Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

Zanzibar kwa maana ya unguja na pemba ipo sawa na jimbo la ilala!!!
Ama kweli utajua kama hujui
kwa kukusaidia tu,....
Kwa mujibu wa Sensa ya watu na makazi ya iliyofanyika Agost 2012, Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ina jumla ya wakazi wapatao 1,220,611, ambapo idadi ya Wanaume ni 595,928 na na wanawake ni 624,683
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imegawanyika katika Tarafa tatu (3) ambazo ni Ukonga , Ilala , na Kariakoo . ambapo ina jumla ya Kata Thelathini na tano (35) zikiwa na jumla ya Mitaa mia moja na hamsini na tatu (153)
Aidha Halmashauri ya Manispaa ina Majimbo matatu (3) ya Uchaguzi ambayo ni Ilala, Ukonga na Segerea.

Zanzibar ina Wapiga kura laki tano na 66, katika majimbo 50 ya visiwa vya Zanzibar, wanatarajiwa kupiga kura katika uchaguzi wa mwaka huu. Watu wa Zanzibar ni wa asili mbalimbali, hasa watu wa asili ya Afrika Bantu, yakiwemo makabila ya Wahamidu na Watumbatu; halafu Waasia, awali kutoka India na nchi za Kiarabu.
Idadi ya wakazi wa Zanzibar ilikuwa 1,303,569 mwaka 2012, tarehe ya sensa ya mwisho, iliyoonyesha ongezeko la 3.1% kwa mwaka.
Karibu theluthi mbili ya watu wanaishi katika kisiwa cha Zanzibar (Unguja).
 
Yaliazishwa baada ya Vita za wenyewe kwa wenyewe walipouana sana wakaamua kila bwana la Vita liwe na jimbo lake lenyewe kumaliza Vita
Hii siyo kweli, soma katiba ya Marekani, hata hivyo vita ilikuwa kati ya majimbo ya kusini na ya Kaskazini, Ya Kusini yalikuwa yanategemea Kilimo kwaiyo yalitaka biashara ya Utumwa iendelee, wakati ya Kaskazini yalikuwa yanategemea Viwanda kwaiyo hayakutaka biashara ya Utumwa.
 
Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao. Hii umeandika mwenyewe na hapa Tanzania hatuan ukabila
 
ndo mana nimesema utaua huui...
nikufundishe tu we dogo wa lumumba m'beba jezi..
idadi ya wapiga kura ILALA yote na idadi ya wapiga kura ungua hapo ndo utajua kama hujui
Achilia mbali ILALA ambayo Ndio jimbo dogo sana dar hata hio dar es salaam ni ndogo sana kwa zanzibar I
 

Attachments

  • Screenshot_20201123-202118.jpg
    Screenshot_20201123-202118.jpg
    95.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201123-202049.jpg
    Screenshot_20201123-202049.jpg
    85.4 KB · Views: 2
kwa kukusaidia tu,....
Kwa mujibu wa Sensa ya watu na makazi ya iliyofanyika Agost 2012, Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ina jumla ya wakazi wapatao 1,220,611, ambapo idadi ya Wanaume ni 595,928 na na wanawake ni 624,683
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imegawanyika katika Tarafa tatu (3) ambazo ni Ukonga , Ilala , na Kariakoo . ambapo ina jumla ya Kata Thelathini na tano (35) zikiwa na jumla ya Mitaa mia moja na hamsini na tatu (153)
Aidha Halmashauri ya Manispaa ina Majimbo matatu (3) ya Uchaguzi ambayo ni Ilala, Ukonga na Segerea.

