Kama huna fikra za kikandamizaji, hauwezi kuishadadia Urusi

Kama huna fikra za kikandamizaji, hauwezi kuishadadia Urusi

Huwezi kupinga uvamizi wa US Iraq ila ukaunga mkono uvamizi wa Urusi kwa Ukraine. Matukio yote ni ya uonevu. Hivyo ukimwona mtu aliyebeba kinyongo cha Iraq na huku akifurahia kinachoendelea Ukraine, either ni udini unamsumbua au hana anachosimamia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mimi naangalia sababu, at least iwe ina mashiko, US hakuwa na sababu yoyote ya kuivamia Iraq,

Kama ni swala la vita hata Mungu alimsaidia Yoshua kulisimamisha jua akapigana,
 
Huwa nawashangaa sana watu wanojidai kupigani demokrasia na katiba mpya kwenye nchi hii huku wanamshadadia Putin!
Sijawahi kuelewa wanai reconcile vipi hiyo contradiction.
Nyie mmekuwa brainwashed mnaamini kila anachosema Us
 
Huwa nawashangaa sana watu wanojidai kupigani demokrasia na katiba mpya kwenye nchi hii huku wanamshadadia Putin!
Sijawahi kuelewa wanai reconcile vipi hiyo contradiction.
Kwa hiyo unataka kutujulisha kuwa wanadai katiba mpya wadai na ushoga,,!? Au unamaanisha kitu gani,,?

Lini Putin aliwahi sema tusiwe na Katiba mpya,,!?
Mie naamini katiba bora ni ile inayotambua na kulinda kila chembe ya maslahi ya Watu wa taifa husika,, JAMBO AMBALO NDILO RUSSIA WANAFANYA,,
 
Huwezi kupinga uvamizi wa US Iraq ila ukaunga mkono uvamizi wa Urusi kwa Ukraine. Matukio yote ni ya uonevu. Hivyo ukimwona mtu aliyebeba kinyongo cha Iraq na huku akifurahia kinachoendelea Ukraine, either ni udini unamsumbua au hana anachosimamia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Na hauwezi kuziweka pamoja sababu za uvamizi wa marekan nchini Iraq na ukaxiweka sawa na sababu za Urusi kuivamia Ukraine
 
Kwa umri wangu mambo mengine nikumbushe tu wala huna haja ya kutoa mhadhara. Vita ya Iraq haikustahili na kwa kweli wakati mwingine Marekani imekuwa na marais wapenda vita kama BUSH mdogo alivyokuwa. Lakini pia hiyo haihalalishi Urusi kuivamia Ukraine eti kwa kuwa tu Ukraine inataka kuwa mwanachama wa NATO.
Kwahiyo na marekani anapaswa kutoshabikiwa kama ambavyo Urusi hapaswi kushabikiwa!
 
Mambo ya Photo shop kaa nayo mbali sana!!
Hizi nazo photoshop????? Mashoga muishie hukohuko kwa wazungu,, huku poteeni na mambo yenu
images (12).jpeg
 
Kama huamini kwamba Kiongozi anatakiwa kuabudiwa, hauwezi kuishadadia Urusi. Kama wewe unaamini kila mtu ana haki ya kuelezea hisia zake bila ya kutishwa na dola, huwezi kuishabikia Urusi.

Kama unataka Kiongozi akiwa madarakani asitumie madaraka hayo kujitajirisha, wewe na Urusi hamfanani. Kama unapenda demokrasia duniani, kaa mbali na Urusi. Kama unachukia viongozi Katili, jitenge na Urusi.

Kama siyo tabia yako kupenda wanasiasa wanaopenda rushwa na wanaozuia kukamatwa, iache Urusi ikae mbali na wewe.
Kama Huna akili ya kiukandamizani huwezi kuishadadia MAREKANI na NATO yake.
 
Kwa hiyo unataka kutujulisha kuwa wanadai katiba mpya wadai na ushoga,,!? Au unamaanisha kitu gani,,?

Lini Putin aliwahi sema tusiwe na Katiba mpya,,!?
Mie naamini katiba bora ni ile inayotambua na kulinda kila chembe ya maslahi ya Watu wa taifa husika,, JAMBO AMBALO NDILO RUSSIA WANAFANYA,,

Kuvamia na kuua watu na viumbe wasio na hatia wa Ukreine ndicho kinacho Kusukuma Kumshabikia dicteta puti? Ndivyo!
Nimeamini ashki majunun...
 
Hisia hizi marekani ameua wa ngap yaan yeye anataka aweke silaha karibu na nchi ya urusi watu tatizo mkishapenda kitu hamjudge kwa facts.
Kaua wauwaji bro!
Taja nchi moja ambayo ameua....
 
Kama huamini kwamba Kiongozi anatakiwa kuabudiwa, hauwezi kuishadadia Urusi. Kama wewe unaamini kila mtu ana haki ya kuelezea hisia zake bila ya kutishwa na dola, huwezi kuishabikia Urusi.

Kama unataka Kiongozi akiwa madarakani asitumie madaraka hayo kujitajirisha, wewe na Urusi hamfanani. Kama unapenda demokrasia duniani, kaa mbali na Urusi. Kama unachukia viongozi Katili, jitenge na Urusi.

Kama siyo tabia yako kupenda wanasiasa wanaopenda rushwa na wanaozuia kukamatwa, iache Urusi ikae mbali na wewe.

Hao mabasha zako unaowashadadia unajua walichoifanyia dunia??? au umekurupuka huko kama unakunya kichakani?
 
Back
Top Bottom