Kama hii ndiyo idadi ya CHADEMA kutoka mikoa kuja kwenye kesi ya Mbowe, basi chama kimepoteza mvuto kabisa

Kama hii ndiyo idadi ya CHADEMA kutoka mikoa kuja kwenye kesi ya Mbowe, basi chama kimepoteza mvuto kabisa

Kwani chama huwa kinaangalia idadi ya wanachama au ubora?

min short kila mmoja ana maana when it comes to politics

hata wewe chadema Wanakuona wa maana ingawaje deep inside unajijua kwamba huna maana yoyote zaidi ya kelele tu za kipinzani
Hiyo idadi wanaangalia mahakamani?!!
 
People need money not words.. Nani atakutatulia shida zako ukiwa huna hela Kisha unautumia huo muda kuandamana..?
Hao viongozi yakiwapata wanapitisha bakuli uwachangie! Sio ccm sio chadema they are all need money ndo maana tunawekewa mitozo ya kila namna so chagua ukasikilize kesi au utafute hela.
Na akitoka huko anaenda kupumzika Dubai au Sauzi Africa
 
kesi hii uwezi iita ya kubambikiziwa ni mhakama pekee na ushahidi uliopo ndivyo vitatupa directions na ukweli tuvute subira

1.Hujawahi kusikia SSH akisema polisi wamekuwa wakibambikia watu kesi?
2. Hujawahi kusikia hata moja ya kesi mamia kidogo ambazo serikali na taasisi zake zikiwamo polisi wamekuwa wakibambikizia kesi.
3. Hujawahi kusikia kesi hata moja ikifutwa kwa sababu ni ya kubambikiziwa mtu?
4. Polisi walishaacha shughuli yao pendwa hii yenye maslahi makubwa kwa CCM na serikali?
5. Kesi hii ni kama hizo hapo juu. SSH anajua hivyo. Bila shaka Sirro, Muliro, wengi na hata wewe unajua hivyo.
 
Anaeamini kwamba chadema itashinda hata serikali za mitaa achilia mbali uchaguzi mkuu kwa aina ya siasa zao wanazoendesha sasa hivi, basi akajipime akili mwenyew kabla ya kuvua nguo na kuanza kuingia barabarani kuokota makopo. Fikiria pamoja na Lisu kukaa ulaya zaidi ya miaka mitatu, Mbowe kwenda kuweka kambi Dubai kwa zaidi ya miezi mitatu ili atakapofika aweze kuwa na mvuto, ukijumlisha na uhuru wa kufanya mikutano ya hadhara wakati wa uchaguzi mkuu lkn haya ndio yalikuwa mahudhurio ya wanachama na wapiga kura wao katika uchaguzi mkuu

View attachment 1880720
Jipe moyo ila usisahau kuwaliza mapolisi wenu kinachowahangaisha basi ni nini
 
Kwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe.

Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja John Pambalu mwenyekiti wa Bavicha Taifa naye akatishia nyau kuwa kuna maelfu ya wanachadema kutoka mikoa 5 watahudhuria kesi hiyo.

Leo wanachadema walioonekana wakiimba karibu na mahakama ya Kisutu hawajai hata kwenye kikanja!! Jirani yake wamachinga walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.

View attachment 1880704

Nadhani muda wao mwingi hawa CHADEMA wanautumia kupiga ganja. Sehemu kubwa ya mipango yao haifanani kabisa na mipango ya watu wanaotumia akili au busara ya kawaida!
 
CHADEMA WANATAKIWA WAJITAFAKARI WAANZE UPYA UPINZANI HAUENDI WANAVYOTAKA WAO HUO NI MFANO TU KUWA WAMESHAPOTEZA MVUTO NA USHAWISHI KWA WATANZANIA YAANI HATA ASILIMIA MOJA YA WATANZANIA HAWASAPOTI WANAYOYAFANYA WATU WACHACHE HIVYO NDIYO WANAPONGEZANA ETI WAMEFIKA ? NI UTOTO WA HALI YA JUU SANA HUO
Lakini hoja mezani hazmiwezi bila ya nguvu ya dola.
 
Kwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe.

Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja John Pambalu mwenyekiti wa Bavicha Taifa naye akatishia nyau kuwa kuna maelfu ya wanachadema kutoka mikoa 5 watahudhuria kesi hiyo.

Leo wanachadema walioonekana wakiimba karibu na mahakama ya Kisutu hawajai hata kwenye kikanja!! Jirani yake wamachinga walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.

View attachment 1880704
Ulitaka hadi afike mama yako ndiyo ujiridhishe?
 
Anaeamini kwamba chadema itashinda hata serikali za mitaa achilia mbali uchaguzi mkuu kwa aina ya siasa zao wanazoendesha sasa hivi, basi akajipime akili mwenyew kabla ya kuvua nguo na k...
OK tukubali mawazo yako.
Jee uwezo wakushindana bila ya ujinga vyombo vya dola unaweza.

Rejea kauli ya aliyekuwa katibu wako Bashiru.
 
Mbowe needs to retire from politics...
 
Back
Top Bottom