Zanzibar ina Wapiga kura laki tano na 66, katika majimbo 50 ya visiwa vya Zanzibar, wanatarajiwa kupiga kura katika uchaguzi wa mwaka huu. Watu wa Zanzibar ni wa asili mbalimbali, hasa watu wa asili ya Afrika Bantu, yakiwemo makabila ya Wahamidu na Watumbatu; halafu Waasia, awali kutoka India na nchi za Kiarabu.
Idadi ya wakazi wa Zanzibar ilikuwa 1,303,569 mwaka 2012, tarehe ya sensa ya mwisho, iliyoonyesha ongezeko la 3.1% kwa mwaka.
Karibu theluthi mbili ya watu wanaishi katika kisiwa cha Zanzibar (Unguja).
Are you taking about population or area
Kuna Maeneo mengi makubwa Yana watu wachache na kuna Maeneo mengi madogo na Yana watu wengi
Tatizo hatujaelewana ukwabwa kwa maana ya watu au eneo

Kama ni watu basi ilala ni kubwa kuliko mikoa mingi sana ya Tanzania
 
Ethiopia wana matatizo toka kitambo sababu za koo zao siyo majimbo - kama majimbo yangekuwa tatizo basi nchi ya Kenya, Rwanda, South Africa, Mozambique, Lesotho, na Angola kungekuwa na vita

Shida yako ni uelewa
Wala karibu kote huko umetaja hakuna majimbo aina ya anavyotaka lissu. Labda afrika kusini ambako kila siku ni vurugu za kikabila na chuki kwa wageni. Tena huko kuna uhuru hadi wa ushoga 😂😂
 
Wa Ethiopia wanabaguana kitambo. Kuna watu wanaitwa Oromo wanafanana na sisi wana shida sana hawapendani na wale wengine.

..Ethiopia ina tatizo la KIHISTORIA.

..Mfalme aliyeasisi taifa la Ethiopia alitumia mabavu ya KIJESHI kuyateka makabila mbalimbali na kuunda taifa ambalo leo tunaliita Ethiopia.

..Na Mfalme huyo alitokea kabila la Amhara, na kila alipoteka kabila lingine alitawala kimabavu na aliwalazimisha kuzungumza lugha ya Ki-Amharic .

..Utawala wa Kifalme uliendelea na uli-survive maasi mbalimbali toka jamii na makabila yanayounda Ethiopia mpaka miaka ya 1970 ambapo yalitokea mapinduzi ya kijeshi ambayo chanzo chake ni harakati za wanafunzi wa vyuo vikuu.

..Chokochoko dhidi ya Mfalme wa Ethiopia zilikuwa zinatokana na kilio cha jamii na makabila mbalimbali kuwa na mamlaka[ UTAWALA WA MAJIMBO ] zaidi ktk kujiamulia mambo yao.

..Utawala wa Kijeshi[ chini ya Col.Mengistu Haile Mariam] uliomtoa madarakani Mfalme wa Ethiopia haukushughulikia kilio na madai ya wananchi kuwa na mamla zaidi / utawala wa majimbo.

..Vita ya wenyewe kwa wenyewe ulizuka wakati wa utawala wa kijeshi na chanzo cha vita hiyo kilikuwa ni Eritrea kutaka kuwa nchi huru, na matamanio ya jamii mbalimbali kuwa na mamlaka za majimbo.

..Serikali ya kijeshi ilipoanguka aliingia madarakani Meles Zenawi ambaye alianzisha serikali za majimbo na Addis Ababa ikiwa ni serikali kuu /federal government. Tatizo la Meles Zenawi lilikuwa ni kupendelea kabila lake la Watigray ktk serikali na nyanja zote za kiuchumi na kisiasa.

..Sasa kutokana na historia hiyo, unaweza ku-fast forward na kuangalia kinachoendelea ktk vita kati ya federal govt na serikali ya jimbo la Tigray.


cc MALCOM LUMUMBA, Kilatha, Nguruvi3, Chige
 
Nchi ulizotaja hapo ni Africa ya kusini tu ndio kidogo haina shida, hii ni kwasababu wazungu wameweka mizizi pale.
Ila zilizobaki zote zina matatizo.kwa lesotho idadi ya watu.wenyewe hawafiki hata milion4.wakigombana si wajinga!!

Kenya wana Mikoa minane.
Lakini mikoa mitatu tu ndio wanaishi kwa raha.
Lakini kulikobakia kote kunashida sio ya kawaida.
Gavana wao wa pwani msafara na ulinzi wake hata Rais akasome.

