Kama hili ni kweli, Basi Mo Ataliza Watu Muda Sio Mrefu

Na hapohapo hana elimu wala nini ameletwa bongo kujifunza kazi na analala kwenye makontena ila anavyokusumbua lengo lake uondoke.
[emoji23][emoji23][emoji23]na huyo muhindi ukute huko alikotoka ana baguliwa vibaya mno so kisirani kinakuwa kwa wafanyakazi
 
Huu ndio ukweli halisi kabisaaa na haya mambo hayajifichi si unaona chama kakasirika manara kufukuzwa kule insta live
 
Chama hajaondoka vizuri pale Simba

Upuuzi wa MO ndio umempa nguvu ya kusepa

Tunaenda kua kama As Vita soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…