Kama huko inbox mambo ndio haya, wanaume turudi shule

Kama huko inbox mambo ndio haya, wanaume turudi shule

Tatzo hamna hela. Mi nilishawaambia vijana humu...hawataki kuelewa. Mwanamke hatongozwi jamani, mwanamke anavutwa. Ana vutwa na nn ?? (Jibu unalo) Tehe [emoji23][emoji23]

Kuku mtege na punje za mahindi akinasa tu, unamchinja. [emoji23][emoji23]

Ww muache ajishaue....na wewe ringia hela zako cz u can get any woman, any time, anywhere. Gademit !!!
Santeeeee [emoji122][emoji122]
 
Angalia tofauti ya majibu haya:
Mkaka: Mamboz
Mdada: P
HII NI DALILI MBAYA KWAKO MKAKA

Mkaka: Mamboz
Mdada: Pouwa, mzima wewe?
EHEEE HII NI DALILI SWAFIII KABISAA.

Haijalishi hata kama huko mbeleni utajibiwa no chance, ila hutapanic. Ila hawa wa P hawa, ni kuwaombea njaa tu.
wnegine wanasemaga K, P yaani ni balaa!! ulichoandika ni sahihi kabisa!! ila sishauri umwombee njaa binadam mwenzako
 
halafu mengi yako hivyo mambo mengiine kibao utafikiri mishe zako anazijua
Sasa jamani tumewasubiri muje tunaona kimya, inabidi tuwafate sisi huko pm, na muyavumilie tu maswali yetu
 
Angalia tofauti ya majibu haya:
Mkaka: Mamboz
Mdada: P
HII NI DALILI MBAYA KWAKO MKAKA

Mkaka: Mamboz
Mdada: Pouwa, mzima wewe?
EHEEE HII NI DALILI SWAFIII KABISAA.

Haijalishi hata kama huko mbeleni utajibiwa no chance, ila hutapanic. Ila hawa wa P hawa, ni kuwaombea njaa tu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
huyo jamaa kusoma hajui sawa, hata picha tu kama huyu ni mbuzi au twiga?
Yaan9 majibu yoote hayo ya mkato na bado akaendelea tu
Jamaa alifundishwa formula ya ''Mvumilivu hula mbivu''
 
yana nitokea sana tu ila kidume na kaza sielewi yan wala sitaki kujua ila ipo siku atanikumbuka
Siku nyingine jaribu kuanza kumuuliza namba yake ya Mpesa,
 
Tatzo hamna hela. Mi nilishawaambia vijana humu...hawataki kuelewa. Mwanamke hatongozwi jamani, mwanamke anavutwa. Ana vutwa na nn ?? (Jibu unalo) Tehe [emoji23][emoji23]

Kuku mtege na punje za mahindi akinasa tu, unamchinja. [emoji23][emoji23]

Ww muache ajishaue....na wewe ringia hela zako cz u can get any woman, any time, anywhere. Gademit !!!
Dah, basi masikini ndio hawastahili kupendwa?
 
Ye alikosea pale mwanzoni angechomekea, naomba nkutumie hela ya lunch ka hutojali
 
HII NI CHATING INBOX
Mkaka: hi!
Mdada: helow!
Mkaka: Mambo!?
Mdada: Poa.
Mkaka: Inakuwaje
Mdada: Fresh tu
Mkaka: Shwari kabisa?
Mdada: Shwari tu..
Mkaka: Mishe zinakwenda poa!
Mdada: Poa tu
Mkaka: Mambo mengine?
Mdada: Poa tu
Mkaka:ehe Nambie sasa...
Mdada: Poaz
Mkaka: hata mi nko poa vp michongo?
Mdada: Poa tu
Mkaka: Pande zipi mrembo....
Mdada: Nipo home
Mkaka: Pande zipi hizo mi nipo Mwanza
Mdada: Dar
Mkaka: kwema pande hizo
Mdada: kwema tu
Mkaka: Maisha yanasemaje?
Mdada: Poa tu
Mkaka: Familia iko poa Mdada: Poa tu
Mkaka: SAMAHANI HIVI UNAISHI NA
WAZAZI AMA UMEOLEWA? Na kama umeolewa je
unaionaje ndoa?
Mdada: kimya..
Baada ya dakika mbili mdada akamblock yule
mkaka......
**Wakati mwingine tunawalaumu bure akina dada
eti wanadharau huko Inbox. Sasa jamani kweli huyu
mtu huyu!! Unamsaidiaje hata kama ni wewe...Yaani
salamu imerudiwa weee mpaka kero halafu
mwishowe anauliza swali la ghafla tu ka mpu.mbavu
vile!!!
Umegusa pale pale,ndio maana Mheshimiwa Lowassa alisisitiza elimu,elimu,elimu na majitu yamekazania kilimo,kilimo,kilimo,majipu,majipu,majipi haya ndio matokeo yake.
 
Angalia tofauti ya majibu haya:
Mkaka: Mamboz
Mdada: P
HII NI DALILI MBAYA KWAKO MKAKA

Mkaka: Mamboz
Mdada: Pouwa, mzima wewe?
EHEEE HII NI DALILI SWAFIII KABISAA.

Haijalishi hata kama huko mbeleni utajibiwa no chance, ila hutapanic. Ila hawa wa P hawa, ni kuwaombea njaa tu.
Yani mimi mtu akinijibu "p" au "pw" nafuta PM
 
Back
Top Bottom