Kama hujajiandaa kuingia kwenye ndoa usiingiee kabisa

Kama hujajiandaa kuingia kwenye ndoa usiingiee kabisa

Mkuu uamuzi kuhusu ndoa ni mkataba wa ubia kati ya mwanaume na mwanamke kwa wakati na mazingira sahihi. Kila upande huwa na historia ya maisha binafsi kabla ya kuingia katika mkataba wa maisha ya pamoja.

Kuna "strengths & weaknesses" kwa kila upande, na pia zipo "opportunities & threats" katika kuendesha ubia huo. Ili ubia uwe na ustawi ni lazima wanandoa wawe na mtazamo chanya wa kukubali kubeba na kuachia mapungufu ya mwenzi wake.

Aidha ni lazima wadhibiti tishio la mahusiano yao kutoka katika mashinikizo ya nje. Haya hujumuisha ndugu, jamaa, na marafiki wa karibu. Yote ya yote ni kujenga tabia ya uaminifu kwa mwenzako na kuendesha mambo ya faragha ya ubia wenu kwa usiri mkubwa.
 
Kwa uzoefu wangu wa ndoa miaka 15 sasa ,sishauri kijana kuoa nikutafutiana magojwa bure,ndio maana wanaume wanakufa mapema kabla ya wanawake kwenye ndoa..Tazama wajane jinsi walivyowengi.
Njia sahii ni kuwa mpenzi wake mwanche aishi kivyake na na wewe kivyake na kila mtu ampe mwenzake uhuru wake..kama imekupendeza zaa naye watoto wasiozidi 3.mkitofautiana kila mtu aendelee na maisha yake.
 
Ndugu zangu za ASBH, najua wiki imeanza na kuna watu Ijumaa na Jumamosi wanatarajia kuoa. Vyema, nkasema niwashauri bado wana nafasi ya maamuzi hizi siku 4-5 zilizobaki.

Kama unahisi hauko tayari kuingia kwenye ndoa, usiingie. Huu ni ushauri wa bure... kwenye ndoa hakuna red carpet tu, kuna na mchanga na mavumbi.

Ukifanya maamuzi ya ndoa, jua umefanya uamuzi wa kupambana na Shetani. Ujiandae kweli kupambana na Shetani. Shetani kazi yake ni kuua na kuharibu, kwa hiyo kama ujajiandaa kupambana naye, usiingie kwenye ndoa.

Ndoa nyingi zimevunjika ama ziko kwa ICU siyo mapenzi ya wanandoa. Kuna Shetani ameingia ndani ya wanandoa anataka wasambaratike.

Kama ujawaza kujiandaa na machungu ya ndoa, basi hata usiwe na hisia za ndoa kabisa. Utakufa. Ndoa ni mapenzi ya Mungu, ndani ya hayo mapenzi Shetani huzunika sana. Ujue kuna wengi walikuwa malaya baada ya ndoa wakabadilika, Shetani anaumia sana.

Ndugu, bado una muda wa maamuzi, usikimbilie ndoa ukafurahisha watu, utalia.

Jitatu njema.
Ayah ndani ya kitabu kitakatifu imeandikwa.. Shetani ni adui na mumfanye kuwa adui yenu...
Tusipo waoa ina maana tutazini nao. Tukizini shetani ufurahi..
Sasa kupambana na adui usie muona na hata unaemuona rudi kwa Mola wako upaye usaidizi wa kweli..
 
Ndugu zangu za ASBH, najua wiki imeanza na kuna watu Ijumaa na Jumamosi wanatarajia kuoa. Vyema, nkasema niwashauri bado wana nafasi ya maamuzi hizi siku 4-5 zilizobaki.

Kama unahisi hauko tayari kuingia kwenye ndoa, usiingie. Huu ni ushauri wa bure... kwenye ndoa hakuna red carpet tu, kuna na mchanga na mavumbi.

Ukifanya maamuzi ya ndoa, jua umefanya uamuzi wa kupambana na Shetani. Ujiandae kweli kupambana na Shetani. Shetani kazi yake ni kuua na kuharibu, kwa hiyo kama ujajiandaa kupambana naye, usiingie kwenye ndoa.

Ndoa nyingi zimevunjika ama ziko kwa ICU siyo mapenzi ya wanandoa. Kuna Shetani ameingia ndani ya wanandoa anataka wasambaratike.

Kama ujawaza kujiandaa na machungu ya ndoa, basi hata usiwe na hisia za ndoa kabisa. Utakufa. Ndoa ni mapenzi ya Mungu, ndani ya hayo mapenzi Shetani huzunika sana. Ujue kuna wengi walikuwa malaya baada ya ndoa wakabadilika, Shetani anaumia sana.

