Tunapozungumzia ukongwe wa kiutawara tunaangalia na ukongwe wa kisiasa pia.Ethiopia haijawahi kutawaliwa hauoni kama Ethiopia ni taifa kongwe kuliko USA?
Unaposema hawana pa kulala una maanisha nyumba au unamaanisha nini? pale jangwani unaita ni sehemu ya kulala?Mfumo wetu mzuri huwezi kukuta maskini asiye na nyumba ya kulala USA wako kibao pia kwetu ukiona mtu hana pa kulala ni kichaa.Lakini NENDA KENYA tu hapo mtu unakuta anaishi nyumba ya ma box au ma nailoni na ana digriii
Hayo majaribio yalishafanyika mengi sana katika nchi hii kabla hujazaliwa.Dogo, unajua mtwara imeishatekwa na magaidi ya ISS mpaka tunavyoongea,
we kalisha miatako yako lumbumba unajichekesha ili polepole akulipe buku 7
Unajua tumeishapoteza wapiganaji na Rai wangapi?
Unajua tumeishapoteza raslimimali, vifaa vya kijeshi vingapi?
Au Mtwara Ni Jimbo la lissu?
Wako watanzania wapi unawasemea? Watanzania wa wapi wameikataa CHADEMA? au watanzania unaovuta nao Bangi hapo gheto kwa Cyprian Musiba? Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu kaichagua CCM bali NEC, Tume, Wakurugenzi na Polisi wameubaka kuulawiti kuunajisi Uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani tupu, mifano yako ya kibwege kishamba haina uhusiano na wizi wa kura uliofanywa na CCM, acha kusaka uteuzi kwa njia hii ya kishamba na kishetani utakosa kila kitu kwani mungu hapendi upumbavu wakoKwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Wenye akili nzuri sana wanatizama na ku-assess ukubwa wa nchi kijiografia na kiuchumi kalba ya kuigawa nchi ki-majimbo..!!Kwa sisi wenye akili huwa tunatizama USA na kwengineko wenye serikali za majimbo kujua wamepataje mafanikio. Wewe mtumwa enedelea kutizama Ethiopia moja
Ubora wa mifumo kwa majaribio ya kutengeneza kizushi kwa propaganda za kishamba shamba tu? CCM acheni ujinga mmeiba kura na bado mnaunda maneno ya kishetani ili mpate kisingizio cha kuwabambikia kesi wapinzani?Hayo majalibio yalishafanyika mengi sana katika nchi hii kabla hujazaliwa.
Lakini yalidhibitiwa kwasababu ya ubora wa mifumo yetu ya sasa.
👍👍Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya taifa addis ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la tigray. Jimbo lina rais lina bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Rwanda hawana utawala wa majimbo.Rwanda hkn kitu pale zile majimbo hawana. Saut zid ya kagame
Utawala wa majimbo ni mzuri kwani pesa inayokusanywa sehemu husika huendeleza sehemu husika hata china America India Canada German UK South Africa wanatumia mfumo wa majimbo siyo wakuu wa mikoa RC mfumo uliopitwa na wakati na wa kishamba sana kwani pesa inaweza kukusanywa mtwara ikaenda kutumika chato, kodi za wananchi haziendelezi maeneo yao husika, utawala wa majimbo ndiyo utawala bora zaidi ya huu wa mikoaEthiopia wana matatizo toka kitambo sababu za koo zao siyo majimbo - kama majimbo yangekuwa tatizo basi nchi ya Kenya, Rwanda, South Africa, Mazambique, Lesotho, na Angola kungekuwa na vita
Shida yako ni uelewa
Hahahahahahajahahaha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Ubora wa mifumo kwa majaribio ya kutengeneza kizushi kwa propaganda za kishamba shamba tu? CCM acheni ujinga mmeiba kura na bado mnaunda maneno ya kishetani ili mpate kisingizio cha kuwabambikia kesi wapinzani?
Tuendelee kuukataa ushetani wa CCM mpaka ifike mahala CCM izindukeHahahahahahajahahaha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahahahahahahahahahahaha........
Hahahahahahahahahahahahaa.......
Haaahaaahahhahahahaha.......
Aiseeh!!
Yaan ,umenifanya nacheka pekeanga kwa sauti.
Mtata sana we jamaa.
Kama jina lao lilivyo.
Duh!
