Kama ilipo Israel siyo Israel, Wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia walikuwa wanaishi wapi?

Kama ilipo Israel siyo Israel, Wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia walikuwa wanaishi wapi?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
 
Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Ikithibitika pasipo shaka nako moto utawaka hapatakalika abadani
 
Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?

Kama dunia na vyote vilivyomo viliumbwa kwa siku sita, na binadamu wa kwanza walikuwa Adam na Hawa, kwamba hao waliishi Eden; basi binadamu wote ni ndugu hayupo mpalestina, mwisiraeli, mchina wala mndengereko!
 
Kuna waislam, wasomi wa dini ya Kiislam ambao wanasema wazi kuwa Quran imetamka wazi kuwa Israel ni ardhi ya Wayahudi, na kama wao waislam watataka kuichukua ardhi hiyo, wataanguka na kushindwa.


JamiiForums





Quran Inasema Israel ni Ardhi ya Wayahudi​

1 of 16Next Last
Unsubscribe
•••
[IMG alt="Bams"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/28/28702.jpg?1421497843[/IMG]

Bams

JF-Expert Member​

Kuna waislam, wasomi wa dini ya Kiislam ambao wanasema wazi kuwa Quran imetamka wazi kuwa Israel ni ardhi ya Wayahudi, na kama wao waislam watataka kuichukua ardhi hiyo, wataanguka na kushindwa.

Moja ya maandiko wanayorejea kwenye Quaran, ni Sura 5 verse 21 kwenye kuran, ambayo inasema kuwa, "Israel ni ya Wayahudi".

Andiko zima, rejea hapa chini:

Khaleel Mohammed, Islamic Law scholar of the San Diego State University, noted that Sura 5 verse 21 of the Qur'an, and the medieval exegetes of the Qur'an, say that Israel belongs to the Jews. He translates it thus:

[Moses said]: O my people! Enter the Holy Land which God has written for you, and do not turn tail, otherwise you will be losers." Mohammed here understands "written" to mean this is the final word from God on the subject. In reaction, he was inundated with hate mail.[4]

And We said to the Children of Israel after Pharaoh, “Reside in the land, but when the promise of the Hereafter comes to pass, We will bring you all together.”

— Surah Al-Isra 17:104
 
Wayahudi wanateseka na kutengwa sababu ya ubinafsi wao.
Tukumbuke wale ni watu kama watu wengine ila wamejipa uspesho ambao ndio utakaowatesa na kuwafanya kuchukiwa na mataifa.

Tukisema kila jamii itake kudai na kurudi makwao hapa duniani hapatakalika.
 
Kuna waislam, wasomi wa dini ya Kiislam ambao wanasema wazi kuwa Quran imetamka wazi kuwa Israel ni ardhi ya Wayahudi, na kama wao waislam watataka kuichukua ardhi hiyo, wataanguka na kushindwa.


JamiiForums



Quran Inasema Israel ni Ardhi ya Wayahudi​

1 of 16Next Last
Unsubscribe
•••
[IMG alt="Bams"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/28/28702.jpg?1421497843[/IMG]

Bams

JF-Expert Member​

Kuna waislam, wasomi wa dini ya Kiislam ambao wanasema wazi kuwa Quran imetamka wazi kuwa Israel ni ardhi ya Wayahudi, na kama wao waislam watataka kuichukua ardhi hiyo, wataanguka na kushindwa.

Moja ya maandiko wanayorejea kwenye Quaran, ni Sura 5 verse 21 kwenye kuran, ambayo inasema kuwa, "Israel ni ya Wayahudi".

Andiko zima, rejea hapa chini:

Khaleel Mohammed, Islamic Law scholar of the San Diego State University, noted that Sura 5 verse 21 of the Qur'an, and the medieval exegetes of the Qur'an, say that Israel belongs to the Jews. He translates it thus:

[Moses said]: O my people! Enter the Holy Land which God has written for you, and do not turn tail, otherwise you will be losers." Mohammed here understands "written" to mean this is the final word from God on the subject. In reaction, he was inundated with hate mail.[4]

And We said to the Children of Israel after Pharaoh, “Reside in the land, but when the promise of the Hereafter comes to pass, We will bring you all together.”

