Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Mbona makamanda wanabebwa kama kuku nini tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha kuwaamini hawa watu, maana wataendelea kukufanya ww mtumwa wa uongo na kuutumia udhaifu huo kama kichochoro cha kujineemesha na siasa zao uchwala. Mw Nyerere aliwahi kusema mtu mjinga akikudanganya na akajua kwamba ww unajua kuwa anakudanganya ila umeamua kukubali udanganyifu wake basi itafika kipindi atakuona ww ni zaidi ya mpumb.avu. Hawa wanaodai kuwa tume sio huru wamekuwa wakishinda miaka na miaka kupitia tume iliyopo bila kupinga ushindi wao uliopatikana kupitia tume hiyo, afu leo wameshindwa ndo wanapinga na kulalamikia tume kuwa sio huru. Just ebu tumia akili yako mwenyewe uliyoumbwa nayo bila kuhusisha uliyopandikizwa na kina Mbowe. Naamini utanielewa kwanini hutakiwi kuwaamini tena hawa wanasiasa njaaKwa hiyo unakiri kuwa nafasi zote mmehodhi CCM? Kama mnajiamini hivyo si wekeni wasimamizi huru na mruhusu mawakala wote wawe vituoni na wachukue picha za matokeo? Kama kweli mko makini kwa nini mpaka leo mahesabu ya kura za kwenye vituo mmeshindwa kutoa?
Amandla...
Sasa waje kwa ground wasijifiche kwenye space ya Maria tu[emoji23][emoji23][emoji23]Huko kwenye space kuna polisi wenye silaha?
Mbwa [emoji240] wewe unaongea nini?CHADEMA WANATAKIWA WAJITAFAKARI WAANZE UPYA UPINZANI HAUENDI WANAVYOTAKA WAO HUO NI MFANO TU KUWA WAMESHAPOTEZA MVUTO NA USHAWISHI KWA WATANZANIA YAANI HATA ASILIMIA MOJA YA WATANZANIA HAWASAPOTI WANAYOYAFANYA WATU WACHACHE HIVYO NDIYO WANAPONGEZANA ETI WAMEFIKA ? NI UTOTO WA HALI YA JUU SANA HUO
Mkuu acha kuwaamini hawa watu, maana wataendelea kukufanya ww mtumwa wa uongo na kuutumia udhaifu huo kama kichochoro cha kujineemesha na siasa zao uchwala. Mw ...
Si kila mtu anaweza siasa za kuumizwa.Ingekuwa mikutano ya wapinzani inaruhusiwa bila kuitisha ccm, ungewaona wengi sana. Ccm mko bungeni wenyewe na mnapendelewa kufanya mikutano, lakini hamna ushawishi.Sasa waje kwa ground wasijifiche kwenye space ya Maria tu[emoji23][emoji23][emoji23]
kama unauwwezo wa kuongea na mbwa basi na wewe ni mbwa tuMbwa [emoji240] wewe unaongea nini?
Haki ikitendeka hakutakua na shida kwa mtu yeyotechadema wameshindwa kutumia busara zao na akili za kuzaliwa wanajua nchi ilikuwa katika hali mbaya sana na mdororo mkubwa,huku wahanga wakubwa wakiwa ni wao na wanachama wao...
Acha kufuatilia maisha ya watu na wakati ya kwako tu yanakushinda.jf
yaani kwa idadi ile ya watu waliohudhuria leokatika mahakama ya kisutu imejionyesha dhahiri kuwa watu wameichoka chadema na vituko vyake maana walivyoipromote siku ya leo ningetegemea barabara zote muhimu za dar zingefungwa hiyoinadhihirisha watanzania wamekomaa kisiasa hawataki bughuza wanataka maendeleo bora ambayo hawawezi kuyapata popote ila kwa ccm tu chadema inabidi mjitafakari sana wapi mlipokosea ili mrudi kuwa chama kikuu cha upinzani nilitegemea niwaone viongozi wote wakuu wa chama kumbe wengine ni waongeleaji kwenye mikutano tu pambalu kahamasisha yeye kakaa kwenye tv anaangalia
bado chadema wanasafari ndefu sana kuifikia ccm huko iliko sasa ni wakati wakae wasubiri kesi iishe na wakae wajipange upya kuliko kukurupuka tu mara katiba wakati hata ya kwao inawashinda kuifuata
mtakuja kuelewa tu waliokamatwa sasa hivi wanajuta walifuata nini huko viongozi wote wamerudi nyumbani yeye kabaki seroYou are hopeless!!
Jina lako linakuponzajf
yaani kwa idadi ile ya watu waliohudhuria leokatika mahakama ya kisutu imejionyesha dhahiri kuwa watu wameichoka chadema na vituko vyake maana walivyoipromote siku ya leo ningetegemea barabara zote muhimu za dar zingefungwa hiyoinadhihirisha watanzania wamekomaa kisiasa hawataki bughuza wanataka maendeleo bora ambayo hawawezi kuyapata popote ila kwa ccm tu chadema inabidi mjitafakari sana wapi mlipokosea ili mrudi kuwa chama kikuu cha upinzani nilitegemea niwaone viongozi wote wakuu wa chama kumbe wengine ni waongeleaji kwenye mikutano tu pambalu kahamasisha yeye kakaa kwenye tv anaangalia
bado chadema wanasafari ndefu sana kuifikia ccm huko iliko sasa ni wakati wakae wasubiri kesi iishe na wakae wajipange upya kuliko kukurupuka tu mara katiba wakati hata ya kwao inawashinda kuifuata
Kutotumia akili kumemweka Mbowe jela, hadi aje kutoka chama kishapoteana, ubabe wa kijinga ni hasara kwa upinzani na taifa kiujumla. Makesi kila siku na kusahau kuendeleza chama. Tangu 2015 CDM wamepoteana na raia kuwachoka, acheni huu ujinga kwa kweli. Msirudie makosa ya mboweCCM mnalidhalilisha taifa . Hii ni kesi ya hovyo nafikiri tangu tupate uhuru wetu 1961.
Ujasiri!Ubora wa aina gani
Tutajie maendeleo yaliyoletwa na ccm,yaani kama baada ya miaka 60,Bado mnatuambia mnataka kutuletea maendeleo nyie ni vilaza,kitu gani hicho Cha kutumia miaka 60 kuleta?jf
yaani kwa idadi ile ya watu waliohudhuria leokatika mahakama ya kisutu imejionyesha dhahiri kuwa watu wameichoka chadema na vituko vyake maana walivyoipromote siku ya leo ningetegemea barabara zote muhimu za dar zingefungwa hiyoinadhihirisha watanzania wamekomaa kisiasa hawataki bughuza wanataka maendeleo bora ambayo hawawezi kuyapata popote ila kwa ccm tu chadema inabidi mjitafakari sana wapi mlipokosea ili mrudi kuwa chama kikuu cha upinzani nilitegemea niwaone viongozi wote wakuu wa chama kumbe wengine ni waongeleaji kwenye mikutano tu pambalu kahamasisha yeye kakaa kwenye tv anaangalia
bado chadema wanasafari ndefu sana kuifikia ccm huko iliko sasa ni wakati wakae wasubiri kesi iishe na wakae wajipange upya kuliko kukurupuka tu mara katiba wakati hata ya kwao inawashinda kuifuata