Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

Mbona kwa Akina Nkurunziza hakuna majimbo na vita vya wa Hutu na wa Tutsi kila siku?

Namibia, Botswana, South Africa, Kenya etc kuna serikali za majimbo lakini hakuna shida?

Huu uzi wapelekee Darasa la saba ndio watakuelewa

Mkuu Simba zee 33
Tafadhali fafanua kidogo kuhusu majimbo ya Namibia, Botswana na South Africa. Muundo wake ukoje, majimbo haya Yana majeshi yake kama Tigray ya Ethiopia?
 
Mkuu Simba zee 33
Tafadhali fafanua kidogo kuhusu majimbo ya Namibia, Botswana na South Africa. Muundo wake ukoje, majimbo haya Yana majeshi yake kama Tigray ya Ethiopia?
No hakuna jeshi ila kuna majeshi madogo kama mgambo au jeshi la maliasili
Kila jimbo linakua na Gavana wake ambaye amechaguliwa na wananchi wa eneo husika
Serikali za majimbo zinashabihiana kama ilivyo serikali ya Zanzibar yenye bunge (baraza la wawakilishi) baraza la mawaziri n.,k
Kuna faida na hasara Zake
Mfano Sisi watu wa kusini ( Lindi na Mtwara) pamoja na kua tunachangia kiasi kikubwa cha mapato ya nchi kutokana na gesi. Korosho. Ufuts n, k
Lakini Ndio sehemu pekee ambayo tunapewa pesa kidogo kutoka serikali kuu
Kusini mpaka Leo watoto wanasoma chini ya miti hakuna Barbara wala vituo vya afya
Kule kaskazini wenzetu kila baada ya hatua 20 sekondari na vyuo pamoja na vituo vya afya.. Lami mpaka mlangoni kijijini na mijini
Kama tungekua na serikali ya Majimbo Chato wasingepata uwanja wa ndege wenye hadhi ya kimataifa
Katika serikali kuu Rais wa federation.. hawezi kua Dikteta Heshima mtindo mmoja
 
Mbona kwa Akina Nkurunziza hakuna majimbo na vita vya wa Hutu na wa Tutsi kila siku?

Namibia, Botswana, South Africa, Kenya etc kuna serikali za majimbo lakini hakuna shida?

Huu uzi wapelekee Darasa la saba ndio watakuelewa
👍👍
 
Provinces of Burundi
  • Bubanza.
  • Bujumbura Mairie.
  • Bujumbura Rural.
  • Bururi.
  • Cankuzo.
  • Cibitoke.
  • Gitega.
  • Karuzi.
===========.====
Burundi majimbo yapo lkn chanzo cha migogoro yao hakihusiani na majimbo isipokuwa ukabila (hakuna jimbo lililosimama kupigana na jimbo lingine ila mtu kupigana na mtu mwingine).
Mkuu, kuna tofauti kati ya Provinces (mikoa) na States (majimbo). Burundi haina majimbo.
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya Taifa Addis Ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la Tigray. Jimbo lina Rais lina Bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratisha Taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Umetoa mfano mmoja lakini mfano mwingine mkubwa zaidi ni USSR ya Michael Gorbachev ilivyosambaratishwa na umajimbo mwisho wa siku mzee Gorbachev akabaki hana nchi ya kutawala maana hata Russia lilikuwa jimbo linalotawaliwa na Boriss Yeltsin na yeye akabaki na jimbo lake kama nchi
 
Hivi nyie watu hizi propaganda za kipuuzi mnamdanganya nazo nani siku hizi?

Mbona hutolei mfano serikali za majimbo za Marekani?

Ethiopia vita zao ni za enzi, nyie endeleeni kumdanganya Awafu mpate ugali.
Nifah asante Kwa jibu zuri. Hawasemi Canada, actually majimbo ni more inclusive kuliko mikoa ambaoo Moshi ni wachaga, kagera ni wahaya etc.
 
