Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

21. Ni jiji ambalo ukitoka km 30 kutoka city center tayari uko kijijini , kama unabisha jaribu kwenda kuelekea Horohoro
22. Ni jiji ambalo linakua kwa mwendo wa konokono hadi utajiuliza hili kweli ni jiji? Yaani unaweza kukaa mwaka mzima husione hata ghorofa jipya likijengwa
23.Hoteli maarufu na inayoonekana ina viwango ni moja tu, Tanga beach
24. Wikiendi lodge zinajaa sana na ukiwa mgeni umefika mida ya usiku sana unaweza kulala stendi
25.Wenyeji wana Customer care mbovu sana. Unaweza kuingia dukani, mgahawani hutaambiwa karibu. Watakukodolea macho tu.
26. Tanga sio jiji.
"24. Wikiendi lodge zinajaa sana na ukiwa mgeni umefika mida ya usiku sana unaweza kulala stendi"

Hapo juu nimeondoka na point kuna siku nilitaka nipande basi Arusha nifike huko nightmare nikiamini nisingekosa sehemu ya kulala kumbe nilikua najidanganya
 
Mpaka leo najiulizaga kwa nini sikuoa Tanga
Mm kabla ya kuoa kuna mshikaji wangu alinishauri,aliniambia hivi "jamaa yangu wanawake wa Tanga ni wazuri na mapenzi wanayajua ila sio wa kuoa kama una malengo ya kuwa mtu mwenye status yako kiuchumi/ kimaendeleo,sababu alizonipa ni kwamba wanawake wao ni watu wa kuridhika na kidogo hawawazi maendeleo

Na kweli katika kufuchunguzachunguza nimegundua wanawake wao ni wakala nao starehe tuu,pls mniwie radhi kwa mawazo yangu🙏
 
Back
Top Bottom