Haya kalale mkuuSio riziki mkuuView attachment 1627603
Kuleta huu uzi umewaza sana asee[emoji23]Sio riziki mkuuView attachment 1627603
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu mtu wa kushnda huo mpunga labda member mpya wa Leo leo..NO janjajanjaView attachment 1627632
Shenz kabisa wee jamaa (kidding)π€£π€£
Ayaaa!!!ID inatakiwa iwe kuanzia umri gani?
Atakuwa anatania. Maana mshindi nilishapatikana. Sijui kwanini mpaka sasa shindano linaendelea.Possibly wewe unaweza pata, kama kweli mtoa mada anamaanisha.
Sure thing.Upewe hela yako hatutaki utani
π π π pole aisee weee hutokiTayari nimeshakutumia namba ya kuniwekea milioni yangu