Wakati huo Tanzania yetu ina mikoa karibu 30.
Lakini inategemea mikoa mitano tu katika chakula na yote imebalance kwa upatikanaji wa chakula na bei.
Hata kwenye ulinzi wa nchi na mipaka yake mifumo ya majimbo ni shida.
Uganda ingekua na mifumo hii Josef Koni angeshamuondoa Museveni angali kijana sana.

Mfumo wa Majimbo kwa Watanzania bado. Waelimishwe kwanza hata kwa miaka 30 ijayo, halafu wapige kura wenyewe.
Hoja ni moja tu hapa majimbo hupunguza nguvu na mamlaka ya Raisi, nimemaliza
 
..Ethiopia ina tatizo la KIHISTORIA.

..Mfalme aliyeasisi taifa la Ethiopia alitumia mabavu ya KIJESHI kuyateka makabila mbalimbali na kuunda taifa ambalo leo tunaliita Ethiopia.

..Na Mfalme huyo alitokea kabila la Amhara, na kila alipoteka kabila lingine alitawala kimabavu na aliwalazimisha kuzungumza lugha ya Ki-Amharic .

..Utawala wa Kifalme uliendelea na uli-survive maasi mbalimbali toka jamii na makabila yanayounda Ethiopia mpaka miaka ya 1970 ambapo yalitokea mapinduzi ya kijeshi ambayo chanzo chake ni harakati za wanafunzi wa vyuo vikuu.

..Chokochoko dhidi ya Mfalme wa Ethiopia zilikuwa zinatokana na kilio cha jamii na makabila mbalimbali kuwa na mamlaka[ UTAWALA WA MAJIMBO ] zaidi ktk kujiamulia mambo yao.

..Utawala wa Kijeshi[ chini ya Col.Mengistu Haile Mariam] uliomtoa madarakani Mfalme wa Ethiopia haukushughulikia kilio na madai ya wananchi kuwa na mamla zaidi / utawala wa majimbo.

..Vita ya wenyewe kwa wenyewe ulizuka wakati wa utawala wa kijeshi na chanzo cha vita hiyo kilikuwa ni Eritrea kutaka kuwa nchi huru, na matamanio ya jamii mbalimbali kuwa na mamlaka za majimbo.

..Serikali ya kijeshi ilipoanguka aliingia madarakani Meles Zenawi ambaye alianzisha serikali za majimbo na Addis Ababa ikiwa ni serikali kuu /federal government. Tatizo la Meles Zenawi lilikuwa ni kupendelea kabila lake la Watigray ktk serikali na nyanja zote za kiuchumi na kisiasa.

..Sasa kutokana na historia hiyo, unaweza ku-fast forward na kuangalia kinachoendelea ktk vita kati ya federal govt na serikali ya jimbo la Tigray.


cc MALCOM LUMUMBA, Kilatha, Nguruvi3, Chige
Aisee hebu endelea zaidi
 
..Ethiopia ina tatizo la KIHISTORIA.

..Mfalme aliyeasisi taifa la Ethiopia alitumia mabavu ya KIJESHI kuyateka makabila mbalimbali na kuunda taifa ambalo leo tunaliita Ethiopia.

..Na Mfalme huyo alitokea kabila la Amhara, na kila alipoteka kabila lingine alitawala kimabavu na aliwalazimisha kuzungumza lugha ya Ki-Amharic .

..Utawala wa Kifalme uliendelea na uli-survive maasi mbalimbali toka jamii na makabila yanayounda Ethiopia mpaka miaka ya 1970 ambapo yalitokea mapinduzi ya kijeshi ambayo chanzo chake ni harakati za wanafunzi wa vyuo vikuu.

..Chokochoko dhidi ya Mfalme wa Ethiopia zilikuwa zinatokana na kilio cha jamii na makabila mbalimbali kuwa na mamlaka[ UTAWALA WA MAJIMBO ] zaidi ktk kujiamulia mambo yao.

..Utawala wa Kijeshi[ chini ya Col.Mengistu Haile Mariam] uliomtoa madarakani Mfalme wa Ethiopia haukushughulikia kilio na madai ya wananchi kuwa na mamla zaidi / utawala wa majimbo.

