Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
Ninyi ndio wale uzeeni mnakimbila vibinti vidogo hatimae mnashtakiwa kwa kosa la unyanyasaji wa kijinsia ,kosa ni kuwa ujana wako ulijitia uko busy sanaaaBora hata imenishauri kitu cha maana
Sivai akili ya mtu wala kuazima mtazamo wa mtu, ishi kwa akili yako siku zote, Kila mtu ana malaika wakeTatizo unakuta ni chomboo halafu mazingira yanaruhusu unaogopa utaonekana huna madhara
Unampimia siku anakupa namba iliujue shida zake zinaanzia
Hapana mkuuHivi wote hao wapo kwenye contact list yako umewaromba mkuu?
umemaliza mkuu shida unakuta mtu umeomba namba mchana jioni ushamtongoza hapo hata demu mwenyewe lazima ashtukeUkipewa namba usiwe na papara ya kumtafuta, kaa ata mwezi bila kumcheki.
Ni kweli mkuuSivai akili ya mtu wala kuazima mtazamo wa mtu, ishi kwa akili yako siku zote, Kila mtu ana malaika wake
Wewe umeng'ang'ania upewe namba haya namba hiyo umepewa sasa unataka ushirikiano gani tena! Bofya bofya hiyo namba uliyoitaka, huenda itajibu.Niende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahari popote!!
Ukipewa namba maana yake anakuweka kwenye circle yake kwa ajiri ya matumizi ya baadae atakapokua na shida ya hela, na kadili unavyoonesha shahuku ya kuwa nae ndipo nae atajua akuweke namba ngapi kwenye list yake ya masimp wake. Keep your class mzee baba. Mwanaume hatumi text mara mbiliNiende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahari popote!!
Oya mkuu unanipa nondoUkipewa namba maana yake anakuweka kwenye circle yake kwa ajiri ya matumizi ya baadae atakapokua na shida ya hela, na kadili unavyoonesha shahuku ya kuwa nae ndipo nae atajua akuweke namba ngapi kwenye list yake ya masimp wake. Keep your class mzee baba. Mwanaume hatumi text mara mbili
Kabisa demu mwenyewe lazima aone kuwa hapa sasa nimeyatimba.umemaliza mkuu shida unakuta mtu umeomba namba mchana jioni ushamtongoza hapo hata demu mwenyewe lazima ashtuke
Si namba zote napata kwa namna hiyo nyingine mtu anatoa kwa kupenda yeye mwenyewe but ghafla haelewekiWewe umeng'ang'ania upewe namba haya namba hiyo umepewa sasa unataka ushirikiano gani tena! Bofya bofya hiyo namba uliyoitaka, huenda itajibu.
Ata akikusahau fresh tu, cha msingi namba unayo ambayo ndio kiunganishi.Mwezii, si atakuwa kakusahau uanze kujitambulisha sanaa
Hahaha kumbe tupo wengi nilihisi ni mimi pekeeDah!, it' s so distugusting yani kanipa namba tangu september mwaka jana, ushirikiano zero mpaka leo yaani kanichelewesha mpaka nimemgunduwa kwamba anachogo. Yule Demu jau sana
Sawa mkuu nitakuwa nafanya hvyoAta akikusahau fresh tu, cha msingi namba unayo ambayo ndio kiunganishi.
SawaSawa mkuu nitakuwa nafanya hvyo
Aisee ππNinyi ndio wale uzeeni mnakimbila vibinti vidogo hatimae mnashtakiwa kwa kosa la unyanyasaji wa kijinsia ,kosa ni kuwa ujana wako ulijitia uko busy sanaaa
Sasa si bora asingenipa nambaMpo wengi, Muda wa kueahibu wote hana
Walipe Kodi na wao shenziππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