atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Uko serious, kama kweli karibu Pm☺️na wish mtu anipeleke tanga nipajue 😘
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko serious, kama kweli karibu Pm☺️na wish mtu anipeleke tanga nipajue 😘
Unafikiri wanajifunza ninı hukoKwahiyo Madrasa wanafundishwa Mila za Kiarab?
'Sanday school' basi itakuwa ni Mila za Kibantu, cheka na ufurahi wewe basi.
Unafikiri wanajifunza ninı huko
Nilikuwa natania tu dearUko serious, kama kweli karibu Pm
Hizo ni story za vijiweni tuu bwanaVipi ishu za uchawi. Naskia unaweza ukachezewa tu bila kua na tatizo na mtu wala nini
😇ubarikiwe itapendezaI challenge you,
New Year 2025 niku-host TA,
Ikikupendeza na panapo Uhai.
Tanga nayo kuna Fordhan kama Zanzibar?Mkija naomba niwe mwenyeji wenu, msiache kufika forodhani, hakika mtapapenda
Kuna clip moja nitaiseach fb niitupie hapa hakika utapenda mkuuMbona mkokaa na Mirungi sisikii ikitajwa.
Mida hii vijana mitaa ya usagara,kwa njeka wanatafuna majani kama Mbuzi wa Bwana Kheri
Nitakuja unipeleke huko mkuu😂😂😂😂😂 Mwezi mtukufu wa Ramadhani wametulia kidogo, ila kweli kwa maeneo hayo, alafu ukute Kuna kijamvi, usiku mzima mashangazi na wajomba Ni kuchanja gomba tu
"24. Wikiendi lodge zinajaa sana na ukiwa mgeni umefika mida ya usiku sana unaweza kulala stendi"21. Ni jiji ambalo ukitoka km 30 kutoka city center tayari uko kijijini , kama unabisha jaribu kwenda kuelekea Horohoro
22. Ni jiji ambalo linakua kwa mwendo wa konokono hadi utajiuliza hili kweli ni jiji? Yaani unaweza kukaa mwaka mzima husione hata ghorofa jipya likijengwa
23.Hoteli maarufu na inayoonekana ina viwango ni moja tu, Tanga beach
24. Wikiendi lodge zinajaa sana na ukiwa mgeni umefika mida ya usiku sana unaweza kulala stendi
25.Wenyeji wana Customer care mbovu sana. Unaweza kuingia dukani, mgahawani hutaambiwa karibu. Watakukodolea macho tu.
26. Tanga sio jiji.
Kijiji gani 🤓, .Mimi nili kaa raskazone, na mwahako, lakini pia barabara ya 15 Nime ishi mzeeNipo tanga vijijini ,punguza wivu kijana
Hutaki niishi sehemu nzuri?
Mm kabla ya kuoa kuna mshikaji wangu alinishauri,aliniambia hivi "jamaa yangu wanawake wa Tanga ni wazuri na mapenzi wanayajua ila sio wa kuoa kama una malengo ya kuwa mtu mwenye status yako kiuchumi/ kimaendeleo,sababu alizonipa ni kwamba wanawake wao ni watu wa kuridhika na kidogo hawawazi maendeleoMpaka leo najiulizaga kwa nini sikuoa Tanga
Safi kabisa, InapendezaKijiji gani 🤓, .Mimi nili kaa raskazone, na mwahako, lakini pia barabara ya 15 Nime ishi mzee
Yap kwa maeneo baadhi, sema utaratibu wa daladala nili upenda Sana.Safi kabisa, Inapendeza
Je,asemayo mleta thread ni ya kweli?
AsanteDuh!
Hope ni kaarabu fulani hivi, una jilaumu kipi Sasa??.Tabora ndy nimeoa
Safi kabisa, karibu tena Tanga.Yap kwa maeneo baadhi, sema utaratibu wa daladala nili upenda Sana.
Mapishi wako vizuri mno, chapati za kitabu una zijua 🤓
Mkuu super market wameongeza moja pale barabara ya 4 [emoji3]
Pia
Mkuu super market wamewaongezea moja ipo pale barabara ya 4
Pia Traffic Light nyingn pia ipo pale relli