Labda nikukimbushe mwaka 2003 kama ulikuwa hujazaliwa, Marekani iliishutumu Iraq kuwa ina silaha za kikemikali, ikabidi watumwe wachunguzi wa kimataifa kwenda Iraq kukagua, na Iraq haikupinga.
Wakakagua hawakukuta hizo silaha wala residuals, wakatoa ripoti kuwa hakuna silaha hatarishi,
Marekani bila sababu yoyote akaivamia iraq, wakaua maelfu
Kuna wakari wanajeshi wa marekani waliua watoto kama wanacheza video games,
ICC ikataka kuwashitaki wakaijia juu kuwa wataiwekea vikwazo.
Urusi kaivamia ukraine kwa sababu ilikuwa ina mu host marekani na ni hatari kiusalama kwa urusi, NI KIPI KINA JUSTIFY UUAJI WA MAREKANI? AU KWA SABABU ALIUA WAARABU?
jitahidi ufuatilie maswala kiundani usipelekwe na mkumbo wa Western media