Do not be naive look at kenya, zambia,south africa etc. The challenges of trigray have not started today or Oromo have been there for years. Learn to read history.
KENYA have fouught too between KIKUYU and LUO recently.Kenya is not a good example.South Africa too
 
Nifah asante Kwa jibu zuri. Hawasemi Canada, actually majimbo ni more inclusive kuliko mikoa ambaoo Moshi ni wachaga, kagera ni wahaya etc.
canada kuna ukabila based na origin zao pia sema majimbo yako zaidi kimgawanyo wa lugha kuna majimbo waongea kiingereza na kifaransa

ubelgiji pia majimbo yako kikabila kutegemea lugha zinazoongelewa majimbo husika

UIngereza kuna migawanyo ya kikabila na kidini catholics na protestants etc
 
Hatimaye Sera za CHADEMA zilifeli asante Mungu hapa tungekuwa tunajiandaa kuwa Nchi ya Vipande Vipande !
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya Taifa Addis Ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la Tigray. Jimbo lina Rais lina Bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratisha Taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Mbona hutolei mfano wa majimbo ya USA
 
CHato wasingepata uwanja wa ndege wenye hadhi ya kimataifa
Katika serikali kuu Rais wa federation.. hawezi kua Dikteta Heshima mtindo mmoja
Chato uko GEITA.mkoa wa GEITA NDIO UNAONGOZA kwa kuingiza mabilioni ya hela za kigeni za mauzo ya dhahabu tanzania mapato ambayo yanapita pesa zenu zote za korosho na gesi yenu ya mtwara ambayo hadi sasa soko lake wala halijashika kasi na kupita pesa zote za watalii wapanda mlima kilimanjaro
 
Mtwara, majuzi ulitaarifiwa kwamba kuna kundi la kiharifu limevamia, limepora, na kuua askari - Mtwara ni Jimbo lililotengenezwa na Lissu?
 
Chato uko GEITA.mkoa wa GEITA NDIO UNAONGOZA kwa kuingiza mabilioni ya hela za kigeni za mauzo ya dhahabu tanzania mapato ambayo yanapita pesa zenu zote za korosho na gesi yenu ya mtwara ambayo hadi sasa soko lake wala halijashika kasi na kupita pesa zote za watalii wapanda mlima kilimanjaro
Ni kweli na BIteko amewasaidia RWANDA kuongeza mauzo ya dhahabu japo hawana migodi ya dhahabu
 
Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya Taifa Addis Ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la Tigray. Jimbo lina Rais lina Bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.

Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.

Umajimbo ni rahisi kusambaratisha Taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Ngoja nikwambie kitu Tz suala la "umajimbo" lipo kitambo tu, ni mara ngapi magufuli amesema hawezi kupeleka maendeleo majimbo yalikuwa yameshkiliwa na upinzani?
 
No hakuna jeshi ila kuna majeshi madogo kama mgambo au jeshi la maliasili
Kila jimbo linakua na Gavana wake ambaye amechaguliwa na wananchi wa eneo husika
Serikali za majimbo zinashabihiana kama ilivyo serikali ya Zanzibar yenye bunge (baraza la wawakilishi) baraza la mawaziri n.,k
Kuna faida na hasara Zake
Mfano Sisi watu wa kusini ( Lindi na Mtwara) pamoja na kua tunachangia kiasi kikubwa cha mapato ya nchi kutokana na gesi. Korosho. Ufuts n, k
Lakini Ndio sehemu pekee ambayo tunapewa pesa kidogo kutoka serikali kuu
Kusini mpaka Leo watoto wanasoma chini ya miti hakuna Barbara wala vituo vya afya
Kule kaskazini wenzetu kila baada ya hatua 20 sekondari na vyuo pamoja na vituo vya afya.. Lami mpaka mlangoni kijijini na mijini
Kama tungekua na serikali ya Majimbo Chato wasingepata uwanja wa ndege wenye hadhi ya kimataifa
Katika serikali kuu Rais wa federation.. hawezi kua Dikteta Heshima mtindo mmoja

Nimeona Hoja yako mkuu. Shukrani
 
Back
Top Bottom