nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Mie Nina furaha sana. Tuko huru. Yale mambo ya mara umemtukana rais sijui wewe msaliti ooh unahujumu au unashirikiana na mabeberu yamekwisha kafa na mavi yake tumboni hakupata hata muda wa kuomba maji.Bana all in all mimi tu nina furaha sana, watu tuliishi kwa hofu, kutishana kila siku kama tupo vitani,, wakati maisha ni haya haya tu, maisha yetu mafupi tu kwann tutishane na tuache kufurahia? Hata kama naishi kwa kunywa uji tu na familia yangu ndani nalala kwa amani, poa sana
Me nachoelewa hii nchi watu asilimia kubwa wana furaha!! Wanaolalamika wengi ni wale chawa wa mwendazake waliokuwa wanafurahia watu kuteswa, kuumizwa na kupotezwa!!
Ila Karma is a bitch!! Wengi wao Mungu kashawalila sawa sawa na matendo yao!! Bado mmoja aliyekuwa anajiita mungu dar es salaam[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado huyo Makonda anayakujibu.
Kumbukeni waliokuwa wanateswa wote yeye alikuwa anakuja mbele ya vyombo vya habari na kusema Fulani atapatikana siku Fulani.
1. Mo dewj
2. Roma
3. Nondo
Inawezekana huyu Makonda anajua Ben Sanane Yuko wapi na Azory anajua wako wapi.
Ni suala la Muda tu