Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Mzee mm usajili ukianza nistue nipo namba mbili baada yako.
Ukweli utabaki kuwa wazi hakuna kiongozi wa kumlinganisha na JPM,na hili viongozi wengi serikalini wanalijua ndo mana wanatafuta namna ya kumchafua ila wanashindwa na wataendelea kushindwa mpaka ccm chama kipasuke tu.
Ukweli utabaki kuwa wazi hakuna kiongozi wa kumlinganisha na JPM,na hili viongozi wengi serikalini wanalijua ndo mana wanatafuta namna ya kumchafua ila wanashindwa na wataendelea kushindwa mpaka ccm chama kipasuke tu.