Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Kajifunze upya historia ya Ethiopia ndo uje ueleze athari za majimbo hapa
 
IMEVUJAAA!!!!

Ujerumani na Marekani zapanga kuhujumu Tanzania


Taarifa kutoka ndani ya Balozi za nchi hizi mbili zimethibitisha kuwa kuna mipango inasukwa ya kuihujumu Tanzania. Mipango hiyo inaandaliwa na Marekani na Ujerumani kupitia Balozi zao nchini.

Taarifa zilizopo ni kwamba Dkt. DONALD J. WRIGHT (US Ambassador) na Bi. REGINA HESS (Germany Ambassador) walianza kutekeleza mipango hiyo baada kujionyesha wazi kwa kumsindikiza Airport aliyeshindwa Uchaguzi Mkuu Tanzania TUNDU ANTIPHAS LISSU

Maagizo yaliyotolewa kwa Mabalozi wa Nchi hizi mbili ni kwamba wahakikishe wanawasaidia Wagombea wote wa Upinzani ambao walishindwa Uchaguzi hususani wa CHADEMA ili waende kuishi Ujerumani pamoja na Familia zao.

Lengo ni kuwapa Mafunzo Maalum ya namna ya kuvuruga nchi ambayo yatahusishwa na Political Violence Vurugu za Kisiasa yatakayotolewa na Majasusi wa Marekani na Ujerumani.

Viongozi hao wa Upinzani wametakiwa kuzichukua na Familia zao kwani watakuwa wanalipwa kila mwezi USD 5000 sawa na (Tshs. 11,595,000/=) na kupewa makazi, ndio maana tumeona tayari LISSU ameondoka na familia yake na wengine wanaofuata ni LAZARO NYARANDU, ZITTO KABWE, GODBLESS LEMA.

Watakaobaki nchini wametakiwa kuendelea kukijenga Chama ili watakaomaliza mafunzo wakirudi waanze mikakati ya kuivuruga Tanzania kwa kuanzisha Political Violence (Vurugu za Kisiasa) katika Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Na ndio maana hatumsikii JOHN MNYIKA, JOHN HECHE, HALIMA MDEE, ESTER BULAYA na wengine wakilalamikia kutishiwa maisha kwa kuwa wao wametakiwa kubaki nchini ili kuendelea kulinda uhai wa Chama na wataendelea kulipwa kama wenzao watakaokuwa wanaishi Ujerumani.

Watanzania tujiandae kwa jaribio la Pili maana jaribio la kwanza la kutaka kutuvuruga kwenye Uchaguzi huu wameshindwa kutokana na Umoja wetu, na sasa wanekwenda kuongeza ujuzi wa jinsi ya kutugawa ili waendeshe vurugu na kufanikiwa azma ya MABEBERU kutaka nchi isitawalike ili wao wavune mali kirahisi.

UMOJA NDIO SILAHA YETU!
watanzania hawajui vizuri watapoteza pesa zao bure wakiwahamishia huko watanzania tutawajesabu kuwa sio raia wenzetu full stop wakija tunawahesabu wakoloni tu wa kizungu hakuna atakayewasikiliza chochote watakachosema

Mfano LISU KWA SASA kapotezwa credibility yote ya kusikilizwa na watanzania wanajua beberu tu la ubelgiji hata liseme nini wanajua kibaraka tu la wazungu hata wale waliokuwa kidogo wanamuamini kidogo imani imeyeyuka watabaki tu viongozi ambao wanavizia pesa za wazungu kupitia Lisu
 
watanzania hawajui vizuri watapoteza pesa zao bure wakiwahamishia huko watanzania tutawajesabu kuwa sio raia wenzetu full stop wakija tunawahesabu wakoloni tu wa kizungu hakuna atakayewasikiliza chochote watakachosema

Mfano LISU KWA SASA kapotezwa credibility yote ya kusikilizwa na watanzania wanajua beberu tu la ubelgiji hata liseme nini wanajua kibaraka tu la wazungu hata wale waliokuwa kidogo wanamuamini kidogo imani imeyeyuka watabaki tu viongozi ambao wanavizia pesa za wazungu kupitia Lisu
Ungesema wana CCM badala ya kusema Watanzania
Swala la serikali ya Majimbo luna uzuri wake na ubaya wake
 
Mbona kwa Akina Nkurunziza hakuna majimbo na vita vya wa Hutu na wa Tutsi kila siku?

