Kama iko haki ya mtu kuamua kujitenga na Tanzania na kuundwa nchi ya watu wa Jamhuri ya JPM, Mimi namba moja

Majangili akina Mnyeti, Makonda, Sabaya, Mrisho Gambo, Ally Hapy ndiyo viongozi? shame on you
Kumbe unawafahamu? Hata hivyo, miongoni mwa mamilioni ya watanzania na wafuasi wa JPM wewe haumo kwenye hao, kiherere chako kumhusu cha nini?
 
Wanaomtukana humu na kwingineko mitandaoni, wengi wao ni maTUTUSA tu, wajinga, machawa, malofa na wasiokuwa na chochote.

Kwanini uumie kisa wapuuzi wa namna hiyo?
 
Eiither unaumwa attention disorder au upo kwenye last stage ya grief ya kumpoteza shujaa wako.Unaposema kuhama mbona option zipo nyingi unaeza ukaenda Malawi unaeza Kwenda Kenya au nilazima Tanzania ijitenge😁
 
Eiither unaumwa attention disorder au upo kwenye last stage ya grief ya kumpoteza shujaa wako.Unaposema kuhama mbona option zipo nyingi unaeza ukaenda Malawi unaeza Kwenda Kenya au nilazima Tanzania ijitenge😁
Hayo ni mawazo yako nayaheshimu, ingawa haujataka kuelewa nilichoandika kwa maksudu tu!
 
Hahaha! Yaani unatamani watu wote wawe na mtazamo wako pekee?

Umepotoka mno
 
JFs moderators futeni huu upuizi kwa heshima ya jukwaa.
 
Kosa ni kukuita kwa jina lako? au sijaelewa? si unaitwa Kisamv ? matusi yanatoka wapi? Mbona vijana wa CCM mnapenda matusi? Haya tukana basi roho yako ifurahi
Unaheshima zako hapa! Ukiona mada haiendani na ulivyo wewe, kaa kwa kutulia na siyo ujisababishie kushushiwa heshima yako mkuu!

Si kila mtu awe na mtazamo wako mwana Chadema! Chadema na ccm ni vyama tu ila havitufanyi kutuondolea mapenzi yetu ya kiupendano wa sisi kwa sisi na kwa nchi yetu! Nakuheshimu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…