[emoji23][emoji23][emoji23]na huyo muhindi ukute huko alikotoka ana baguliwa vibaya mno so kisirani kinakuwa kwa wafanyakaziNa hapohapo hana elimu wala nini ameletwa bongo kujifunza kazi na analala kwenye makontena ila anavyokusumbua lengo lake uondoke.
Huu ndio ukweli halisi kabisaaa na haya mambo hayajifichi si unaona chama kakasirika manara kufukuzwa kule insta liveMo anakosa hekima.Lakini pia inaonekana uwekezaji wa Haji kwenye kuihujumu timu,ni mkubwa sana.Ninaona Haji huenda hata alitumika na makampuni ya bet ili kupanga matokeo ya mechi kubwa.Huenda walitengeneza pesa nyingi kwa kushirikiana na wachezaji kama chama.
Leo nimekumbuka Hans Pope kipindi fulani aliwahi kumtuhumu chama amecheza chini ya kiwango maksudi.Ninaanza kuelewa yule Mzee hakuwa mwendawazimu.Haji anajua mchezo mzima.Haji sio mtu kabisa.Hafai kutetewa hata kidogo.
Maneno yatakupa ugali? Acha ujingamaneno ya Haji yanaanza kuonekana ni ukweli [emoji848]
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Umewahi mlipia salary sh.ngapi chama?Chama hajaondoka vizuri pale Simba
Upuuzi wa MO ndio umempa nguvu ya kusepa
Tunaenda kua kama As Vita soon.
Anawalipa nani? Hamuwezi mtoeni muone shooMo ana hulka za Kiswahili.
Hivi mtu kama yeye anapata wapi muda wa kuangaika na watu wa chini ake hiviii....!!!?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Naona kagoma kutuagaChama hajaondoka vizuri pale Simba
Upuuzi wa MO ndio umempa nguvu ya kusepa
Tunaenda kua kama As Vita soon.
Hili swali si la mwanamichezo.Umewahi mlipia salary sh.ngapi chama?
Msamehe, ni wale waliopata zero olevo!Hili swali si la mwanamichezo.