Akiba inaguswa pale zinapotokea dharura kama ugonjwa,ajali,misiba,safari na mambo mengine ambayo huwa hayapo katika mipango hapo ndipo sehem sahihi ya kupeleka akiba yako ila kwa ww unaeishi kwa shemeji unalala sebuleni kama Tv akiba siyo ya muhimu kwako na Wala huwezi kujua ina umuhimu ganHiyo akiba kama haitakiwi kuguswa maana yake haitakiwi kutumika, na kama haitumiki basi hata isipokuwepo yote sawa tu.
Maisha ni sanaa mkuu huwa yanakufunza baada ya kukupa maumivu, mimi binafsi najali sana kuhusu akiba nikiona kitu nachotaka kufanya kitaharibu akiba naaacha kwanza, ukitumia hiyo mbinu wala ujenzi haiwezi kuwa mateso na hata Kama utateseka haitakua kwa kiwango kikubwa kama ukiwa unamaliza hadi akibaMkuu mimi na wewe ni ndugu nn maaana natembelea humo humo,nikiona kitu hakiwezekani nakuwa nakipa muda wa kujipanga upya ili tu nisiguse akiba.
Ugawanye hivi
Tofali za kunyanyua msingi labda 2000
Kupiga mkanda/beem panahitajika nondo millimeter 12,kokoto, mchaga, sement
Kunyanyua boma tofal 3500 hadi 5000
Kupiga linta unahitaji nondo,sement,mchanga
Kwahiyo boss piga kwanza hesabu za kunyanyua boma ndio uhamie kupaua
Kumbuka fundi mzuri hakubali kazi chini ya milion na laki saba hadi milion mbili na nusu
Hii nyumba ya kawaida sana
Alafu ukishaanza ujenzi mafundi huwa wanaamini una hela, kwa hiyo ukimwambia sijui nimekwama anaona kama una mtania au wanasema bahiliHakika... Kuna muda unaweza onekana bahili kumbe...
Kila anayekuzunguka anajua pesa unazo, muda wote...Alafu ukishaanza ujenzi mafundi huwa wanaamini una hela, kwa hiyo ukimwambia sijui nimekwama anaona kama una mtania au wanasema bahili
Ukitaka kujenga nyumba nzuri ila unauwezo wa kujenga nyumba ya kawaida fanya hivi.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Unaweza kufa na nyumba ukaacha hapo, otherwise jenga bila haraka, kwa awamu na taratibu uta enjoy
Ukifikia level vitu vya kingereza uwiiiiii ni stress juu ya stress hasa kama unafosi nyumba kuisha na budget yako ni ndogo
Hongereni watu mnaomiliki mabangalooooo
Hongereni mnaomiliki ghorofa
Hapo kwenye tofali 5000mbona nyingi sana mkuu bungalow hilo!??Ugawanye hivi
Tofali za kunyanyua msingi labda 2000
Kupiga mkanda/beem panahitajika nondo millimeter 12,kokoto, mchaga, sement
Kunyanyua boma tofal 3500 hadi 5000
Kupiga linta unahitaji nondo,sement,mchanga
Kwahiyo boss piga kwanza hesabu za kunyanyua boma ndio uhamie kupaua
Kumbuka fundi mzuri hakubali kazi chini ya milion na laki saba hadi milion mbili na nusu
Hii nyumba ya kawaida sana
Mungu mkubwa utamaliza,omba uwe na afya njema.yeah , kama walivyoshauri wadau huipaswi wakati unajenga kutumia mbaka pesa ya akiba inabidi uende taratibu.
- mwaka jana nilianza kumwaga mawe , nikaja msingini na kujenga kiti .nikatulia
View attachment 2323760
- Mwaka huu , mwezi watu nikaanza simamisha kuta nusu nikatulia ilipofika mwezi wa sita nimemalizia kozi zilizobaki, kwasasa nimetulia napiga hesabu namna ya kupiga linta sina presh maana still plan zangu zipo ndani ya muda
- incase mungu akinijalia uzima kufikia mwezi wa kumi na moja ntakuwa nishamaliza na linta na kumalizia kozi za juu zilizobaki . Ila mbaka mwakani mwezi wa saba najua ntakuwa nishapaua kabisaa.
View attachment 2323760
- hii picha chini inaonesha nilipokwamia kwa sasa najua ntatoboa tuu lazima nimiliki mjengo wangu lazimaaa
Napata Somo hapo mkuu!Hongera sana.Maisha ni sanaa mkuu huwa yanakufunza baada ya kukupa maumivu, mimi binafsi najali sana kuhusu akiba nikiona kitu nachotaka kufanya kitaharibu akiba naaacha kwanza, ukitumia hiyo mbinu wala ujenzi haiwezi kuwa mateso na hata Kama utateseka haitakua kwa kiwango kikubwa kama ukiwa unamaliza hadi akiba
Huwa hamuwapi standard na michoro ya jinsi mnataka nyumba zenu ziwe?Acha kabisa madam mafundi ndo wanaongeza stress zaidi, fundi anaweza kukukatia bonge ya dirisha ili amalize kazi yake haraka
Siku unakuja kuweka aluminium utaipenda
Kwa kipato cha wengi wetu si rahisiBinafs ujenz wangu huwa na wa papo kwa papo, miez 3 nyumba imekamilika naendelea na ishu nyngn
Ujenz wa mda mrefu unanikera Sana, maana unakua kila Mara unaenda saiti kuzika ela.
Bora upasuke HARAKA afu uachane nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio una nyumba ngapi mkuu?
Atakuwa ana nyumba 40 huyu mkuu maana si kila mwaka anajenga.Kwahio una nyumba ngapi mkuu?
[emoji1][emoji1] aiseeeAtakuwa ana nyumba 40 huyu mkuu maana si kila mwaka anajenga.
Ila ni Vyema kujenga karibu. Ukijenga Mbali na City Center garama za usafiri zako, Pengine wife kama anafanya kazi na watoto wanaoenda Shule zinaweza fika laki 2 kwa mwezi😁na haya mafuta yanavyopanda kila kukicha ata kavitz unaweza kukiparkInategemea kule mbali Bei rahisi ila karibu huku Bei ndefu kingine ukinunua kwa muhusika sio pesa ndefu unaweza kupata kwa 35k per square meter uko mbali hata 20k kwa square
Ila ni Vyema kujenga karibu. Ukijenga Mbali na City Center garama za usafiri zako, Pengine wife kama anafanya kazi na watoto wanaoenda Shule zinaweza fika laki 2 kwa mwezi😁na haya mafuta yanavyopanda kila kukicha ata kavitz unaweza kukipark