— Surah Al-Isra 17:104

Kuna taifa likiguswa mnavyong'aka?

Hata wenye taifa lao wanaweza kuwa wanawashangaa!
 
Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Swali unalojiuliza linahusu moja ya masuala yenye historia ndefu na yanayozungumziwa sana katika dini, historia, na siasa. Linagusa juu ya hadithi za kihistoria, kidini, na madai ya kisiasa kuhusu ardhi ya Israeli ya kisasa na uhalali wa Waisrael kuishi huko.

1. Hadithi za Waisrael Katika Biblia na Quran

  • Biblia: Katika Biblia, inasimuliwa kwamba Waisrael (ambao walikuwa wazawa wa Yakobo, mwana wa Isaka na mjukuu wa Ibrahimu) walipewa ardhi ya Kanaani na Mungu kama urithi wao wa milele. Hii ndio eneo ambalo linahusishwa na Israeli ya kisasa na Palestina ya sasa. Waisrael waliishi hapo kabla ya kufukuzwa na watawala wa kigeni kama Wababeli na Warumi. Hadithi ya kupewa ardhi hiyo inapatikana zaidi katika kitabu cha Mwanzo na Kutoka, ambapo Mungu anawaongoza Waisrael kutoka Misri kwenda kwenye "Nchi ya Ahadi" (Kanaani).
  • Quran: Quran inataja Wana wa Israeli (Bani Israel) kama taifa lililochaguliwa na Mwenyezi Mungu. Wanatajwa kupewa ardhi takatifu baada ya kukombolewa kutoka utumwa wa Firauni huko Misri. Quran inasema katika Surat Al-Ma'ida (5:21) kwamba Mungu aliwaagiza Wana wa Israeli waingie kwenye ardhi takatifu (Al-Ard al-Muqaddasah), ambayo ni sawa na Kanaani. Hata hivyo, kuna mazungumzo zaidi kuhusu dhambi na kupoteza neema ya Mungu, ambayo yanawafanya kuhama na kuwa katika hali ya kutawanyika (diaspora).

2. Nchi ya Waisrael Katika Historia

Kihistoria, Waisrael waliishi kwenye eneo linalojulikana kama Kanaani, ambalo liko kati ya Bahari ya Mediteranea na Mto Yordani. Eneo hili linajumuisha sehemu za Israeli ya kisasa, Palestina (Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi), Lebanoni, na sehemu za Jordan na Syria.

  • Israeli ya Kale: Kulikuwa na milki za kale za Israeli ambazo zilitawaliwa na Wafalme kama Daudi na Sulemani. Baada ya muda, milki hizo zilipoteza nguvu na Waisrael walitekwa na tawala za Wababeli na baadaye Warumi, ambao walisababisha kufukuzwa kwao kwenye ardhi yao. Kuanzia hapo, Waisrael walienea kote ulimwenguni, hali inayojulikana kama "diaspora."
  • Sasa hivi: Eneo la Mashariki ya Kati limekuwa na historia ngumu ya mizozo ya ardhi, na Waisrael waliporudi kwenye ardhi hiyo katika karne ya 19 na 20, ilikuwa ni matokeo ya harakati za kisiasa za Zionism zilizoanzishwa kwa lengo la kuunda taifa la Kiyahudi. Hii ilisababisha migongano ya madai ya ardhi kati ya Wayahudi na Wapalestina, ambao walikuwa wakiishi kwenye eneo hilo kwa muda mrefu.