Ndugu, bado una muda wa maamuzi, usikimbilie ndoa ukafurahisha watu, utalia.

Jitatu njema.
Ndio somo lako ni zuri hila ninachotaka kusema Ndoa inatoka kwa Mungu Na ndoa inaanzia Rohoni, Na vijana walio wengi hawataki kumtanguliza Mungu katika kuoa au kuolewa inatakiwa kumuomba Mungu akupe mume/mke mwema kutoka kwake ukitapa mume/mke kutoka kwa Mungu hutokaa hujute na ndoa yenu itakuwa na furaha amani upendo mpaka kifo kiwatenganishe. na shetani hawezi kuikaribia hiyo ndoa maana mke kapewa majukumu ya kumuombea mume maana imeandikwa

Yeremia 31:22 SRUV​

Utatangatanga hadi lini, Ee binti mwenye kuasi? Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume.

Isa 62:6-12 SUV​

Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu; hawatanyamaza mchana wala usiku; ninyi wenye kumkumbusha BWANA, msiwe na kimya; wala msimwache akae kimya, mpaka atakapoufanya imara Yerusalemu, na kuufanya kuwa sifa duniani.
Mimi tumtafute Bwana kwa maana anapatika mwite kwa maana yu karibu
 
Pole Sana Pafu dady kwa yaliyokukuta..

Naimani hujaandika bure , yamekutokea.

Ila serious ndoa zinavunjika sana now, jumamosi iliyopita mwanandoa mtarajiwa kapigwa na bwana wake kwa kumfuma anachati na Xwake..

Ndoa ikahahirishwa hapo hapo..

Familia ya mwanamke inalia tu..
Hii Kawaida Sana, % kubwa ya Wanawake walio katika ndoa bado Wana mawasiliano na X wao, au ndugu wa X wake. Hili Jambo nimelisikia Mara Nyingi kwa Watu.
Mpaka Hapa Ofisini kwangu, kijana wangu mmoja aliwaikusema. Pia mi Hilo Jambo limenikuta Mwaka Jana.
 
Ndugu zangu za ASBH, najua wiki imeanza na kuna watu Ijumaa na Jumamosi wanatarajia kuoa. Vyema, nkasema niwashauri bado wana nafasi ya maamuzi hizi siku 4-5 zilizobaki.

Kama unahisi hauko tayari kuingia kwenye ndoa, usiingie. Huu ni ushauri wa bure... kwenye ndoa hakuna red carpet tu, kuna na mchanga na mavumbi.

Ukifanya maamuzi ya ndoa, jua umefanya uamuzi wa kupambana na Shetani. Ujiandae kweli kupambana na Shetani. Shetani kazi yake ni kuua na kuharibu, kwa hiyo kama ujajiandaa kupambana naye, usiingie kwenye ndoa.

Ndoa nyingi zimevunjika ama ziko kwa ICU siyo mapenzi ya wanandoa. Kuna Shetani ameingia ndani ya wanandoa anataka wasambaratike.

Kama ujawaza kujiandaa na machungu ya ndoa, basi hata usiwe na hisia za ndoa kabisa. Utakufa. Ndoa ni mapenzi ya Mungu, ndani ya hayo mapenzi Shetani huzunika sana. Ujue kuna wengi walikuwa malaya baada ya ndoa wakabadilika, Shetani anaumia sana.

Ndugu, bado una muda wa maamuzi, usikimbilie ndoa ukafurahisha watu, utalia.

Jitatu njema.
Maandalizi yapi mkuu
acha kutisha watu. kuishi kwenye ndoa ni kila mtu afwate wajibu wake, basi. kila mtu aoe wa kwao. kwa maana tuna tamaduni nyingi zinakinzana. uspuuzie hii kitu. sisi ukuryani wanawake hawapigi magoti, sasa mkurya akiolewa usukumani au ujitani kwenye kupiga magoti, mwanzoni ata fake baadae attacha, na ndoa inaharibiwa na vitu vidogovidogo sana
oa mtu ambaye hali zenu zinafanana
 
Ndugu zangu za ASBH, najua wiki imeanza na kuna watu Ijumaa na Jumamosi wanatarajia kuoa. Vyema, nkasema niwashauri bado wana nafasi ya maamuzi hizi siku 4-5 zilizobaki.

Kama unahisi hauko tayari kuingia kwenye ndoa, usiingie. Huu ni ushauri wa bure... kwenye ndoa hakuna red carpet tu, kuna na mchanga na mavumbi.

Ukifanya maamuzi ya ndoa, jua umefanya uamuzi wa kupambana na Shetani. Ujiandae kweli kupambana na Shetani. Shetani kazi yake ni kuua na kuharibu, kwa hiyo kama ujajiandaa kupambana naye, usiingie kwenye ndoa.

