MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Tatizo la Tanzania ni maarifa. Ugali huu huu ukipikwa na mtaalamu wa mapishi lazima mate yakutoke. Huko kwenye migahawa ya walami watakuandikia kwenye menu kuwa ni "SARDINES WITH STIFF PORRIDGE" ili kukukata wenge.Mchana umepita tayari mjini mipango.