Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna dhambi ipi kutolea mfano Ethiopia?Hivi nyie watu hizi propaganda za kipuuzi mnamdanganya nazo nani siku hizi?
Mbona hutolei mfano serikali za majimbo za Marekani?
Ethiopia vita zao ni za enzi, nyie endeleeni kumdanganya Awafu mpate ugali.
kilichosababisha kuundwa majimbio nchi hizo unakijua?Mbona kwa Akina Nkurunziza hakuna majimbo na vita vya wa hutu na wa tutsi kila siku?
Namibia. Botswana. South Africa. Kenya etc kuna serikali za majimbo lakini hakuna shida?
Huu uzi wapelekee Darasa la saba Ndio watakuelewa
Ethiopia haijawahi kutawaliwa hauoni kama Ethiopia ni taifa kongwe kuliko USA?Marekani ilipata uhuru mwaka 1776.
Wewe ulipata uhuru mwaka gani?
Marekani ina rais.sasa wa 45 wew una rais.wangapi tangu upate uhuru?
Hakili za waafrika bado zina zina usokwe ndani yake.
Ndiomaana unaona mtu akipata wazifa fulani anaona wale wachini yake ote wajinga na kawana hakili kama yeye.
Sasa subili mtu wa aina hiyo akabidhiwe jimbo hususani la kama kilimanjaro halafu uone kitakachotokea.
WEWE USIANGALIE NCHI HIZO KUBWA ZIMEFANYA NINI.SOMA KWA MAKINI MFUMO WA MAJIMBO ILIVYO HALA LUDISHA AKILI ZAKO KWA WATANZANIA UONE WANAZO AKILI ZA KUIONGOZA?
KISHA FUATILIA NCHI ZA AFRIKA ZENYE MALIGAFI MUHIMU HASA ZINAZOTAKIWA DUNIANI UONE KAMA ZINAAMANI.
Aliyekuambia majimbo yote marekani yamefanikiwa nani kuna majimbo maskini watu hawawezi hata kupanga chumba japo wana kazi.Angalia Hawa walala kwenye magari pamoja na kazi walizonazoKwa sisi wenye akili huwa tunatizama USA na kwengineko wenye serikali za majimbo kujua wamepataje mafanikio. Wewe mtumwa enedelea kutizama Ethiopia moja
Dogo, unajua mtwara imeishatekwa na magaidi ya ISS mpaka tunavyoongea,Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Marekani kwenyewe ukitaka kuhamia jimbo kwanza tizama hapa kuna majimbo yana hali mbaya mno.Kabla kujua waenda wapi tizama hapa kwanzaSerikali ya majimbo, haiwezi kuwa salama Kwa nchi za huku Africa hata siku moja!!!
Watu wenyewe ni kina Lisu wapenda madaraka, kuna mtu atajikuta akijitwisha Uraisi wa Jimbo Fulani na kutaka liwe na mamlaka kamili
Maridhiano ya nini?Mbona mnaomba maridhio
Na atutaki maridhio na sodoma
Ingekuwa Poa Ungetoa Maelezo ya Kutosha Kuhusu Hicho unachoeleza Achana na Propaganda Hizo Kuna Nchi Zina Migogoro yao Tangu enzi na Ina sababu zake na Wala sivyo hivyo mnavyoaminishwa au Kuona.Naamini Kila Kitu Kina Prons na Cons zakeHebu tuwekeee Ukiitoa Hiyo sababu bubu ya Kutoka Nhi ya Ethipia.Dadavua Vizuri Faida Ya Kuwa na Majimbo na Hasara Zake na Pia Faida na Hasara kwa Kubaki Hivivi.na Mifano ya Nchi Mbalimbali zilizo feli kwenye Hilo la Majimbo na Sababu za Kufeli.Hebua Tuanzie Hapo,Natamani sana Kuelewa Hapo Maana Kuna Vitu mimi naamini vinawezekana ila Kwa Roho mbaya za mwanadamu na Siasa zetu hizi inaonekana kama haviwezekanii vile.AhsanteKwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Kwa akili zako za kitumwa, unaonaje Slavery ikarudi Tanzania? maana nikiwatizama watanzania naona bado hatuwezi kujitawalaMarekani ilipata uhuru mwaka 1776.
Wewe ulipata uhuru mwaka gani?
Marekani ina rais.sasa wa 45 wew una rais.wangapi tangu upate uhuru?
Hakili za waafrika bado zina zina usokwe ndani yake.
Ndiomaana unaona mtu akipata wazifa fulani anaona wale wachini yake ote wajinga na kawana hakili kama yeye.
Sasa subili mtu wa aina hiyo akabidhiwe jimbo hususani la kama kilimanjaro halafu uone kitakachotokea.
WEWE USIANGALIE NCHI HIZO KUBWA ZIMEFANYA NINI.SOMA KWA MAKINI MFUMO WA MAJIMBO ILIVYO HALA LUDISHA AKILI ZAKO KWA WATANZANIA UONE WANAZO AKILI ZA KUIONGOZA?
KISHA FUATILIA NCHI ZA AFRIKA ZENYE MALIGAFI MUHIMU HASA ZINAZOTAKIWA DUNIANI UONE KAMA ZINAAMANI.
Aliyekuambia majimbo yote marekani yamefanikiwa nani kuna majimbo maskini watu hawawezi hata kupanga chumba japo wana kazi.Angalia Hawa walala kwenye magari pamoja na kazi walizonazo
Lissu anasingizia kuibiwa kura but hajaangalia mkataba wao fake waliotaka kuingia na wananchi (ilani ya chadema) wananchi walipodokezewa madhara yake walipiga U-TURN ya kufa mtu hadi chadema wakachangayikiwa na kuanza kunena kwa lugha ya kishetani ya kuingiza watu barabarani.Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Mfumo wetu mzuri huwezi kukuta maskini asiye na nyumba ya kulala USA wako kibao pia kwetu ukiona mtu hana pa kulala ni kichaa.Lakini NENDA KENYA tu hapo mtu unakuta anaishi nyumba ya ma box au ma nailoni na ana digriiiKwa hio mfumo uliopo sasa unasema kuwa haufai? Maana Tanzania ina watu maskini wengi!
Nikweli hujakosea.Kwa uandishi huo kama umesogea sana ni form 4!
Rwanda hkn kitu pale zile majimbo hawana. Saut zid ya kagameMataifa yote yanayoendesha serikali zao kwa mfumo was majimbo ndiyo yanaongoza kwa maendekeo. Kanusha nikupe facts!