Kama huko inbox mambo ndio haya, wanaume turudi shule

Wanaboa sana hawa watu, yaani cjui wakoje, sasa hv nimemblock mtu, jifunzeni kujieleza bhana, ukisema usimjibu unyamaze atakusalimia hata miaka 2 hachoki halafu kila siku
Mii ata salam sijui Agynasa tufanye mkutano leo mahala fulani pm kama hutojali.
 
Nilichoka ujuee,saa ingine unadhani sms ya MPESA kumbee unauliza uko poa,upo shwari,za weekend vipi ,upo wapi,unafnya nini khaaaaa
Basi mii sina bahati mana kijibiwa tu nauliza tigopesa
 
Nachukia sana neno "NIAMBIE " Au "nipe story, habari "
Mtu unitext mwenyew, sijaku bip bado unataka nikupe story Mimi nazitoa wapi, hizo habari wanazolazimishwa kupewa ni zipi?
Wenye hizi tabia mnaboa.
Sirudii tena [emoji5]
 
Tuheshimiane tafadhal....acha kutudhalilisha wanaume wenzio..[emoji23][emoji23]
 
Aniaquote ke yeyote tuoneshe mfano wa mtongozano hapa
Niko mwanza mimi[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Bora huyo kakujibu ki staarabu kuliko wale wa kukujibu

P
K
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…