Hicho ndio.nakichukia mimi!!Utawala wa majimbo ni mzuri kwani pesa inayokusanywa sehemu husika huendeleza sehemu husika hata china America India Canada German UK South Africa wanatumia mfumo wa majimbo siyo wakuu wa mikoa RC mfumo uliopitwa na wakati na wa kishamba sana kwani pesa inaweza kukusanywa mtwara ikaenda kutumika chato, kodi za wananchi haziendelezi maeneo yao husika, utawala wa majimbo ndiyo utawala bora zaidi ya huu wa mikoa
Hii mifano yako haina mashiko kwani hakuna kitu kisicho na mapungufu yake kila mfumo una mapungufu yake, lakini mfumo wa Wakuu wa mikoa wilaya ni mfumo wenye mapungufu mengi zaidi ya mfumo wa majimbo, ni vigumu Nchi kuwa tajiri katika mfumo huu wa Tanzania kwani pesa za walipa kodi hazina uhuru wa kuendeleza eneo husika, mda wote zinaweza kwenda popote pindi wenye mamlaka wakijisikia kufanya hivyokilichosababisha kuundwa majimbio nchi hizo unakijua?
Tuanzie kenya tu hapo walitwangana kwa ukabila wakauana kama kuku hadi Kikwete ndie akaenda kuwasuluhisha ndio wakaja na sera ya majimbo kila jogoo la kikabila liwike kwake
Afrika Kusini ndio usiseme wazungu na waafrika walitwangana ndani barabara haikuishia hapo makabila yakaanza kutwangana wao kwa wao ndio wakaunda serikali ya majimbo kila mtu awike kwake,BOTSWANA,NAMIBIA SAME KESI
Msumbiji hapo tatizo hilo hilo ukuienda Nigeria same case ,ukiernda Ghana same case
Marekani pia waligawana majimbo baada ya kutwangana hasa .Hata UBelgiji walipigana wenyewe kwa wenyewe kikabila wakaamua waunde majimbo kila jogoo awike kwake!!! Uingereza pia
Uzalendo siyo waziri kiongozi kupendelea Eneo alikozaliwa hata kama halizalishi kodi ya kutosha, Uzalendo wa Tanzania ni Uzalendo wa hovyo mno, hata kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji kwa wapinzani inaonekana wewe ni mzalendo, CCM wana matumizi mabaya ya neno UzalendoHicho ndio.nakichukia mimi!!
Huu ni ubinafsi.
Huyu anaeishi sehem isiokua na maligafi ataishije?
Halafu mtu wa ainayako utajiita MZALENDO?
We leo umenichekesha sana.Uzalendo siyo waziri kiongozi kupendelea Eneo alikozaliwa hata kama halizalishi kodi ya kutosha, Uzalendo wa Tanzania ni Uzalendo wa hovyo mno, hata kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji kwa wapinzani inaonekana wewe ni mzalendo, CCM wana matumizi mabaya ya neno Uzalendo
Maandamano yalikuwa tarehe 2 nyinyi ndiyo mlichanganyikiwa tarehe 1 mkaenda kuwakamata viongozi wa chadema na kutembeza vitisho, CCM ndiyo waoga mnatumia Polisiccm kuminya demokrasia ya kuandamana , kuibiwa kura zimeibiwa kweli nyinyi ndiyo mnasingizia kuwa mmepata kura wakati NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm wameulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani tupu, hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipa kura yake CCM.Lissu anasingizia kuibiwa kura but hajaangalia mkataba wao fake waliotaka kuingia na wananchi (ilani ya chadema) wananchi walipodokezewa madhara yake walipiga U-TURN ya kufa mtu hadi chadema wakachangayikiwa na kuanza kunena kwa lugha ya kishetani ya kuingiza watu barabarani.
CCM ndiyo Sumu ya maendeleo Tanzania, Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi uonevu unyanyasaji kwa wapinzani badala ya maendeleo, pesa nyingi inapotelea kwa mambo ya hovyo hovyo yasiyo na tija kwa Taifa, huto tumaendeleo kiduchu twa SGR flyover bwawa la umeme kuna ufisadi mkubwa mno, kungekuwa na CAG aliye huru kama profesa Asad hakika mda huu wengi wangekuwa segerea na keko.We leo umenichekesha sana.
Mm sina chama mkuu na sigemeagi upande mmoja.
Penye shida naongea kutokana na uwelewa wangu kama.wewe mkuu MINYOO unavyoongea.
Hahahajahahahahahahahahahaha....
Duh!!