Kama hii ndiyo idadi ya CHADEMA kutoka mikoa kuja kwenye kesi ya Mbowe, basi chama kimepoteza mvuto kabisa

Kama hii ndiyo idadi ya CHADEMA kutoka mikoa kuja kwenye kesi ya Mbowe, basi chama kimepoteza mvuto kabisa

Kwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe.

Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja John Pambalu mwenyekiti wa Bavicha Taifa naye akatishia nyau kuwa kuna maelfu ya wanachadema kutoka mikoa 5 watahudhuria kesi hiyo.

Leo wanachadema walioonekana wakiimba karibu na mahakama ya Kisutu hawajai hata kwenye kikanja!! Jirani yake wamachinga walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
View attachment 1880704
Kweli hawa watu ni wabishi

 
Anaeamini kwamba chadema itashinda hata serikali za mitaa achilia mbali uchaguzi mkuu kwa aina ya siasa zao wanazoendesha sasa hivi, basi akajipime akili mwenyew kabla ya kuvua nguo na kuanza kuingia barabarani kuokota makopo. Fikiria pamoja na Lisu kukaa ulaya zaidi ya miaka mitatu, Mbowe kwenda kuweka kambi Dubai kwa zaidi ya miezi mitatu ili atakapofika aweze kuwa na mvuto, ukijumlisha na uhuru wa kufanya mikutano ya hadhara wakati wa uchaguzi mkuu lkn haya ndio yalikuwa mahudhurio ya wanachama na wapiga kura wao katika uchaguzi mkuu

images (14).jpeg
 
Kwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe.

Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja John Pambalu mwenyekiti wa Bavicha Taifa naye akatishia nyau kuwa kuna maelfu ya wanachadema kutoka mikoa 5 watahudhuria kesi hiyo.

Leo wanachadema walioonekana wakiimba karibu na mahakama ya Kisutu hawajai hata kwenye kikanja!! Jirani yake wamachinga walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
View attachment 1880704
Mbona mnawaogopa wanapotaka kufanya Kongomano la katiba,

Mnawavamia wakifanya mikutano ya ndani
Imnawazuia kufanya .mikutano ya hadhara
 
Anaeamini kwamba chadema itashinda hata serikali za mitaa achilia mbali uchaguzi mkuu kwa aina ya siasa zao wanazoendesha sasa hivi, basi akajipime akili mwenyew kabla ya kuvua nguo na kuanza kuingia barabarani kuokota makopo. Fikiria pamoja na Lisu kukaa ulaya zaidi ya miaka mitatu, Mbowe kwenda kuweka kambi Dubai kwa zaidi ya miezi mitatu ili atakapofika aweze kuwa na mvuto, ukijumlisha na uhuru wa kufanya mikutano ya hadhara wakati wa uchaguzi mkuu lkn haya ndio yalikuwa mahudhurio ya wanachama na wapiga kura wao katika uchaguzi mkuu

View attachment 1880720
Hahahaha
 
Chadema ilishajifiaga
Ewa mama d,njia wanayotumia viongozi kujaribu kuishtua chadema ili iamke siyo kabisa aina hiyo ya kiki ya kuinyanyulia iamke haikubaliki kabisa wapange strategy mpya tena za kiakili bila kutumia nguvu za zitakazoweza leta athari kwa taifa letu
 
Ewa mama d,njia wanayotumia viongozi kujaribu kuishtua chadema ili iamke siyo kabisa aina hiyo ya kiki ya kuinyanyulia iamke haikubaliki kabisa wapange strategy mpya tena za kiakili bila kutumia nguvu za zitakazoweza leta athari kwa taifa letu

Wamebaki mitandaoni na leo walikua wanasubiri wapige picha wamtumie Tundu awadanganye mabwana zake kwamba chama bado kina watu

Wamefeli tena vibaya
 
People need money not words.. Nani atakutatulia shida zako ukiwa huna hela Kisha unautumia huo muda kuandamana..?
Hao viongozi yakiwapata wanapitisha bakuli uwachangie! Sio ccm sio chadema they are all need money ndo maana tunawekewa mitozo ya kila namna so chagua ukasikilize kesi au utafute hela.

Proper use of words is of utmost importance:

"People need money not words...."


Couldn't "people" be substituted for "those favored."

Ili kujitendea haki tu mkuu.
 
Wamebaki mitandaoni na leo walikua wanasubiri wapige picha wamtumie Tundu awadanganye mabwana zake kwamba chama bado kina watu

Wamefeli tena vibaya

wishful thinking 😂😂 .... Hiiiiii bagosha!
 
Kwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe.

Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja John Pambalu mwenyekiti wa Bavicha Taifa naye akatishia nyau kuwa kuna maelfu ya wanachadema kutoka mikoa 5 watahudhuria kesi hiyo.

Leo wanachadema walioonekana wakiimba karibu na mahakama ya Kisutu hawajai hata kwenye kikanja!! Jirani yake wamachinga walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
View attachment 1880704

Hiyo ilikuwa ni kesi na sio sensa ya wanacdm. Tumia kichwa kufikiri na sio kama fuvu la kubebea meno.
 
Kamanda Siro si alizuia watu kwenda Mahakamani?. Sasa mnashangaa watu kuwa wachache?. Au mlitamani kufurahia kuona watanzania wenzenu wanavyopigwa virungu?.
 
Kwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe.

Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja John Pambalu mwenyekiti wa Bavicha Taifa naye akatishia nyau kuwa kuna maelfu ya wanachadema kutoka mikoa 5 watahudhuria kesi hiyo.

Leo wanachadema walioonekana wakiimba karibu na mahakama ya Kisutu hawajai hata kwenye kikanja!! Jirani yake wamachinga walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
View attachment 1880704
Ongeza sauti kijogoo D,hujasikika wala kueleweka.
 
Back
Top Bottom