Yaani mauaji ya kenya mwaka 2007 chanzo majimbo,kivip yanHuelewi chochote kuhusu Kenya.
Mauaji ya watu zaidi ya 1500 katika uchguzi wa 2007 kichocheo kikubwa ilikuwa ni huo umajimbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mauaji ya kenya mwaka 2007 chanzo majimbo,kivip yanHuelewi chochote kuhusu Kenya.
Mauaji ya watu zaidi ya 1500 katika uchguzi wa 2007 kichocheo kikubwa ilikuwa ni huo umajimbo
Wataje tu BossWala sitafuti uteuzi. Shida nyie mnaotafuta mnafikiri kila mtu anatafuta uteuzi. Kuna wale wanatafuta viti maalum hadi wamebakia na ukimwi. Ubinafsi ndio umetawala nyoyo zenu.
Kenya hakuna mikoa wewe kuna majimbo.Nchi ulizotaja hapo ni Africa ya kusini tu ndio kidogo haina shida, hii ni kwasababu wazungu wameweka mizizi pale.
Ila zilizobaki zote zina matatizo.kwa lesotho idadi ya watu.wenyewe hawafiki hata milion4.wakigombana si wajinga!!
Kenya wana Mikoa minane.
Lakini mikoa mitatu tu ndio wanaishi kwa raha.
Lakini kulikobakia kote kunashida sio ya kawaida.
Gavana wao wa pwani msafara na ulinzi wake hata Rais akasome.
Wakati huo Tanzania yetu ina mikoa karibu 30.
Lakini inategemea mikoa mitano tu katika chakula na yote imebalance kwa upatikanaji wa chakula na bei.
Hata kwenye ulinzi wa nchi na mipaka yake mifumo ya majimbo ni shida.
Uganda ingekua na mifumo hii Josef Koni angeshamuondoa Museveni angali kijana sana.
Mfumo wa Majimbo kwa Watanzania bado. Waelimishwe kwanza hata kwa miaka 30 ijayo, halafu wapige kura wenyewe.
Anajua hilo hata?Ethiopia haijawahi kutawaliwa hauoni kama Ethiopia ni taifa kongwe kuliko USA?
Marko 7:15: "Nothing that goes into someone from outside can make that person unclean; it is the things that come out of someone that make that person unclean."Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya Taifa Addis Ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la Tigray. Jimbo lina Rais lina Bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa Taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Kenya na USA walitwangana wenyewe kwa wenyewe ndio wakaanzisha majimbo .Kikwete ndie alienda saidia kumaliza mapigano kenya wakaja na sera ya majimboPost utopolo ya UVCCM hii, Congo, Somalia kuna majimbo ? Ambapo wanapigana vita.
Ebu angalia USA, KENYA penye majimbo kuna vita ?, migogoro ndani ya nchi sio sbb ya majimbo ni uongozi wa raisi dhaifu
USA kuna majimbo tangu 1776, kabla na baada ya uhuru,,Kenya na USA walitwangana wenyewe kwa wenyewe ndio wakaanzisha majimbo .Kikwete ndie alienda saidia kumaliza mapigano kenya wakaja na sera ya majimbo
Congo na Msumbiji kuna majimbo
Yaliazishwa baada ya Vita za wenyewe kwa wenyewe walipouana sana wakaamua kila bwana la Vita liwe na jimbo lake lenyewe kumaliza VitaUSA kuna majimbo tangu 1776, kabla na baada ya uhuru,,
useless kushindwa uchaguzi kwa figisu ndio usema haitaji akili kubwa? wew bado akili ndogo tuu bado uko gizanis
Sio anatapatapa, anasema ukweli CHADEMA ilifika hatua wakawa wana usemi wao eti Lissu ana akili sana. Kumuelewa Lissu unatakiwa uwe na akili kubwa sana haha dah. Sasa yuko wapi? Nyie mnao muelewa haya tuambieni mbona kawasaliti sasa hivi kaenda kula raha tu huko nje.
Umewahi kufanya au kujua hali ya maisha yao katika maeneo/majimbo yao kote?Kenya hakuna mikoa wewe kuna majimbo.
Walikuwa Na mikoa nane kabla ya katiba Mpya sahizi wanamajimbo mengi tu idadi kamili imenitoka but I reckon ni more than 35+ counties ambazo zote zina majimbo Na standing governments.
Ebu lete chanzo cha uhakika chenye kuonyesha hilo kwamba chimbuko la maendeleo ya Marekani ni Ulaya.Haiku- tawaliwa.
Hoja ni kwamba Marekani Ni Mazingira ila ni Europe ndio chimbuko la Maendelo yao.
90% ni wa kuja sio wazawa
Historia ni darasa. Hivyo siyo lazima na sisi tutwangane ili tuunde serikali za majimbo zenye mamlaka kamili.kilichosababisha kuundwa majimbio nchi hizo unakijua?
Tuanzie Kenya tu hapo walitwangana kwa ukabila wakauana kama kuku hadi Kikwete ndie akaenda kuwasuluhisha ndio wakaja na sera ya majimbo kila jogoo la kikabila liwike kwake
Afrika Kusini ndio usiseme wazungu na waafrika walitwangana ndani barabara haikuishia hapo makabila yakaanza kutwangana wao kwa wao ndio wakaunda serikali ya majimbo kila mtu awike kwake,Botswana,Namibia same case
Msumbiji hapo tatizo hilo hilo ukienda Nigeria same case ,ukienda Ghana same case
Marekani pia waligawana majimbo baada ya kutwangana hasa .Hata Ubelgiji walipigana wenyewe kwa wenyewe kikabila wakaamua waunde majimbo kila jogoo awike kwake. Uingereza pia
Anajua hilo hata?
Unapozungumzia mataifa makongwe zaidi duniani huwezi iacha Ethiopia. Taifa lipo kabla hata yesu hajazaliwa!! Hata Suleiman nabii kaikuta Ethiopia Na imesimama mpaka Leo hafu unafananisha Na marekani ya juzi juzi tu hapa serious kabisa !!!
Kwani Tanzania hakuna Majimbo? Hao wabunge uliokuwa unawachagua walikuwa hawagombei kwenye majimbo? Kwanza Majimbo ya Lissu yatakuwa machache kuliko majimbo ya CCM. Leo tuna majimbo zaidi ya 200 wakati majimbo ya Lissu hayatazidi 20.Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya Taifa Addis Ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la Tigray. Jimbo lina Rais lina Bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa Taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Poles
Sio anatapatapa, anasema ukweli CHADEMA ilifika hatua wakawa wana usemi wao eti Lissu ana akili sana. Kumuelewa Lissu unatakiwa uwe na akili kubwa sana haha dah. Sasa yuko wapi? Nyie mnao muelewa haya tuambieni mbona kawasaliti sasa hivi kaenda kula raha tu huko nje.
kote kilichosumbua ukabila na ubaguzi wa rangi. Tanzania huko tulishavuka ndio maana hatuhitaji majimbo. Hao wengine ikiwemo ubelgiji, marekani, Kenya, Nigeria, Afrika Kusini, Ghana, uingereza, nkHistoria ni darasa. Hivyo siyo lazima na sisi tutwangane ili tuunde serikali za majimbo zenye mamlaka kamili.
Haswa kwa kuwa ni dhahiri mfumo wa uendeshaji serikali wa Tanzania umeshindwa kukabiliana na wale maadui wa maendeleo waliosemwa toka 1961.
Kasema katiba ya EthiopiaKwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya Taifa Addis Ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la Tigray. Jimbo lina Rais lina Bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa Taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.