whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Mimi naangalia sababu, at least iwe ina mashiko, US hakuwa na sababu yoyote ya kuivamia Iraq,Huwezi kupinga uvamizi wa US Iraq ila ukaunga mkono uvamizi wa Urusi kwa Ukraine. Matukio yote ni ya uonevu. Hivyo ukimwona mtu aliyebeba kinyongo cha Iraq na huku akifurahia kinachoendelea Ukraine, either ni udini unamsumbua au hana anachosimamia.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Nyie mmekuwa brainwashed mnaamini kila anachosema UsHuwa nawashangaa sana watu wanojidai kupigani demokrasia na katiba mpya kwenye nchi hii huku wanamshadadia Putin!
Sijawahi kuelewa wanai reconcile vipi hiyo contradiction.
Hili swali lina mantiki gani?Kwenye dunia hii ushoga ulianza lini na hizo muvi za Hollywood zilianza lini?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ni sawa na kusema wizi, uuaji ulianza zamani sana,,Kwenye dunia hii ushoga ulianza lini na hizo muvi za Hollywood zilianza lini?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unataka kutujulisha kuwa wanadai katiba mpya wadai na ushoga,,!? Au unamaanisha kitu gani,,?Huwa nawashangaa sana watu wanojidai kupigani demokrasia na katiba mpya kwenye nchi hii huku wanamshadadia Putin!
Sijawahi kuelewa wanai reconcile vipi hiyo contradiction.
Jaribu kutumia japo akili kidogo.Ni sawa na kusema wizi, uuaji ulianza zamani sana,,
hivyo kwa sababu ni matendo yaliyoanza kalne nyingi pamoja na kupingwa yanaendelea, tuache yaendelee,,
Na hauwezi kuziweka pamoja sababu za uvamizi wa marekan nchini Iraq na ukaxiweka sawa na sababu za Urusi kuivamia UkraineHuwezi kupinga uvamizi wa US Iraq ila ukaunga mkono uvamizi wa Urusi kwa Ukraine. Matukio yote ni ya uonevu. Hivyo ukimwona mtu aliyebeba kinyongo cha Iraq na huku akifurahia kinachoendelea Ukraine, either ni udini unamsumbua au hana anachosimamia.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo na marekani anapaswa kutoshabikiwa kama ambavyo Urusi hapaswi kushabikiwa!Kwa umri wangu mambo mengine nikumbushe tu wala huna haja ya kutoa mhadhara. Vita ya Iraq haikustahili na kwa kweli wakati mwingine Marekani imekuwa na marais wapenda vita kama BUSH mdogo alivyokuwa. Lakini pia hiyo haihalalishi Urusi kuivamia Ukraine eti kwa kuwa tu Ukraine inataka kuwa mwanachama wa NATO.
Hizi nazo photoshop????? Mashoga muishie hukohuko kwa wazungu,, huku poteeni na mambo yenuMambo ya Photo shop kaa nayo mbali sana!!
Kama Huna akili ya kiukandamizani huwezi kuishadadia MAREKANI na NATO yake.Kama huamini kwamba Kiongozi anatakiwa kuabudiwa, hauwezi kuishadadia Urusi. Kama wewe unaamini kila mtu ana haki ya kuelezea hisia zake bila ya kutishwa na dola, huwezi kuishabikia Urusi.
Kama unataka Kiongozi akiwa madarakani asitumie madaraka hayo kujitajirisha, wewe na Urusi hamfanani. Kama unapenda demokrasia duniani, kaa mbali na Urusi. Kama unachukia viongozi Katili, jitenge na Urusi.
Kama siyo tabia yako kupenda wanasiasa wanaopenda rushwa na wanaozuia kukamatwa, iache Urusi ikae mbali na wewe.
Hopeless kabisaSisi tunawapa Marekani return gani kwa misaada wanayotupa!??
Kwa hiyo unataka kutujulisha kuwa wanadai katiba mpya wadai na ushoga,,!? Au unamaanisha kitu gani,,?
Lini Putin aliwahi sema tusiwe na Katiba mpya,,!?
Mie naamini katiba bora ni ile inayotambua na kulinda kila chembe ya maslahi ya Watu wa taifa husika,, JAMBO AMBALO NDILO RUSSIA WANAFANYA,,
Kaua wauwaji bro!Hisia hizi marekani ameua wa ngap yaan yeye anataka aweke silaha karibu na nchi ya urusi watu tatizo mkishapenda kitu hamjudge kwa facts.
Kama huamini kwamba Kiongozi anatakiwa kuabudiwa, hauwezi kuishadadia Urusi. Kama wewe unaamini kila mtu ana haki ya kuelezea hisia zake bila ya kutishwa na dola, huwezi kuishabikia Urusi.
Kama unataka Kiongozi akiwa madarakani asitumie madaraka hayo kujitajirisha, wewe na Urusi hamfanani. Kama unapenda demokrasia duniani, kaa mbali na Urusi. Kama unachukia viongozi Katili, jitenge na Urusi.
Kama siyo tabia yako kupenda wanasiasa wanaopenda rushwa na wanaozuia kukamatwa, iache Urusi ikae mbali na wewe.
Ujinga kwa kuwa nimeandika usichokipenda?? Ujinga upo wapi hapo?
mbuzi wanao firana vingunguti nao wamefundishwa na wazungu??Hizi nazo photoshop????? Mashoga muishie hukohuko kwa wazungu,, huku poteeni na mambo yenu
View attachment 2575413
Tunasainni mikataba ya wizi na kufuata wanayotuambia kama vile kueneza ushoga
Kuna mrusi hapo?? Bwana asifiwembuzi wanao firana vingunguti nao wamefundishwa na waungu??
Au huyu shehe kamfundisha nani??View attachment 2575501