Namibia, Botswana, South Africa, Kenya etc kuna serikali za majimbo lakini hakuna shida?

Huu uzi wapelekee Darasa la saba ndio watakuelewa
Kenya shida ipo walishauana sana
 
Njoo wewa na hoja ya majimbo ya Marekani tulinganishe
Hivi nyie watu hizi propaganda za kipuuzi mnamdanganya nazo nani siku hizi?

Mbona hutolei mfano serikali za majimbo za Marekani?

Ethiopia vita zao ni za enzi, nyie endeleeni kumdanganya Awafu mpate ugali.
 
s

Sio anatapata anasema ukweli ma CHADEMA ilifika hatua wakawa wanausemi wao eti Lissu ana akili sana. Kumuelewa Lissu unatakiwa uwe na akili kubwa sana haha dah. Sasa yuko wap. Nyie mnao muelewa hya tuambieni mbona kawasaliti sasa hv kaenda kula raha tu huko nje.
Nani kasaliti,labda kawasaliti Lumumba sisi tunajua anaendeleza mapambano au mlitaka abaki mumchakaze tena na bullet's
 
s

Sio anatapata anasema ukweli ma CHADEMA ilifika hatua wakawa wanausemi wao eti Lissu ana akili sana. Kumuelewa Lissu unatakiwa uwe na akili kubwa sana haha dah. Sasa yuko wap. Nyie mnao muelewa hya tuambieni mbona kawasaliti sasa hv kaenda kula raha tu huko nje.
Kasalimisha roho yake dhidi ya wanasiasa mufilisi wa CCM. ANC south africa na frelimo mozambique viongozi wao walikimbilia Tanzania na kwingineko wasiuwawe na watawala madhalimu wa makaburu.
 
CCM mumechukua kura full stop mocking ya kazi gani, tushatulia
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Acha kuweweseka wewe dogo

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Do not be naive look at kenya, zambia,south africa etc. The challenges of trigray have not started today or Oromo have been there for years. Learn to read history.
 
Watanzania wapi wa wapi hao walimjibu Lisu kwa kura zipi? Maana hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu kawachagua CCM kwenye uchaguzi huu haramu wa kishetani
Tupo wenye akili timamu tuliomchagua magufuli, kama hamtaki, andamaneni tuone idadi yenu
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Inaonekana hujui hata ulichokiandika, au uliandikiwa ukaja kupost.
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Kwa maana iyo unamaanisha nchi zote zenye majimbo zina vita???? Kweli umenyimwa akili wewe.

Unajua nchi ngapi zina mfumo wa majimbo duniani??? He zote zina vita??? Ujerumani kuna vita??? Ubelgiji kuna vita??? Marekani kuna vita??? South Africa Je???

Hizi propaganda zenu mlifanikiwa kuwadanganya Babu zetu na wazazi wetu , kwa kizazi hiki cha teknolojia na chenye exposure mtaishia kuaibika tu!!
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Mbona Kenya, Marekani, Uingereza, S.A hata China kuna majimbo mbona hatusikii wakipigana? mpuuzi tu wewe, Congo wana mikoa kama sisi mbona wanapigana kila siku?
 
Kwa maana iyo unamaanisha nchi zote zenye majimbo zina vita???? Kweli umenyimwa akili wewe.

Unajua nchi ngapi zina mfumo wa majimbo duniani??? He zote zina vita??? Ujerumani kuna vita??? Ubelgiji kuna vita??? Marekani kuna vita??? South Africa Je???

Hizi propaganda zenu mlifanikiwa kuwadanganya Babu zetu na wazazi wetu , kwa kizazi hiki cha teknolojia na chenye exposure mtaishia kuaibika tu!!
Congo wana mikoa, Somalia wana mikoa na kila siku wanapigana.
 
Mwaka gani Kenya waliuana kama Burundi?
Watu wa darasa la saba wanaamini dunia nzima kuna vita isipokua Tz
Hivi hujui hata Rais Uhuru na makamu wake Ruto walishitakiwa ICC? Sababu yake unaijua? Au unaihusudu Kenya bila kujua historia yake!
 
Back
Top Bottom