Kama hujajipanga vizuri usichokoze ujenzi

How much are u paid monthly ?
 
HII POINT KUBWA SANA, KAMA HUNA FAMILIA JENGA HATA CHUMBA KIMOJA, YANI JENGA KUTOKANA NA FAMILIA YAKO USIJENGE KAMA FASHION, HIYO PESA NYINGNE UNAWEKEZA SEHEMU ITAKAYOINGIZA PESA.
Yes correct jenga nyumba ya kawaida. Hela Inayobakia nunua hata Maeneo/viwanja uyatunze.baada ya.miaka.10 au.15 unauza unatapa.mkwaja.mzuri sana.
 
Hii mbinu sasa hivi mimi najenga nyumba ya pili ndani ya fensi yangu na hata sina presha maana nyumba ya kwanza ndimo ninamoishi na familia yangu,yaani nataka nije nijikite namiliki Apartments kiana iwapo MUNGU atanifadhili
 
Nakucheki aisee
 
Wazee hebu nipeni ushauri
Nipo nataka kupunguza gharama kwenye kupaua

Nataka kutumia mirunda badala ya kutumia mbao 2*4 wanasema nayo inaubora mzuri tu.

Nipeni mawazo yenu.
 
Wazee hebu nipeni ushauri
Nipo nataka kupunguza gharama kwenye kupaua

Nataka kutumia mirunda badala ya kutumia mbao 2*4 wanasema nayo inaubora mzuri tu.

Nipeni mawazo yenu.
1. Kama unatumia msouth tumia mabati meupe
kuokoa gharama.
2. Kama unatumia mabati.meupe tafuta hela ununue mbao
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimeshtuka kuona huu uzi, hapa nna ujenzi nimeuanza km unanisema mimi 😹😹

Nasubiri nipaue niwafate Nmb wanipe pesa za kumalizia..!!
 
Mi sina stress coz sijachoka kupanga halafu sina familia yaani msela tupu ningeanza hata mwaka huu sema nabagua viwanja nataka cha kigamboni karibu na niwe na access ya kufika post mpaka kariakoo ... Vya mbali sana sitaki
Hakuna kwako mbali mkuu!
 
Yaani kuset msingi fundi anahitaji mbao za 2x2 pieces kadhaa. Wakati fundi mwingine mzoefu naahitaji kama na misumari tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…