Kama hizi ndio sababu za jina la Mpina kukatwa NEC

mpina hata akigombea kwa tiketi ya TADEA atashinda saa moja asubuhi! japo nahisi mpangilio wa hii thread kaandika mwenyewe
 
Si kaahidi kugombea Urais kupitia chama kingine?sasa ndo kapewa ruhusa ...akagombee aone why Lowasa..
Membe na Sumaye wamerudi CCM now wamefunga midomo
Hata hao sumaye na wenzake bado ikitokea chama chenye nguvu wataulaza tena.
Wapo tu CCm kwa mapumziko.
 
Hilo ndiyo jibu sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…