Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

Haya mambo siyo yakusadikika mkuu.
Kama tu Hitler aliua zaidi ya Wayahudi milioni sita, Wahutu wameua Watutsi zaidi ya lakini nane na Stalin wa Urusi aliua Wayukreini zaidi ya milioni mbili.
Unategemea kuna kitu ambacho mwanadamu anashindwa kufanya???
Hakika hakuna jambo la kusadikika hapa duniani.
Haya mambo siyo yakusadikika mkuu.
Kama tu Hitler aliua zaidi ya Wayahudi milioni sita, Wahutu wameua Watutsi zaidi ya lakini nane na Stalin wa Urusi aliua Wayukreini zaidi ya milioni mbili.
Unategemea kuna kitu ambacho mwanadamu anashindwa kufanya???
Hakika hakuna jambo la kusadikika hapa duniani.

una ushahidi kuwa hitler aliua wayahudi million 6??? au ni stori za kusadikika tu mnaalishwa bila kufanya utafiti. Pia nani aliyekwambia watutsi laki nane walikuwepo rwanda wakati wa genocide wakati hata kufikia 1994 watutsi rwanda hawakuzidi 200,000 kwa kuwa wengi wao walikimbia vita ya 1959.
 
Scientist anayeshiriki katika maandalizi haya anafanya hivyo kwa interest gani maana hata yeye hatakuwepo duniani hilo litakapofanikiwa!!!!
 
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna aliye salama tena.

1. Inasemekana mpango wa NWO unataka dunia yenye watu wasiozidi 500,000,000 duniani. Dunia kwa sasa ina watu wanaokadiriwa kufika bilioni 6, ili kubakisha idadi hiyo ya watu inabidi watu 5.5 bilion waondoke duniani.

2. Inasemekana mpango wa kuwaondoa hao watu duniani umeshaanza. Na njia kubwa inayotumika ni kupitia vyakula tunavyokula, vita, na magonjwa kama vile UKIMWI, Malaria, chanjo za utotoni n.k

3. Kilichonishtua zaidi ni kuhusu hizo chanjo za utotoni, inasemekana katika chanjo hizo kuna chemical imewekwa ambayo inapunguza life expectancy ya mtoto na kupunguza IQ yake. Bahati mbaya taasisi ambazo ndo wanatengeneza na kuidhinisha dawa hizo wamezishikilia wao.

4. Vyakula asilimia 98% tunavyokula ni generic modified, yaani ni vyakula ambavyo mbegu zake zimetengenezwa viwandani na wakadhibitisha kwamba vinafaa kwa matumizi yetu. Yaan hata ule mchicha unaopanda hapo nje kwako sio organic tena, mahindi nk vyote viko modified kwa interest zao.

Ni dhahiri kwa mwendo na speed hii, baada ya karne chache zijazo hao jamaa watakuwa wanaimiliki dunia na vyote vilivyomo.
Hainipi stress maana sitafika karne
 
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna aliye salama tena.

1. Inasemekana mpango wa NWO unataka dunia yenye watu wasiozidi 500,000,000 duniani. Dunia kwa sasa ina watu wanaokadiriwa kufika bilioni 6, ili kubakisha idadi hiyo ya watu inabidi watu 5.5 bilion waondoke duniani.

2. Inasemekana mpango wa kuwaondoa hao watu duniani umeshaanza. Na njia kubwa inayotumika ni kupitia vyakula tunavyokula, vita, na magonjwa kama vile UKIMWI, Malaria, chanjo za utotoni n.k

3. Kilichonishtua zaidi ni kuhusu hizo chanjo za utotoni, inasemekana katika chanjo hizo kuna chemical imewekwa ambayo inapunguza life expectancy ya mtoto na kupunguza IQ yake. Bahati mbaya taasisi ambazo ndo wanatengeneza na kuidhinisha dawa hizo wamezishikilia wao.

4. Vyakula asilimia 98% tunavyokula ni generic modified, yaani ni vyakula ambavyo mbegu zake zimetengenezwa viwandani na wakadhibitisha kwamba vinafaa kwa matumizi yetu. Yaan hata ule mchicha unaopanda hapo nje kwako sio organic tena, mahindi nk vyote viko modified kwa interest zao.

Ni dhahiri kwa mwendo na speed hii, baada ya karne chache zijazo hao jamaa watakuwa wanaimiliki dunia na vyote vilivyomo.
Uongo mtupu
 
Haya mambo siyo yakusadikika mkuu.
Kama tu Hitler aliua zaidi ya Wayahudi milioni sita, Wahutu wameua Watutsi zaidi ya lakini nane na Stalin wa Urusi aliua Wayukreini zaidi ya milioni mbili.
Unategemea kuna kitu ambacho mwanadamu anashindwa kufanya???
Hakika hakuna jambo la kusadikika hapa duniani.
Huku wanaua,na huku watu wanazidi kufyatua watoto.Tutapunguaje sasa?
 
una ushahidi kuwa hitler aliua wayahudi million 6??? au ni stori za kusadikika tu mnaalishwa bila kufanya utafiti. Pia nani aliyekwambia watutsi laki nane walikuwepo rwanda wakati wa genocide wakati hata kufikia 1994 watutsi rwanda hawakuzidi 200,000 kwa kuwa wengi wao walikimbia vita ya 1959.

Wewe una ushahidi kwamba hakuua?
 
Mungu ni Mungu tu, ushahidi ni UKIMWI ulivyoua watu na bado idadi ya watu inazidi kuongezeka. Sina hofu na hili hata chembe
 
Huku wanaua,na huku watu wanazidi kufyatua watoto.Tutapunguaje sasa?
Ushawahi kusikia kwamba life expectancy ya watu imeongezeka? Kila siku inazidi kupungua. Ipo siku usishangae binadamu atakuwa na life expectancy ya mwaka mmoja. Ushawah kulifikiria hilo?
 
Wapo kadhaa ila Family ya Rockafella ni moja ya wafadhili hii family ina fedha na power kuliko Bill Gates
David Rockerfell as well as Rothchild bloodline.Mimi huwa nadata kusikia kuwa hawa jamaa ni jamii ya reptilian!How comes?
 
Wewe una ushahidi kwamba hakuua?

ndio ushahidi ninao lwayahudi waliuawa ila wayahudi waliosajiliwa poland germany na hizo nchi za western hawakufika million hta 4 sasa hta kma wangeuawa wote bado wasingekuwa miilion 6..... ngoja ntakupa link ya kitabu ukisome ndo utajua hizo data ni za kupikwa.
 
ndio ushahidi ninao lwayahudi waliuawa ila wayahudi waliosajiliwa poland germany na hizo nchi za western hawakufika million hta 4 sasa hta kma wangeuawa wote bado wasingekuwa miilion 6..... ngoja ntakupa link ya kitabu ukisome ndo utajua hizo data ni za kupikwa.

Sawa mkuu, Haidhuru sana.
Nikutakie Usiku mwema.
 
Mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu? Naamini God is watching for his people all over the world ...all satanic works will never ever overdo Gods plans
 
hawa watu wanajua kupoteza muda wao.
ikiwa ni kweli.
na kama mpango wao huo ukikamilika basi waasisi wake wote watakua makaburini kwao.
na lau wangelijua kuhusu baada ya kufa kuna kipi kinachofata wasingejarib kufanya upuuzi kama huo.
Maadamu wao ni wanaadamu basi wajue kwamba hawadhuru wala hawanufaishi ila atakopata yule mwenye amri kuu.
 
Back
Top Bottom