3. Madai ya Waisrael na Wapalestina kwa Ardhi

  • Wapalestina: Wapalestina wanadai kwamba walikuwa wameishi katika eneo hilo kwa karne nyingi kabla ya kuja kwa Wazayuni. Wanahoji kuwa Israeli ilitwaliwa kutoka kwao na mkoloni wa kigeni kwa msaada wa Uingereza baada ya Vita ya Pili ya Dunia, na wanataka haki yao ya kurejea kwenye ardhi hiyo.
  • Waisrael: Kwa upande mwingine, Waisrael wanadai kwamba hiyo ni ardhi yao ya kihistoria na ya kidini, wakisema kwamba walinyang'anywa ardhi yao na watawala wa kigeni lakini wamekuwa na uhusiano wa kihistoria na kidini nayo kwa maelfu ya miaka.

4. Wapi Waisrael Wanastahili Kuishi?

Swali lako linahusisha mchanganyiko wa historia, dini, na siasa. Kulingana na Biblia na Quran, Waisrael walitoka kwenye eneo la Mashariki ya Kati, hususan kwenye ardhi ya Kanaani, ambayo kwa sasa ni Israeli na Palestina. Hivyo, hadithi za kidini zinaashiria kwamba hiyo ni ardhi yao ya kihistoria.

Hata hivyo, kwa mtazamo wa kisasa wa kisiasa, suala hili limekuwa na migongano mikubwa kutokana na historia ya uhamiaji, ukoloni, na madai ya pande zote mbili juu ya ardhi hiyo. Waisrael wa kisasa na Wapalestina wote wanadai haki ya kuishi kwenye ardhi hiyo, jambo ambalo limesababisha mzozo unaoendelea hadi leo.

Hitimisho​

Kwa kifupi, Wayahudi walikuwa wanaishi kwenye ardhi ya Kanaani (eneo la Israeli ya sasa na Palestina) katika zama za kihistoria. Hata hivyo, mzozo wa kisasa juu ya ardhi hiyo umeleta mgongano wa madai kutoka pande zote mbili. Wayahudi wa Biblia na Quran wanatajwa kupewa ardhi hiyo, lakini migongano ya kisiasa na historia imesababisha hali ngumu ya kiutata kuhusu nani hasa anastahili kumiliki na kuishi huko.
 
Wayahudi ni kabila miongoni mwa watu waliokuwa wanaishi palestina ila siyo hawa wazungu wazungu waliotoka ulaya kisa wanajua kuongea kiebrania.
Hii ndio tofauti kubwa pekee ni sawa leo watokee wa Catholic waseme kwao ni Vatican sababu ndio nyumbani kwa wa Rome lakini sababu Vatican hapatoshi tuchukue Rome pia. Wayahahudi ni dini na wanaweza kuwepo popote kuna waarabu wengi tu na ni mayahudi hakuna shida. Hawa wazungu waliotoka sijui Poland na nchi za ulaya mashariki ndio shida kubwa. Netanyau halikuwa jina lake alitoka Poland baada ya wao kuhamia Israel na jina akabadilisha Nentanyau.
 
Kwa ivo kwa maelezo yako ni kwamba kosa la Wayahudi ni kutaka kurudi kwao? Kwa ivo pale ni kwao ila waliondoka na sasa wamerudi?

Tatizo sugu ni hili hapa:

IMG_20241022_105632.jpg


Isiraeli kwa uelewa wake pote pale ni kwake.

Ndiyo maana kila mtu akija na hadithi za uelewa wake, wapi kutakalika?
 
You mind crippled, argue not with sound mind people.

Bad lucky are the parents who begotten such a retarded girl who is rich in nothing than her idiocy.

Leave my parents alone. My father did not screw you to get me. And shut your stupidy smelling ugly mouth away from me before i insert my dildo in it. JERK!!
 
Wayahudi wanateseka na kutengwa sababu ya ubinafsi wao.
Tukumbuke wale ni watu kama watu wengine ila wamejipa uspesho ambao ndio utakaowatesa na kuwafanya kuchukiwa na mataifa.

Tukisema kila jamii itake kudai na kurudi makwao hapa duniani hapatakalika.

Wanafanana na kataifa fulani kanasumbuya ng'ambo za Kongo huko.
 
Back
Top Bottom