Ndoa nyingi zimevunjika ama ziko kwa ICU siyo mapenzi ya wanandoa. Kuna Shetani ameingia ndani ya wanandoa anataka wasambaratike.

Kama ujawaza kujiandaa na machungu ya ndoa, basi hata usiwe na hisia za ndoa kabisa. Utakufa. Ndoa ni mapenzi ya Mungu, ndani ya hayo mapenzi Shetani huzunika sana. Ujue kuna wengi walikuwa malaya baada ya ndoa wakabadilika, Shetani anaumia sana.

Ndugu, bado una muda wa maamuzi, usikimbilie ndoa ukafurahisha watu, utalia.

Jitatu njema.
Ushauri mzuri sana...
 
Ndugu zangu za ASBH, najua wiki imeanza na kuna watu Ijumaa na Jumamosi wanatarajia kuoa. Vyema, nkasema niwashauri bado wana nafasi ya maamuzi hizi siku 4-5 zilizobaki.

Kama unahisi hauko tayari kuingia kwenye ndoa, usiingie. Huu ni ushauri wa bure... kwenye ndoa hakuna red carpet tu, kuna na mchanga na mavumbi.

Ukifanya maamuzi ya ndoa, jua umefanya uamuzi wa kupambana na Shetani. Ujiandae kweli kupambana na Shetani. Shetani kazi yake ni kuua na kuharibu, kwa hiyo kama ujajiandaa kupambana naye, usiingie kwenye ndoa.

Ndoa nyingi zimevunjika ama ziko kwa ICU siyo mapenzi ya wanandoa. Kuna Shetani ameingia ndani ya wanandoa anataka wasambaratike.

Kama ujawaza kujiandaa na machungu ya ndoa, basi hata usiwe na hisia za ndoa kabisa. Utakufa. Ndoa ni mapenzi ya Mungu, ndani ya hayo mapenzi Shetani huzunika sana. Ujue kuna wengi walikuwa malaya baada ya ndoa wakabadilika, Shetani anaumia sana.

Ndugu, bado una muda wa maamuzi, usikimbilie ndoa ukafurahisha watu, utalia.

Jitatu njema.
life realities na age forces ikikufika upende usipende utaoa tu. Hakuna maisha mengine, maisha ndio haya haya tu, wasichana na wavulana ni wale wale, changamoto ni zile zile muhimu ni namna tu ya kuzihandle na kuziendea na kuszisolve.....

By the way kuoa leo au kesho changamoto za ndoa, shida na raha are the same, unless tofauti tu, ni kuchelewa kuoa na kuziface ama kuwahi kuoa na kuziface, but haziepukiki kwa kuoa leo au mwaka ujao 🐒
 
Mpwaaa watu wanakulaaa vitasaaa kwenyee ndoaa wacha tushauri wanaowaza kuingia wajiandaae ....
Kwa ninayoyaona hapa mtaani kwetu, hakuna ndoa ipo salama. Mara mwingine mwanamke kaenda kupanga kaacha mume na watoto, mwingine mume kaondoka ,yeye kaambiwa acahague moja ama yeye abaki au mke aondoke, yeye kaamua kuodoka. Mwingine mke kafumzaniwa na waletengana, mwingine mume kakimbia kaacha mke na watoto, mwingine mke kakimbia nyumba. Huo ni mtaa mmoja loh. Hizi ndoa ni majanga siku hizi.
 
Kwa Mtazamo wangu, Tafuta mtu wa kufanya nae mapenzi Ila sio mtu wa kuoa/Kuolewa au kuwekeza Hisia zako kwa kiwango kikubwa.
Binadamu Ni kiumbe hatari Sana, pia tuondoe matarajio yaloliopitiriza, Kama unaitaji Mtoto Ni Bora kue tu mkataba wa kuzaa kila mtu ashike 50 Zake, Hika Swala la ndoa, kwa miaka hii ya Sasa hivi, Ndoa au Uhusiano wa mapenzi umejaa unafiki tu.
Watu watafuta kukidhi haja za mwili tu (Ngono)
 
Kwa Mtazamo wangu, Tafuta mtu wa kufanya nae mapenzi Ila sio mtu wa kuoa/Kuolewa au kuwekeza Hisia zako kwa kiwango kikubwa.
Binadamu Ni kiumbe hatari Sana, pia tuondoe matarajio yaloliopitiriza, Kama unaitaji Mtoto Ni Bora kue tu mkataba wa kuzaa kila mtu ashike 50 Zake, Hika Swala la ndoa, kwa miaka hii ya Sasa hivi, Ndoa au Uhusiano wa mapenzi umejaa unafiki tu.
Watu watafuta kukidhi haja za mwili tu (Ngono)
NAKAZIA
 
Back
Top Bottom