..Vita ya wenyewe kwa wenyewe ulizuka wakati wa utawala wa kijeshi na chanzo cha vita hiyo kilikuwa ni Eritrea kutaka kuwa nchi huru, na matamanio ya jamii mbalimbali kuwa na mamlaka za majimbo.

..Serikali ya kijeshi ilipoanguka aliingia madarakani Meles Zenawi ambaye alianzisha serikali za majimbo na Addis Ababa ikiwa ni serikali kuu /federal government. Tatizo la Meles Zenawi lilikuwa ni kupendelea kabila lake la Watigray ktk serikali na nyanja zote za kiuchumi na kisiasa.

..Sasa kutokana na historia hiyo, unaweza ku-fast forward na kuangalia kinachoendelea ktk vita kati ya federal govt na serikali ya jimbo la Tigray.


cc MALCOM LUMUMBA, Kilatha, Nguruvi3, Chige
Shule nadhifu na adhimu sana, ahsante

Hawa vijana 'wanachuma matawi' na kukimbia nayo wakidhani wanaujua mti.
Serikali za majimbo zilikuwepo Tanganyika na hakukuwahi kuwepo matatizo

Serikali za majimbo maana yake ni maeneo makubwa ya kiutawala kuliko mikoa ambayo yatakuwa na uwezo wa kupanga shughuli zao za maendeleo kulingana na maeneo husika.

Mfano, kanda ya kusini wakishughulikia korosho yao ni tofauti na ya nyanda za juu inayolima nafaka zaidi.

Mikoa imegawanya na Mwalimu Nyerere.

Swali la kujiuliza, katika mikoa wakuu wa mikoa na Wilaya wanawajibika kwa nani?

Hawa si wa kuchaguliwa na wananchi na hili limekuwa tatizo kubwa sana
Mfano, mkuu wa mkoa anahimiza kununua madawati eneo ambalo shida ni zahanati.

Mkuu wa mkoa anafanya hivyo kumfurahisha mkubwa aliyeko Dar es Salaama si mwananchi anayemhudumia

Kama majimbo ni mbaya kwanini wanatoa mfano wa Ethiopia na si Australia, Nigeria, India, Canada n.k.!
 
Kenya na USA walitwangana wenyewe kwa wenyewe ndio wakaanzisha majimbo .Kikwete ndie alienda saidia kumaliza mapigano kenya wakaja na sera ya majimbo

Congo na Msumbiji kuna majimbo
Ila mwamba huwaga ni muongo sana vita vya wenyewe kwa wenyewe marekani sababu kubwa ni slavery (utumwa) na sio majimbo
Majimbo ya kusin yalitaka kuendelea na utumwa na majimbo ya kaskazin yakiamin marekani ni nchi huru maana utumwa usiwepo waishi kama watu huru
Ndo maana baada ya vita Lincoln alisema all men are equal and government is for the people by the people acha upotoshaji
 
Ila mwamba huwaga ni muongo sana vita vya wenyewe kwa wenyewe marekani sababu kubwa ni slavery (utumwa) na sio majimbo
Majimbo ya kusin yalitaka kuendelea na utumwa na majimbo ya kaskazin yakiamin marekani ni nchi huru maana utumwa usiwepo waishi kama watu huru
Ndo maana baada ya vita Lincoln alisema all men are equal and government is for the people by the people acha upotoshaji
Sawa Lincoln alisema all men are equal Kuna aquality marekani Hadi leo hii Kati ya wazungu na weusi? Hakuna ubaguzi? Uliona kilichotokea baada ya Mswahili Floyd kuuawa na polisi wazungu?

Wote waliotwangana wenyewe kwa wenyewe ndio wenye serikali za majimbo
 
Sawa Lincoln alisema all men are equal Kuna aquality marekani Hadi leo hii Kati ya wazungu na weusi? Hakuna ubaguzi? Uliona kilichotokea baada ya Mswahili Floyd kuuawa na polisi wazungu?

Wote waliotwangana wenyewe kwa wenyewe ndio wenye serikali za majimbo
Point ya Lincoln ni kuondoa utumwa na alifanikiwa kwa kusain Sheria
Mbona hata Tanzania ubaguzi upo sembuse marekani
 
Back
Top Bottom