 
Watu tunatakasa vitu kabla ya kula au kutumia anyway hakuna atakayeishi milele hivyo hata wao watakufa tu
 
Basi kama kweli itakuwa mipango yao imefeli, maana miaka michache niliyoishi duniani naona ongezeko la watu ni kubwa kuzidi kupunguwa kwao, hizo zitakuwa planeless
 
Kwa sasa kuna interraction sana za watu sidhani kama enz za mababu kulikua na hata na Ebola?
Yes hapakuwa na ebola, hata usafiri wao ulikuwa punda na farasi, hawakuwa na umeme, safari zao majahazi tu, sasa ukitazama na sisi sasa sijui kizazi kipi kimepiga hatua muhimu wao au sisi?
 
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna aliye salama tena.

1. Inasemekana mpango wa NWO unataka dunia yenye watu wasiozidi 500,000,000 duniani. Dunia kwa sasa ina watu wanaokadiriwa kufika bilioni 6, ili kubakisha idadi hiyo ya watu inabidi watu 5.5 bilion waondoke duniani.

2. Inasemekana mpango wa kuwaondoa hao watu duniani umeshaanza. Na njia kubwa inayotumika ni kupitia vyakula tunavyokula, vita, na magonjwa kama vile UKIMWI, Malaria, chanjo za utotoni n.k

3. Kilichonishtua zaidi ni kuhusu hizo chanjo za utotoni, inasemekana katika chanjo hizo kuna chemical imewekwa ambayo inapunguza life expectancy ya mtoto na kupunguza IQ yake. Bahati mbaya taasisi ambazo ndo wanatengeneza na kuidhinisha dawa hizo wamezishikilia wao.

4. Vyakula asilimia 98% tunavyokula ni generic modified, yaani ni vyakula ambavyo mbegu zake zimetengenezwa viwandani na wakadhibitisha kwamba vinafaa kwa matumizi yetu. Yaan hata ule mchicha unaopanda hapo nje kwako sio organic tena, mahindi nk vyote viko modified kwa interest zao.

Ni dhahiri kwa mwendo na speed hii, baada ya karne chache zijazo hao jamaa watakuwa wanaimiliki dunia na vyote vilivyomo.
Stress tu ndio zitakazo kupunguzia maisha utawaza sana hivi vitu na utakata tamaa kumbe vitu vyenyewe havipo alieanzisha mpango huwo mpaka wabaki idadi hiyo ya watu yeye mwenyewe atakuwa hayupo tena duniani ukisikia kuuwa watu KI saikolohia ndio huku
 
Yes hapakuwa na ebola, hata usafiri wao ulikuwa punda na farasi, hawakuwa na umeme, safari zao majahazi tu, sasa ukitazama na sisi sasa sijui kizazi kipi kimepiga hatua muhimu wao au sisi?
Science na technology imeongezeka sana lakini ajabu mateso yamezidi kuwa makali unajua sababu?
 
Back
Top Bottom