Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

Je Chadema walikueleza Majimbo Yataongozwaje? Au umeamua kujiongeza wewe na akili kisoda.
Nchi haihitaj jimbo ili kuchafuka
 
Umetoa mfano mmoja lakini mfano mwingine mkubwa zaidi ni USSR ya Michael Gorbachev ilivyosambaratishwa na umajimbo mwisho wa siku mzee Gorbachev akabaki hana nchi ya kutawala maana hata Russia lilikuwa jimbo linalotawaliwa na Boriss Yeltsin na yeye akabaki na jimbo lake kama nchi
Following the Treaty on the Creation of the USSR of 1922, the Russian Soviet Socialist Federative Republic, Ukrainian Socialist Soviet Republic, the Byelorussian Socialist Soviet Republic and the Transcaucasian Socialist Federative Soviet Republic established the Union of Soviet Socialist Republics (USSR).

The treaty established the government, which was later legitimised by the adoption of the first Soviet constitution in 1924. The 1924 constitution made the government responsible to the Congress of Soviets of the Soviet Union. In 1936, the state system was reformed with the enactment of a new constitution. It abolished the Congress of Soviets and established the Supreme Soviet of the Soviet Union in its place.

================
Uko sahihi kuwa USSR ni muunganiko wa nchi za kisovieti - lkn chini ya huyo uliyemtaja kwa jina la Gorbachev alikuwa wakala wa USA ili kuiangusha USSR - na CIA siku zote wametumia njia hiyo hata kwenye mataifa yasiyokuwa na majimbo i.e Libya, Tunisia, Iraq nk
 
Watanzania wapi wa wapi hao walimjibu Lisu kwa kura zipi? Maana hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu kawachagua CCM kwenye uchaguzi huu haramu wa kishetani
Hizo porojo zenu, endeleeni kujifurahisha
 
NI kweli walimjibu....kwa kumpa kura za KUTOSHA....mkaamua kuzikwapua...ila MUNGU HASHINDWI....
Inaelekea nyie mnaishi JF, hamuishi Tanzania.
Mtaani kote ngoma ni JPM tu, wasanii wa upinzani tupa kule. Kama wabunge, madiwani na viongozi wengi tu wa ndani ya CHADEMA walishajitoa wenyewe baada ya kuona usanii wa Mbowe, unashangaa nini watu wengine wakiisusa CHADEMA kwa kutoipa kura?
 
Hata kama mnalipwa kutetea udhalimu ndugu zanguni, kuna wakati mnatakiwa kutumia vichwa.

Kwa kukusaidia tu mtoa uzi, hizi propaganda ni nzuri mno hasa kwa watu wa vijijini na wale wasio na ufahamu wa mambo.

Ukiwalisha hizi propaganda utawanasa kama kumbikumbi.

Lakini ukizileta kwa watu wenye utambuzi ni sawa na kuwatusi.

You are actually insulting my intelligence.

Sera ya majimbo ililenga kuleta uhuru wa mfumo wa kifedha, kibajeti na kiuchumi katika maeneo husika.

Serikali kuu imehodhi fedha zote kiasi kwamba hata ukitaka kujenga tundu la choo uende ukampigie magoti magufuli.

Magufuli hana macho ya kutazama nchi nzima kwa wakati mmoja. Ndio maana umasikini umetapakaa kila mahali kwa sababu tuna mungu mtu anayeishi chato mwenye maamuzi ya kila kitu.

Hii haifai. Lazima tuwe na utaratibu wa kifedha katika local levels.

Barabara, maji, miundombinu vyote vingepaswa kushugulikiwa na mamlaka za chini.

Sasa hivi hata ukitaka kujamba lazima uombe kwanza ruhusu kwa magufuli.

Nchi ya namna hiyo ya kumuabudu dikteta ni nchi ambayo imekwisha kujifia.

Tunaenda tu kama manyumbu.
 
Inaelekea nyie mnaishi JF, hamuishi Tanzania.
Mtaani kote ngoma ni JPM tu, wasanii wa upinzani tupa kule. Kama wabunge, madiwani na viongozi wengi tu wa ndani ya CHADEMA walishajitoa wenyewe baada ya kuona usanii wa Mbowe, unashangaa nini watu wengine wakiisusa CHADEMA kwa kutoipa kura?
Labda kichaa tu atakayeipigia kura ccm.

I can assure you, uchaguzi ukiwa huru, kura zikapigwa na kuhesabiwa hadharani, huo ndio utakuwa mwisho wa hicho chama cha wahuni.

Tunafanya maigizo tu. Mara sijui kupita bila kupingwa?

Tumaigizo maigizo twa hapa na pale!
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya Taifa Addis Ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la Tigray. Jimbo lina Rais lina Bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratisha Taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.

Hakuna tofauti ya kanda na majimbo mfumo wa Kenya ni mfano wa Lissu alivyokuwa anataka. Ethiophia ina matatizo toka zamani
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya Taifa Addis Ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la Tigray. Jimbo lina Rais lina Bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratisha Taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Ungeachana na mambo ya Lissu, nakuambia hii miaka mitano itakatika na ulambi teuzi
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya Taifa Addis Ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la Tigray. Jimbo lina Rais lina Bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratisha Taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Binti ungekua umeolewa ningekushauri muda unaoupoteza kuandika pumba hapa JF ungeutumia kumridhisha mmeo, ila ni bahati mbaya sana bado unadanga tu na kuchukua waume za watu.
 
IMEVUJAAA!!!!

Ujerumani na Marekani zapanga kuhujumu Tanzania

Taarifa kutoka ndani ya Balozi za nchi hizi mbili zimethibitisha kuwa kuna mipango inasukwa ya kuihujumu Tanzania. Mipango hiyo inaandaliwa na Marekani na Ujerumani kupitia Balozi zao nchini.

