😂 😂Mmmh kuna tatizo kubwa sana la uongozi pale Simba... Mambo hayako poa kama ilivyokuwa inaonekana kwa nje... Things has bitten each other itself...
Mm nawaambia Mo angesoma st DULLAH zetu hizi huyu mwamba angekuwa MCHAWI KABISAADuuu ila kun matajiri waswahili sana kiasi kwamba hata Hadhi ya utajiri wao inadharaulika
Kwa hiyo, tuseme Mo anataka timu nzima na wapenzi wote wa Simba wamchukie Manara? Kwamba hakuna hata mmoja mwenye urafiki naye despite kwamba ana ugomvi na uongozi wa Simba? Huu ni uswahili. Huwezi rithisha ugomvi watu..Leo wakati Chama akiwa Live insta alimsifia Haji kitendo kile kikamkera Bilionea Moo Dewji. Dewji akamtolea uvivu Chama na kumuulza "Haji ndiye aliyekulipia ada ya uhamisho?" Kisha Dewji akamwambia anatoka kwenye mkutano huo wa Insta.
View attachment 1883135
View attachment 1883136
View attachment 1883137
Leo wakati Chama akiwa Live insta alimsifia Haji kitendo kile kikamkera Bilionea Moo Dewji. Dewji akamtolea uvivu Chama na kumuulza "Haji ndiye aliyekulipia ada ya uhamisho?" Kisha Dewji akamwambia anatoka kwenye mkutano huo wa Insta.
View attachment 1883138
Vimeumana!!! (Things has bitten each other up)Mmmh kuna tatizo kubwa sana la uongozi pale Simba... Mambo hayako poa kama ilivyokuwa inaonekana kwa nje... Things has bitten each other itself...
Hizo ndio tabia za wahindi, yaani ukinunua nguo mpya ukaja ofisini unaweza kufukuzwa kazi. Ukipolish kiatu kikang'aa unaweza lazimishwa kuomba msamaha. Unaweza usiamini maneno yangu ila wale waliofanya kazi kwa muhindi watakubaliana nami.Mo ana hulka za Kiswahili.
Hivi mtu kama yeye anapata wapi muda wa kuangaika na watu wa chini ake hiviii....!!!?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app