Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama koya wa nini sasa kwenye mambo ya mpira? Unabishana na mama koya?Ni kumkaza mama koya.
"Akili za ku lesson"[emoji23][emoji23]Oneni shabiki msomi huyu... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We shangazi unataka kunitafutia ban siyo?Tumekuelewa mke wa Mo
Utoto wa hali ya juu. Huyu Mo atakuwa mbwia unga tu huyu😂 😂
Sipati picha Gharib Bilal anamfuata Yacouba Sogne kwa Insta Video ili akabishane naye.
hapa ni ku lesson mtindo mmoja🤣🤣Oneni shabiki msomi huyu... 😂 😂 😂
Haji ni zaidi ya shetani aisee, nadhani simba imuache tu huyo chama, hata manara tuhuma za hujuma ni za mda mrefu ifike mahali simba ifute uswahili wa kijinga wa kimanara manara, maana manara naye alianza chokochoko kabla ya ile mechi kubwa ili tufungwe bahati akashindwa. Tena juzi Ali mupost john bosco na kumtag ila boco ka kaptain aka umute. Ni mda sasa wa simba kutokumjibu huyo manara, na yeye Mo hebu atulie kimya huu upepo mchafu upite, ikiwezekana wachezaji wote walio kuwa mashosti na Manara waachwe msimu huu wamfate huyo Manara, kuwachekea watai cost timu huko mbeleni.Inaonekana chama amemu unfollow Mo huko insta.Hii inanipa picha mbaya sana.Sidhani kama Chama ana nia njema tena na Simba.
Ninaanza kuona wazi kuwa huenda hawa (chama na Haji)walikuwa na siri nzito sana kwenye mipango yao ya kuuza timu.
Huu upepo hautaiacha salama Simba.Haji amejipanga kuibomoa Simba,na atafanikiwa kwani vichwa vya Mo na CEO viko tupu sana.
Wahindi acha kabisa niliwahi simamia ujenzi wa ghorofa 12 na muhindi maana ilibidi nikimbie maana kila floor kuna kazi inaendelea ilikuwa unazingua kuanzia juu mpaka chini kuangalia mafundi kama wamesimama hawafanyi kazi sasa kila sehemu anayonikuta ni kosa veve iko simamia hapa tu veve nenda kule chni kazi fundi lala tu, ukikutana naye kwenye ngazi unashuka "veve zurura tu hamna kazi enda uko"Hshaaaaa kuna jamaa yangu mmoja alipomaliza form six alifanya kazi kiwanda cha wahindi aliwahi nisimulia hayo. Muhindi alimwambia "veve iko vaa vizuri sana veve" na "veve iko penda kula vizuri veve"
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa kilugha chetu tunasema nyama usiichemshe, usiichome, usiikaange wala kuioka lakini iiveWahindi acha kabisa niliwahi simamia ujenzi wa ghorofa 12 na muhindi maana ilibidi nikimbie maana kila floor kuna kazi inaendelea ilikuwa unazingua kuanzia juu mpaka chini kuangalia mafundi kama wamesimama hawafanyi kazi sasa kila sehemu anayonikuta ni kosa veve iko simamia hapa tu veve nenda kule chni kazi fundi lala tu, ukikutana naye kwenye ngazi unashuka "veve zurura tu hamna kazi enda uko"
Ikabidi niwe namvizia nikisikia sauti nakula kona mpaka jioni tunapishana hatuonani ikifika muda wa malipo "veve leo lala tu hamna kazi fanya"
Mwisho wa siku nikapotea mazimaaa. Wahindi wajinga sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]ungempiga aache gubu lakeWahindi acha kabisa niliwahi simamia ujenzi wa ghorofa 12 na muhindi maana ilibidi nikimbie maana kila floor kuna kazi inaendelea ilikuwa unazingua kuanzia juu mpaka chini kuangalia mafundi kama wamesimama hawafanyi kazi sasa kila sehemu anayonikuta ni kosa veve iko simamia hapa tu veve nenda kule chni kazi fundi lala tu, ukikutana naye kwenye ngazi unashuka "veve zurura tu hamna kazi enda uko"
Ikabidi niwe namvizia nikisikia sauti nakula kona mpaka jioni tunapishana hatuonani ikifika muda wa malipo "veve leo lala tu hamna kazi fanya"
Mwisho wa siku nikapotea mazimaaa. Wahindi wajinga sana.
Ilinibidi kukimbia tu maana niliona dalili za kuua kwa kumsukuma juu ya ghorofa aanguke afe kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23]ungempiga aache gubu lake
Wanakera kunyanyasa wafanyakazi wao sio huku bongo tu hata huko IndiaIlinibidi kukimbia tu maana niliona dalili za kuua kwa kumsukuma juu ya ghorofa aanguke afe kabisa.
Na hapohapo hana elimu wala nini ameletwa bongo kujifunza kazi na analala kwenye makontena ila anavyokusumbua lengo lake uondoke.Wanakera kunyanyasa wafanyakazi wao sio huku bongo tu hata huko India