Taarifa zilizopo ni kwamba Dkt. DONALD J. WRIGHT (US Ambassador) na Bi. REGINA HESS (Germany Ambassador) walianza kutekeleza mipango hiyo baada kujionyesha wazi kwa kumsindikiza Airport aliyeshindwa Uchaguzi Mkuu Tanzania TUNDU ANTIPHAS LISSU

Maagizo yaliyotolewa kwa Mabalozi wa Nchi hizi mbili ni kwamba wahakikishe wanawasaidia Wagombea wote wa Upinzani ambao walishindwa Uchaguzi hususani wa CHADEMA ili waende kuishi Ujerumani pamoja na Familia zao.

Lengo ni kuwapa Mafunzo Maalum ya namna ya kuvuruga nchi ambayo yatahusishwa na Political Violence Vurugu za Kisiasa yatakayotolewa na Majasusi wa Marekani na Ujerumani.

Viongozi hao wa Upinzani wametakiwa kuzichukua na Familia zao kwani watakuwa wanalipwa kila mwezi USD 5000 sawa na (Tshs. 11,595,000/=) na kupewa makazi, ndio maana tumeona tayari LISSU ameondoka na familia yake na wengine wanaofuata ni LAZARO NYARANDU, ZITTO KABWE, GODBLESS LEMA.

Watakaobaki nchini wametakiwa kuendelea kukijenga Chama ili watakaomaliza mafunzo wakirudi waanze mikakati ya kuivuruga Tanzania kwa kuanzisha Political Violence (Vurugu za Kisiasa) katika Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Na ndio maana hatumsikii JOHN MNYIKA, JOHN HECHE, HALIMA MDEE, ESTER BULAYA na wengine wakilalamikia kutishiwa maisha kwa kuwa wao wametakiwa kubaki nchini ili kuendelea kulinda uhai wa Chama na wataendelea kulipwa kama wenzao watakaokuwa wanaishi Ujerumani.

Watanzania tujiandae kwa jaribio la Pili maana jaribio la kwanza la kutaka kutuvuruga kwenye Uchaguzi huu wameshindwa kutokana na Umoja wetu, na sasa wanekwenda kuongeza ujuzi wa jinsi ya kutugawa ili waendeshe vurugu na kufanikiwa azma ya MABEBERU kutaka nchi isitawalike ili wao wavune mali kirahisi.

UMOJA NDIO SILAHA YETU!
.
Na hakika hawataweza Tanzania ni nchi teule kila Aina ya jaribio la kuiharibu halitafanikiwa kamwee.
 
Wale Watigrey wala hawana shida Yule waziri wao
mkuu Abhi AHMADI ndo anasababisha haya yote ,Nadhani Ile tunzo ya Nobel aliyoipata ndo ina Mpa jeuri.
 
Hivi nyie watu hizi propaganda za kipuuzi mnamdanganya nazo nani siku hizi?

Mbona hutolei mfano serikali za majimbo za Marekani?

Ethiopia vita zao ni za enzi, nyie endeleeni kumdanganya Awafu mpate ugali.
Soma historia utaona jinsi vita imetumika kuweka hayo majimbo pamoja tangu mwaka 1776. Na wakati wanatofautiana hapakua na uingiliaji wa nje wenye nguvu kama kwa nchi za kiafrika zinavyoingiliwa na wakoloni wao wa zamani na wanyonyaji wengine dumiani.
 
Ni kweli, Mbowe kawa nyumbu kabisa wala hajitambui......kimyaaaaa utadhani yuko chooni anakunya huku akisoma gazeti.
Mkuu mbona unaniwekea maneno kinywani mwangu? Nimesema mwenyekiti wangu unakimbilia kumtaja Mbowe. Si muwaache watulie, tushawapora bado tunawafuata. Mimi ni kada mzoefu wa CCM, alafu siasa haifanyiki hivyo. Kama unaona hii ni baiskeli bado unang'ang;ania kuwa ni pikipiki, basi kuna shida mahala
 
Post utopolo ya UVCCM hii, Congo, Somalia kuna majimbo ? Ambapo wanapigana vita.

Ebu angalia USA, KENYA penye majimbo kuna vita ?, migogoro ndani ya nchi sio sbb ya majimbo ni uongozi wa raisi dhaifu
 
Mbona kwa Akina Nkurunziza hakuna majimbo na vita vya wa Hutu na wa Tutsi kila siku?

Namibia, Botswana, South Africa, Kenya etc kuna serikali za majimbo lakini hakuna shida?

Huu uzi wapelekee Darasa la saba ndio watakuelewa
Sahihisho: Namibia na Botswana hakuna serikali za majimbo.
 
Post utopolo ya UVCCM hii, Congo, Somalia kuna majimbo ? Ambapo wanapigana vita.

Ebu angalia USA, KENYA penye majimbo kuna vita ?, migogoro ndani ya nchi sio sbb ya majimbo ni uongozi wa raisi dhaifu
Huelewi chochote kuhusu Kenya.

Mauaji ya watu zaidi ya 1500 katika uchguzi wa 2007 kichocheo kikubwa ilikuwa ni huo umajimbo
 
Ungeachana na mambo ya Lissu, nakuambia hii miaka mitano itakatika na ulambi teuzi
Wala sitafuti uteuzi. Shida nyie mnaotafuta mnafikiri kila mtu anatafuta uteuzi. Kuna wale wanatafuta viti maalum hadi wamebakia na ukimwi. Ubinafsi ndio umetawala nyoyo zenu.
 
Back
Top Bottom