Kama Hayati Magufuli alikuwa anaipeleka nchi shimoni tujuzwe. Watendaji wengi aliowafurumusha wamerejeshwa huku wake wakifurumushwa

Mie Nina furaha sana. Tuko huru. Yale mambo ya mara umemtukana rais sijui wewe msaliti ooh unahujumu au unashirikiana na mabeberu yamekwisha kafa na mavi yake tumboni hakupata hata muda wa kuomba maji.

Bado huyo Makonda anayakujibu.

Kumbukeni waliokuwa wanateswa wote yeye alikuwa anakuja mbele ya vyombo vya habari na kusema Fulani atapatikana siku Fulani.

1. Mo dewj
2. Roma
3. Nondo

Inawezekana huyu Makonda anajua Ben Sanane Yuko wapi na Azory anajua wako wapi.

Ni suala la Muda tu
 
Kipindi kile mlisema kila zama na kitabu chake. Sasa nawakumbusha hiki ni kitabu kingine.
 
Nimeami heri Mungu alimuumbia binadamu kifo,tungekuwa tunaishi milele,tungeoneana sana tena sana.
 
Nimeami heri Mungu alimuumbia binadamu kifo,tungekuwa tunaishi milele,tungeoneana sana tena sana.
Na kifo cha huyu mwamba kwa hakika kimetoa funzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…